Je, wajua kitanda kina kazi mbili?

asubuhi sana

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2015
Posts
1,667
Reaction score
1,411
Habari

"JE, WAJUA KITANDA KINA KAZI MBILI?"

Hujui eeh ! Twende hizi hapa !

1. SLEEPING ...... KITANDA ni kwaajili ya KULALA , KUMBUKA kitanda sio sehemu ya kuwazia maisha yako(kama kuna kitu unakiwaza Sana jipe muda ,Fanya vile ambavyo unauwezo navyo sasa) ! ... Sio muda wa kuchat Na SMARTPHONE yako Bro ! KITANDA ni kulala hata wazo la ugumu wa maisha toa ! Jitahidi uweze kulala not less than 6 hours ( utapunguza usongo wa mawazo Na mambo yako yatanyooka )


2. SEX ..... KAZI NYINGINE YA KITANDA CHAKO NI SEX ... Hapa mtu hafundishwi kupakua Na kupalia ... Hujui eeh mcheki Demiss @pennymoney
---- usiruhusu MPENZI wako atumie simu akiwa KITANDANI ... Jifanye ndo Sheria zako ... Mwanamke atakuheshimu siku zote
 

Attachments

  • IMG-20190517-WA0000.jpeg
    26.1 KB · Views: 41
Na hako kakisuguu kalikuwa ni kadogo kiasi gani, huyo mhuni kakiminya na kushindwa kujaza hata kiganja cha mkono!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…