chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Haya mambo yako dunia nzima, bahati mbaya watu hawafuatilii katika mitandao na vyombo vya habari.
Kuna matukio mpaka leo yamebaki katika majalada ya uchunguzi, na mpaka leo majalada hayajafungwa!
Ingia chimboni youtube, usipende kuibagaza sana nchi yako
Kuna matukio mpaka leo yamebaki katika majalada ya uchunguzi, na mpaka leo majalada hayajafungwa!
Ingia chimboni youtube, usipende kuibagaza sana nchi yako