Je, wajua faida za diplomatic passport?

Je, wajua faida za diplomatic passport?

Diplomatic passport huitafuti, Kuna vyeo ukiwa nacho kwa mujibu wa sheria zetu unatakiwa kuwa na diplomatic passport .
Na ukishapata hiyo hadhi (cheo) watu wa idara ya uhamiaji wenyewe wanakutafuta na kukutengenezea diplomatic passport.
Hiyo ndio ilikua understanding yangu..SASA mshangao wangu ulikua ktk bandiko husika...sikupata mantiki yake.. iko kama mtoa mada anatuhamasisha kutafuta hizo books.. ndio maana nilikua nafanya interrogation hii ili nipate mantiki.
 
This is true, niliwahi kuajiriwa na FCO ya UK na kuwa posted Dar es Salaam pale UK Embassy as a political advisor, tulilipa kodi kwenye manunuzi tuu, kwa vile pesa yote ilikuwa inatoka kwao, tulikuwa exempted kodi zote, ila walitoa uhuru kwa wazalendo wanapenda nchi yao, wanaweza kuamua kuchangia kwenye PAYE as individuals.

Hata miradi yote ambayo ni donor funded, ina tax exempt.

Hiyo kazi niliiacha mwenyewe kwa uzalendo tuu, ila kiukweli hali ninayoipitia sasa na huu uzalendo katika mazingira haya ya sasa..., naikumbuka FCO!.
P
Hahaha mzee wetu Pascal Mayalla, kabla haja geuka msifiaji.

Ume nifundisha jinsi ya kusoma upepo, ushujaa sio sehemu yoyote .
 
Back
Top Bottom