Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Narudia tena Mungu hakuwahi kuanzisha dini bali iwatuma manabii mbali mbali na kwa nyakati mbalimbali wawafundishe watu kadiri ya mapenzi yake. Sasa hivi watu wamepotoka wanafuata masharti yaliyowekwa na hivyo vikundi na kuacha maelekezo ya Mungu ambayo ni mawili tu . 1.KUMPENDA MUNGU 2. KUMPENDA BINADAMU
We endelea kuamini tu ivo ivo utajua ukweli siku utakayokufa m sikulazimishi kuufuata uislamu
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Kwaio kumbe yesu nae alikua hayawezi masharti ya mungu wake mpk akaamua kubadilisha[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mnachekecha kweli kweli nyie

#Dini ya haki haina kubadilisha Qur'an yake#
 
We endelea kuamini tu ivo ivo utajua ukweli siku utakayokufa m sikulazimishi kuufuata uislamu
Huna cha kunifundisha endelea kukariri mafundisho ya Mila za zamani ( BARBARISM) za kiarabu unadhani ndio mafundisho ya Mungu. Ya Mungu ni mawili tu KUMPENDA MUNGU na KUMPENDA MWANADAMU
 
Huna cha kunifundisha endelea kukariri mafundisho ya Mila za zamani ( BARBARISM) za kiarabu unadhani ndio mafundisho ya Mungu. Ya Mungu ni mawili tu KUMPENDA MUNGU na KUMPENDA MWANADAMU
Sawaaaa

usije kujuta siku ambayo majuto yako hayatokufaa
 
Isomeni muielewe,imetoa Mwongozo uliokamilika kabisa namna ya kumtumia kwa matumizi mengine mbali na kitoweo pamoja na uharam wakd,kila kitu kinachomzunguka binadam Koroani imetolea ufafanuzi bila kupepesa macho.

Karibu tena kwa ufafanuzi
Vipi koroani imeongelea kuhusu ulaji wa nyama ya mtu?
 
Sasa cha ajabu kipi? mbona ni kawaida haram kuwa halali na halali kuja kuwa haram, ni suala la sababu na wakati.
Mungu hawez akamfanya shetan ni Malaika chief. akishasema harud nyuma. coz anauona mwisho kabla ya mwanzo. so huyo ni Mungu wenu sio huyu tunaemjua. ni kama vile mnavyoamin Mungu anaweza kila kitu lakin hawez akawa mwanadam. utashangaa mbona hamueleweki!
 
Back
Top Bottom