Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Kama hauifahamu sera halisi ya CCM ambayo inatekelezwa kwa vitendo ni hii hapa "
... mpaka sasa wanaendelea kudanganya wananchi kwamba sera ya CCM bado ni ya Ujamaa na Kujitegemea (Nyerere, 1993, p. 28)".
Mfano elimu bule haiwezekani!!!!! Kuomba omba tu nje ya nchi!!!!!
... mpaka sasa wanaendelea kudanganya wananchi kwamba sera ya CCM bado ni ya Ujamaa na Kujitegemea (Nyerere, 1993, p. 28)".
Mfano elimu bule haiwezekani!!!!! Kuomba omba tu nje ya nchi!!!!!