Je, wafanyabiashara wenye vituo vya mafuta wanataka kuficha mafuta?

Je, wafanyabiashara wenye vituo vya mafuta wanataka kuficha mafuta?

Messenger RNA

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
1,411
Reaction score
3,712
Nimekuja Mbeya, kuna baadhi ya vituo vya mafuta wanasema hawana mafuta ya petrol. Hali hii sio mara ya kwanza kwa mwaka huu hapa nchini.

Je, kuna uwezekano wa kuwa ni ule muendelezo wa wafanyabiashara kuihujumu serikali na wananchi?
 
Back
Top Bottom