We endelea kuamini tu ivo ivo utajua ukweli siku utakayokufa m sikulazimishi kuufuata uislamuNarudia tena Mungu hakuwahi kuanzisha dini bali iwatuma manabii mbali mbali na kwa nyakati mbalimbali wawafundishe watu kadiri ya mapenzi yake. Sasa hivi watu wamepotoka wanafuata masharti yaliyowekwa na hivyo vikundi na kuacha maelekezo ya Mungu ambayo ni mawili tu . 1.KUMPENDA MUNGU 2. KUMPENDA BINADAMU
ndiyoMh! waislamu wanasema hizi innovation zimeongelewa kwenye Qur'an?
Unataka kuniambia hata hii Facebook nayo waislamu walishasema imezungumziwa kwenye Qur'an?ndiyo
Huna cha kunifundisha endelea kukariri mafundisho ya Mila za zamani ( BARBARISM) za kiarabu unadhani ndio mafundisho ya Mungu. Ya Mungu ni mawili tu KUMPENDA MUNGU na KUMPENDA MWANADAMUWe endelea kuamini tu ivo ivo utajua ukweli siku utakayokufa m sikulazimishi kuufuata uislamu
SawaaaaHuna cha kunifundisha endelea kukariri mafundisho ya Mila za zamani ( BARBARISM) za kiarabu unadhani ndio mafundisho ya Mungu. Ya Mungu ni mawili tu KUMPENDA MUNGU na KUMPENDA MWANADAMU
Vipi koroani imeongelea kuhusu ulaji wa nyama ya mtu?Isomeni muielewe,imetoa Mwongozo uliokamilika kabisa namna ya kumtumia kwa matumizi mengine mbali na kitoweo pamoja na uharam wakd,kila kitu kinachomzunguka binadam Koroani imetolea ufafanuzi bila kupepesa macho.
Karibu tena kwa ufafanuzi
Ndivyo waarabu wanavyowawin kuendelea kuabudu mila zao,Sawaaaa
usije kujuta siku ambayo majuto yako hayatokufaa
hakuna kitabu kiitwacha koroaniVipi koroani imeongelea kuhusu ulaji wa nyama ya mtu?
Mungu hawez akamfanya shetan ni Malaika chief. akishasema harud nyuma. coz anauona mwisho kabla ya mwanzo. so huyo ni Mungu wenu sio huyu tunaemjua. ni kama vile mnavyoamin Mungu anaweza kila kitu lakin hawez akawa mwanadam. utashangaa mbona hamueleweki!Sasa cha ajabu kipi? mbona ni kawaida haram kuwa halali na halali kuja kuwa haram, ni suala la sababu na wakati.
Hebu nitajie nabii mmoja tu alokua mswahili ?Ndivyo waarabu wanavyowawin kuendelea kuabudu mila zao,
Kwani kitabu cha waislam kinaitwaje Kwa Kiswahili?hakuna kitabu kiitwacha koroani
Qur'ani sio koroaniKwani kitabu cha waislam kinaitwaje Kwa Kiswahili?
Acheni sasa kumwita haramu mpeni sifa zakeKoroani haijaacha kitu,ipo wazi hajazuiwa kutumika kwa matumizi mengine zaidi ya kitoweo,kwa tiba anatumika vizuri tu.
Wabilahi tawfiq
Kwenye Kiswahili hatuna herufi q Wala mikato kama r'aQur'ani sio koroani
wewe akili zako unazijua mwenywe ata sibishani na wwK
Kwenye Kiswahili hatuna herufi q Wala mikato kama r'a
Siyo kitimoto yoyote tuanakula isiyo na mafuta.Mbona wanakula sana sembuse kuwekewa mwilini.
Acha hizo aisee..!
wanasema Qur'an haijacha kitu wich means hata Tik tok Qur'an imeizungumzia.Unataka kuniambia hata hii Facebook nayo waislamu walishasema imezungumziwa kwenye Qur'an?
Ha!kumbe unabishana?wewe akili zako unazijua mwenywe ata sibishani na ww