Je, Wagner walipelekwa Gaza kisirisiri?

Je, Wagner walipelekwa Gaza kisirisiri?

Lakini mbona moto wa Hamas ni mkali sana wakati wamefungiwa kuanzia nchi kavu, baharini na angani?
Hamas wamejiandaa miaka 20 kufika hapo
Mahandaki yalikuwa yanachimbwa miaka
Ila wakawa wanasubiri mda muafaka
Kosa walilofanya wayahudi ni kukubali ushoga hilo limewa cost sana maana mda wote wameshikana mikono saa ngapi watabeba bunduki
Yaani Bunge limekubali kwa pamoja kuwa shoga akifa vitani ni MJANE
 
Hao wana kazi nyingine maalum nje ya Russia!
Putin hawezi hata siku moja akatuma Wagner Gaza! Na hata Israel hajawahi kupeleka silaha Ukraine!
Putin na Netanyahu ni marafiki,ni wazalendo wa nchi zao, malengo yao ni mamoja! Kulinda nchi zao kwa gharama yo yote ile!
 
80% ya Jews wa Israel walihama kutoka Soviet ya Zamani ( Urusi ya sasa na maeneo ya mshariki ya ulaya).
Haiwezekani Russia ikaipiga Israel labda kuwe na tishio la moja kwa moja la usalaman wake
 
Hizi propaganda tu, Hamas wanarekodi kila kitu hii vita ipo live kila tukio lina video, sijaona hata sehemu moja wakitumia watu, ni skilss tu za IDF ni ndogo wanauliwa kizembe sana, unakuta wapo uwanjani wamerundikana kibao ama wanatembea tu mtaani bila shield wanadunguliwa na snipers.
Moja kati ya vita ya hovyo ni kupambana na adui usiyejua Yuko wapi,anavizia mnatembea anarusha rpg anakimbilia shimoni au kwenye vifusi vya majengo uliyoyavunja wewe mwenyewe,hatumii kifaru Wala gari ogopa sana+anaamini furaha yake ya kuishi ni mbinguni ambako familia imetangulia muogope mtu huyo
 
80% ya Jews wa Israel walihama kutoka Soviet ya Zamani ( Urusi ya sasa na maeneo ya mshariki ya ulaya).
Haiwezekani Russia ikaipiga Israel labda kuwe na tishio la moja kwa moja la usalaman wake
Hata ukraine ilikua ni sehemu tena sehemu muhimu tu ya ussr
Ila angalia inachokumbana nacho leo hii pale kivu[emoji3]
 
Hata ukraine ilikua ni sehemu tena sehemu muhimu tu ya ussr
Ila angalia inachokumbana nacho leo hii pale kivu[emoji3]
Ndo maana umeambiwa Labda kuwe na tishio la usalama la Moja kwa moja
 
Wamewapiga NATO vibaya sana hapo Bhamut. Unakumbuka zelensk alisema wakishindwa kuilinda bhamut wameshindwa vita? Ikapelekea NATO nguvu zote wazipeleke bhamut na kilichowapata imebaki historia
Propaganda tu hizo za masjid ubwabwa.
 
Sababu kubwa ni moja tu, Hamas wana ngao za binadamu (human shields) ndani ya mashimo, yaani wale mateka. Bila hivyo mahandaki yote yangeshalipuliwa, kufukizwa sumu au kujazwa maji kitambo
aah wapi,vita ni vita mura...ukiwa na kila kitu unachukulia vitu rahisi sana,hapo wamekutana wanafunzi wa UDSM na VETA wajanja wanajua nachomaanisha
 
Back
Top Bottom