asubuhi sana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 1,667
- 1,411
Habari
"JE, WAJUA KITANDA KINA KAZI MBILI?"
Hujui eeh ! Twende hizi hapa !
1. SLEEPING ...... KITANDA ni kwaajili ya KULALA , KUMBUKA kitanda sio sehemu ya kuwazia maisha yako(kama kuna kitu unakiwaza Sana jipe muda ,Fanya vile ambavyo unauwezo navyo sasa) ! ... Sio muda wa kuchat Na SMARTPHONE yako Bro ! KITANDA ni kulala hata wazo la ugumu wa maisha toa ! Jitahidi uweze kulala not less than 6 hours ( utapunguza usongo wa mawazo Na mambo yako yatanyooka )
2. SEX ..... KAZI NYINGINE YA KITANDA CHAKO NI SEX ... Hapa mtu hafundishwi kupakua Na kupalia ... Hujui eeh mcheki Demiss @pennymoney
---- usiruhusu MPENZI wako atumie simu akiwa KITANDANI ... Jifanye ndo Sheria zako ... Mwanamke atakuheshimu siku zote
"JE, WAJUA KITANDA KINA KAZI MBILI?"
Hujui eeh ! Twende hizi hapa !
1. SLEEPING ...... KITANDA ni kwaajili ya KULALA , KUMBUKA kitanda sio sehemu ya kuwazia maisha yako(kama kuna kitu unakiwaza Sana jipe muda ,Fanya vile ambavyo unauwezo navyo sasa) ! ... Sio muda wa kuchat Na SMARTPHONE yako Bro ! KITANDA ni kulala hata wazo la ugumu wa maisha toa ! Jitahidi uweze kulala not less than 6 hours ( utapunguza usongo wa mawazo Na mambo yako yatanyooka )
2. SEX ..... KAZI NYINGINE YA KITANDA CHAKO NI SEX ... Hapa mtu hafundishwi kupakua Na kupalia ... Hujui eeh mcheki Demiss @pennymoney
---- usiruhusu MPENZI wako atumie simu akiwa KITANDANI ... Jifanye ndo Sheria zako ... Mwanamke atakuheshimu siku zote