Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Je, Waislam mtakubali kupandikiziwa figo ya nguruwe?

Hakuna lugha ambayo haijachukua maneno kutoka lugha nyingine, kiswahili kimechukua maneno ya kiarabu lakini katika hayo maneno katika matumizi ya kiswahili hakuna herufi Q na hi ndio hoja ya mdau
Matumizi yapo na ndio maana inatumika herufi Q kwenye neno Qur'an, kinachoangaliwa unataka kutengeneza sound gani hapo ndio utajua hiyo sound ipo kwenye kiswahili au haipo.
 
Mbona hujabadilisha chochote ..sema kuyasoma makoroni inabidi uwe Na roho ngumu...huogopi kukabwa Na majini usiku?
Nilichobadilisha ni jinsi gani mnavyotoa aya nje ya kusudio lake ili mpate kukidhi utashi wa chuki zenu kwa uislamu wa waislamu.
Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.
 
Matumizi yapo na ndio maana inatumika Q kwenye Qur'an, kinachoangaliwa unataka kutengeneza sound gani hapo ndio utajua hiyo sound ipo kwenye kiswahili au haipo.
Mzee ukishaweka Q hicho sio Kiswahili...tatizo kusoma Na kuandikia ulijifunzia madrasa ndo tatizo
 
Hamna kitu Ni yaleyale Tu...hamna Cha nje ya kusudio wala nini...wanaofata Uislam wa Kweli Ni ISIS Na Boko Haram basi
Nilichobadilisha ni jinsi gani mnavyotoa aya nje ya kusudio lake ili mpate kukidhi utashi wa chuki zenu kwa uislamu wa waislamu.
Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.
 
Matumizi yapo na ndio maana inatumika Q kwenye Qur'an, kinachoangaliwa unataka kutengeneza sound gani hapo ndio utajua hiyo sound ipo kwenye kiswahili au haipo.
Kiswahili hakuna neno Q, hiyo Qur'an unayoisema wewe ni jina la kiarabu sio kiswahili
 
Mkuu unachokosea ni kufikiri kila andiko kwenye vitabu vya dini lina pingwa na atheists
Tuache huko KakaMkubwa... Mimi najua wapinga maandiko ya dini wapo katika makundi kadhaa ila nilichokuwa nimeshangaa ni wewe kuandika sentensi inayosema "...maandiko yanasema..." tena umeandika kwa nidhamu kabisa wakati nakujua wewe ni team kiranga ndomana nikasema/nikahoji maandiko yapi halafu nikamalizia kwa kutaja kipande cha wasifu wako
 
Kiswahili hakuna neno Q, hiyo Qur'an unayoisema wewe ni jina la kiarabu sio kiswahili
Sijasema Qur'an ni neno la kiswahili na hata ukitumia hiyo herufi K bado haijafanya hilo neno kuwa la kiswahili, nazungumzia sound.
 
Mzee ukishaweka Q hicho sio Kiswahili...tatizo kusoma Na kuandikia ulijifunzia madrasa ndo tatizo
Kwanza hatuzungumzii neno la kiswahili hapa, Qur'an si neno la kiswahili hata ukiweka hiyo K.
 
Ndio maana nikakuuliza waislamu walishawahi kudai kuwa Facebook ilishazungumziwa kwenye Qur'an? unaniambia waislamu wanasema Qur'an haijaacha kitu,ndio nikakuuliza haijaacha kitu katika vitu gani au huo msemo una maana gani?
acha kuzunguka Mbuyu.
ikiwa dai la kutoacha kitu halikumaanisha vitu vyote, niambie nielewe.

mnaposema haikuacha kitu uwa mnakusudia vitu gani/vipi hasa? na vilivyoachwa kwa mujibu wako wewe ni vipi? ebu vitaje
nivijue.

ikwa ni fb na tik tok ndiyo vitu pekee VILIACHWA niambie tu kuwa:, Fb na tik tok hazimo kwenye list ya Qur'an.. ni hivyo tu simple and clear.

ama
ikiwa unatafuta pa kutokea acha kunikot uendelee na mambo mengine sio kujizungusha na kujaza saver za jf.

dai lipo wazi kuwa Qur'an haijaacha kitu na ili sijalisema mimi, linasemwa na waumini wenzio.
ikiwa kuna upotoshaji waulize wanaosema hivyo.
 
Sijasema Qur'an ni neno la kiswahili na hata ukitumia hiyo herufi K bado haijafanya hilo neno kuwa la kiswahili, nazungumzia sound.
Ni neno la kiswahili, sijazungumzia maana

Ni sawa "kiingereza" ni neno la kiswahili linalotofautisha neno "English" lakini kimaana yote ni sawa
 
Kwanza hatuzungumzii neno la kiswahili hapa, Qur'an si neno la kiswahili hata ukiweka hiyo K.
Sasa huyo mwenzako alikuwa anafosi Q Ni Kiswahili....kwahyo Quran haina Kiswahili chake? Haziwezi kutafsiriwa kulegea kwenye Kiswahili kama bible/biblos to Biblia?
 
