Je, wajua Adam na Hawa walikua rangi gani?

We ndio ktk wale wenye kuamini kuwa Nyani ni binam zako au sio?

Umaskini wa elimu mbaya sana.
Kafe mbele hapa unajaza uharo tu.

Huyu nae ni greater thinker na hapa amefikiri kabla ya kuandika?
 
Niambie wewe unaefuatilia mambo, nini kilichotokea mpaka leo tukapata akina wazungu na akina wachina kama walikua weusi?


Ni ngumu kubadili rangi nyeupe/Nyekundu kuwa nyeusi kuliko nyeusi kuwa nyeupe au nyekundu.
 
Hivi vi2 vinaitaji uchunguzi wa hali ya juu na cio kuropoka unacho hisi ni kweli
 
naomba sura,verse
 
Haya mambo ya genesis bana yana utata! Hapa dawa ni kuvuta kamba upande wako, kama we ni nubian, basi walikuwa nubians, kama mwarabu basi walikuwa waarabu, SIMPLE!
Maana ukija ktk bible, ni Adam na Eve, ukija historia ni Evolution, ukisogea ktk science ni big bang!
Hivyo kwangu, Adam na Hawa walikuwa weusi tena watanzania.
 
Nani aliyesema kua shetani anarangi nyeusi na maraika anarangi nyeupe kama sio ujinga mlio bebeshwa kutokana na media
 
ninachotakiwa kujua kuwa kulikua na Adamu na Eva

walikua wakijani wa njano...
non of our business[emoji41][emoji41]
 

Swal la kujiuliza kwnz ni wap ilikuw bustan ya Eden, historically ukijua ilikuw wap ndo utafaham walikuw ni watu wa aina gan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…