Hamjambo? Miaka mitatu iliyopita nilinunua kiwanja huku Unguja lakini waliniambia nitumie jina la Zanzibari (hata sheha alisema hivi).
Mimi nilikuwa na wasiwasi kwa hiyo nililazimishwa yule mzanzibari ale kiapo mbele ya mwanasheria na kwa mwandiko Rami, Tajani umesajiliwa. Katika kiapo imeandikwa kwamba hiyo mzanzibari ni msimamizi tu wa mali yangu na kwamba Mimi ni mmiliki wa kiwanja kilicholipa taslimu mbele ya sheha. Baadaye Mimi niligombana na huyo mzanzibari kwa Sababu aliniibia yuro 2000.
Nilikwenda ofisi ya ardhi nikawaonyesha hicho kiapo nikahadithia kila kitu. Bodi ya ardhi wananiambia kwamba nilidanganywa na wote kwa Sababu ingawa Mimi ni mgeni ninaruhusiwa kupata "lease". Baada ya siku chance nilipata "lease", lakini yule mzanzibari alifungua kesi ya madai kwa kusema kwa ndiyo yeye aliyenunua kiwanja. Mahakamani alishindwa kutoa ushahidi wowote. Mimi nilitoa kiapo chake, "lease" na mashahidi wengi. Basi jaji alitoa hukumu ya ajabu!
Alikubali kwamba Mimi nilinunua kiwanja kwa hiyo mmiliki ni Mimi lakini alisema kwamba kwa Sababu bodi ya ardhi walifanya kosa moja katika utaratibu wa kunipa "lease" lazima nimpe yule mzanzibari kiwanja changu! Tena ninaweza kukata rufaa lakini huyo jaji wanachelewesha kunipa rekodi zote za kesi! Je, wanasheria, mnaweza kunieleza mantiki hiyo?
Mimi nilikuwa na wasiwasi kwa hiyo nililazimishwa yule mzanzibari ale kiapo mbele ya mwanasheria na kwa mwandiko Rami, Tajani umesajiliwa. Katika kiapo imeandikwa kwamba hiyo mzanzibari ni msimamizi tu wa mali yangu na kwamba Mimi ni mmiliki wa kiwanja kilicholipa taslimu mbele ya sheha. Baadaye Mimi niligombana na huyo mzanzibari kwa Sababu aliniibia yuro 2000.
Nilikwenda ofisi ya ardhi nikawaonyesha hicho kiapo nikahadithia kila kitu. Bodi ya ardhi wananiambia kwamba nilidanganywa na wote kwa Sababu ingawa Mimi ni mgeni ninaruhusiwa kupata "lease". Baada ya siku chance nilipata "lease", lakini yule mzanzibari alifungua kesi ya madai kwa kusema kwa ndiyo yeye aliyenunua kiwanja. Mahakamani alishindwa kutoa ushahidi wowote. Mimi nilitoa kiapo chake, "lease" na mashahidi wengi. Basi jaji alitoa hukumu ya ajabu!
Alikubali kwamba Mimi nilinunua kiwanja kwa hiyo mmiliki ni Mimi lakini alisema kwamba kwa Sababu bodi ya ardhi walifanya kosa moja katika utaratibu wa kunipa "lease" lazima nimpe yule mzanzibari kiwanja changu! Tena ninaweza kukata rufaa lakini huyo jaji wanachelewesha kunipa rekodi zote za kesi! Je, wanasheria, mnaweza kunieleza mantiki hiyo?