Ebu mtupie majini mawili apo sheikh yamfunze adabu....Tena mtupie Jini Makata Na Jini Muhamad
Hili kafiri linazidi chuki kwa waislamu jiangalie sana umesikia sio unamkejeli mtume
 
Kwanza hatuzungumzii neno la kiswahili hapa, Qur'an si neno la kiswahili hata ukiweka hiyo K.
Kwahyo Kiswahili cha Quran ni Nini?
Shirt Kwa Kiswahili Ni Shati
Quran kwa Kiswahili Ni koroani
 
Duh! Kwahyo alphabet zote Za kilatini tunazitumia kwenye Kiswahili? J ipo kwenye kilatini?
by the way hata hiyo latini ilikopi wagiriki kwahyo Ni Sawa Kiswahili ukitumia maandishi ya kigiriki kisa alphabet ya Kiswahili ilitoka Kwa kilatini iloyotoka Kwa kigiriki?

Tumia akili mkuu mwalimu wako wa Kiswahili chekechea hakukufundisha herufi Q labda kama ulisomea chekechea madrasa
Ndio nikakuambia huna maarifa,neno madrasa ni kwa kiarabu,kwa kiingereza ni school,kwa Kijerumani ni Sule(shule inatakiwa),Kiswahili hatuna neno letu.Rufi shule,ukajifunze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebu mtupie majini mawili apo sheikh yamfunze adabu....Tena mtupie Jini Makata Na Jini Muhamad
Mambo kama haya mungu mwenyewe anajua cha kumfanya ila ningekuwa na uwezo wa kumkamata huyu nishampija mapanga
 
Hapana we ndo hujaelewa, hatuongelei alphabet ya source tunaongelea product ya lugha husika, kwenye kiswahili tuna neno q?
Q sauti yake huwa ni K.Hutokea nyingi pamoja na U kama Qu kwa sauti za KU ,KW,au KV.Hutumiwa pia kwa sauti ya (qaf) au K ya shingoni ya kiarabu kama vile Qatar,ikiandikwa kwa alfabet za kilatini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajitahidi kupandikiza chuki na sumu dhidi ya uislamu, sasa hizo aya ulizozinukuu zote zipo dhidi yako ila kwa kuwa umependa kupindisha ukweli basi wacha tuudhihirishe, unaona wasiyoijua Quran ndiyo unaweza kuwapata, lakini ukweli ukidhihiri basi uongo hujitenga na kwa hakika uongo ni wenye kujitenga.
Tuanze na Quran 2:191 lakini tuanzie na aya 190:-
190. Na piganeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanao kupigeni, wala msianze uadui. Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi waanzao uadui.
191. Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.
192. Lakini wakiacha basi Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
Umeuona uislamu huo?

Quran 3:28 :-

28. Waumini wasiwafanye makafiri kuwa wapenzi wao badala ya Waumini. Na anaye fanya hivyo, basi hatakuwa chochote mbele ya Mwenyezi Mungu. Ila ikiwa kwa ajili ya kujilinda na shari zao. Na Mwenyezi Mungu anakuhadharisheni naye. Na marejeo ni kwa Mwenyezi Mungu.

Quran 3:85 tuanze na aya 84:-
84. Sema: Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na tuliyo teremshiwa sisi, na aliyo teremshiwa Ibrahim, na Ismail, na Is-haak na Yaakub na wajukuu zao, na aliyo pewa Musa na Isa na Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi. Hatubagui baina yao hata mmoja, na sisi ni wenye kusilimu kwake.
85. Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.

Ikiwa mitume yote iliyotangulia walikuwa waislamu unataka Mungu aikubali dini ipi?

Quran 5:33 tuanze na aya 32:-

33. Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa.
34. Isipo kuwa wale walio tubu kabla hamjawatia nguvuni. Na jueni kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira na Mwenye kurehemu.

Quran 8:12:-
12. Mola wako Mlezi alipo wafunulia Malaika: Hakika Mimi ni pamoja nanyi, basi watieni nguvu walio amini. Nitatia woga katika nyoyo za walio kufuru. Basi wapigeni juu ya shingo na wapigeni kwenye kila ncha za vidole.

Quran 8:60 tuanze na aya ya 56 - 65:-
56. Wale ambao miongoni mwao umepatana nao ahadi, kisha wanavunja ahadi yao kila mara, wala hawamchi Mungu.
57. Basi ukiwakuta vitani wakimbize walio nyuma yao ili wapate kukumbuka.
58. Na ukichelea khiana kwa watu fulani basi watupilie ahadi yao kwa usawa. Hakika Mwenyezi Mungu hawapendi makhaini.
59. Wala wasidhanie wale walio kufuru kwamba wao wametangulia mbele. La, wao hawatashinda.
60. Basi waandalieni nguvu kama muwezavyo, na kwa farasi walio fungwa tayari-tayari, ili kuwatishia maadui wa Mwenyezi Mungu na maadui zenu, na wengineo ambao hamwajui, lakini Mwenyezi Mungu anawajua. Na mkitoa chochote katika Njia ya Mwenyezi Mungu mtarudishiwa, na wala nyinyi hamtadhulumiwa.
61. Na wakielekea amani nawe pia elekea, na mtegemee Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua.
62. Na wakitaka kukukhadaa basi Mwenyezi Mungu atakutosheleza. Kwani Yeye ndiye aliye kuunga mkono kwa nusura yake na kwa Waumini.
63. Na akaziunga nyoyo zao. Na lau wewe ungeli toa vyote viliomo duniani usingeli weza kuziunga nyoyo zao, lakini Mwenyezi Mungu ndiye aliye waunganisha. Hakika Yeye ndiye Mtukufu Mwenye nguvu na Mwenye hikima.
64. Ewe Nabii! Mwenyezi Mungu anakutoshelezea wewe na Waumini walio kufuata.
65. Ewe Nabii! Wahimize Waumini wende vitani. Wakiwapo kati yenu ishirini wanao subiri watawashinda mia mbili. Na wakiwapo kati yenu mia watawashinda elfu moja katika walio kufuru. Kwa sababu wao ni watu wasio fahamu.

Quran 9:5 tutaanza aya 3:-
3. Na ni tangazo kutokana na Mwenyezi Mungu na Mtume wake kwa wote siku ya Hija Kubwa kwamba Mwenyezi Mungu na Mtume wake hawana jukumu lolote kwa washirikina. Basi mkitubu itakuwa kheri kwenu, na mkigeuka basi jueni kuwa nyinyi hamumshindi Mwenyezi Mungu. Na wabashirie makafiri kuwa watapata adhabu chungu.
4. Isipo kuwa washirikina ambao mliahidiana nao kisha wasikupunguzieni chochote, wala hawakumsaidia yeyote dhidi yenu, basi hao watimizieni ahadi yao mpaka muda wao. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wacha-Mungu.
5. Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
6. Na ikiwa mmoja wapo katika washirikina akikuomba ulinzi, basi mpe ulinzi apate kusikia maneno ya Mwenyezi Mungu. Kisha mfikishe pahala pake pa amani. Haya ni kwa kuwa hao ni watu wasiojua kitu.

Quran 9:30 :-
30. Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!

Quran 9:123 :-
123. Enyi mlio amini! Piganeni na wale makafiri walio karibu yenu, na wakute ugumu kwenu. Na jueni ya kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wacha- Mungu.

Quran 22:19 :-
19. Hawa wagomvi wawili walio gombana kwa ajili ya Mola wao Mlezi. Basi walio kufuru watakatiwa nguo za moto, na yatamiminwa juu ya vichwa vyao maji yanayo chemka.

Quran 47:4 :-
4. Basi mnapo wakuta walio kufuru wapigeni shingoni mwao, mpaka mkiwadhoofisha wafungeni pingu. Tena waachilieni kwa hisani au wajikomboe, mpaka vita vipoe. Ndio hivyo. Na lau angeli taka Mwenyezi Mungu angeli washinda mwenyewe, lakini haya ni kwa sababu akutieni mitihani nyinyi kwa nyinyi. Na walio uliwa katika njia ya Mwenyezi Mungu hatazipoteza a'mali zao.
Hiyo aya ya 4 ni muendelezo wa aya ya 1 mpaka 3 :-
1. Walio kufuru na wakazuilia njia ya Mwenyezi Mungu, Yeye atavipotoa vitendo vyao.
2. Na walio amini, na wakatenda mema, na wakaamini aliyo teremshiwa Muhammad - nayo ni Haki iliyo toka kwa Mola wao Mlezi - atawafutia makosa yao na ataitengeneza hali yao.
3. Hayo ni kwa sababu walio kufuru wamefuata upotovu, na walio amini wamefuata Haki iliyo toka kwa Mola wao Mlezi. Hivyo ndivyo Mwenyezi Mungu anavyo wapigia watu mifano yao.
Umefafanua vizuri,lakini hii unataka mtu ambaye,hana majibu yake mfukoni.Maelezo yako uwazi,na yanaweleweka hata kwa mtoto wa darasa la kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimesema hivo?? Embu acha kukimbia maswali yangu
Wewe unauliza jibu.Nimeshakuambia uislamu uko tofauti na dini zote,unazozijuwa na usizozijuwa,uislamu haujakataza TIBA ya aina yoyote.Imetoa Amri kabisa,kuwa ukiumwa ujitibu,ndio ukaona kuna TIBA za dawa za kiislamu,maduka mengi utakutwa yanauzwa dawa hizo za kienyeji za kiislamu,wauzaji ni waislamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom