Je wajua kuhusu hasara za kunywa Juice nyingi?

Je wajua kuhusu hasara za kunywa Juice nyingi?

Mr Lukwaro

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
359
Reaction score
629
Wataalamu wa afya wanasema Unywaji wa juice nyingi ya matunda au matunda yenyew kwa wakati mmoja
Inaweza kusababisha kwenda chooni sana yaani kuendesha (kuharisha) , Hapa wahenga tuliokulia kijinini nadhani tunaelewana ,Hasa ile misimu ya Maembe , Huwa tunayafakamia then tunaenda kucheza sasa na segere chooni😁.

Hii ni kwasababu matunda kitaalamu huwa na Mchanganyiko wa vitamins ambavyo huwa havina tabia ya kukaa sana kwenye mwili wa binadamu kwani huwa havihitajiki kwa kiasi kikubwa kwa wakati mmoja, Hivyo unywaji wa juice nyingi ya matunda au matunda yenyewe mengi kwa wakati mmoja husababisha vitamins hivo kutoka kwa njia ya kwenda chooni kwasababu haviwezi kuhifadhika kwa wingi.

Epuka kunywa juice nyingi kwa wakati mmoja, 1 glass inatosha kabisa na ni vyema zaidi kuwa na utaratibu wa kupata anagalau tunda au Glass 1 kila siku
 
Eat papaire the drink juice your day is going to be good in the toilet dont forget the nuts
 
Juice zinanenepesha. Kula tunda zima.
1 glass of Juice inaweza kuwa machungwa 10, lakini huwezi kula machungwa 10 kwa wakati 1.
 
Wataalamu wa afya wanasema Unywaji wa juice nyingi ya matunda au matunda yenyew kwa wakati mmoja
Inaweza kusababisha kwenda chooni sana yaani kuendesha (kuharisha) , Hapa wahenga tuliokulia kijinini nadhani tunaelewana ,Hasa ile misimu ya Maembe , Huwa tunayafakamia then tunaenda kucheza sasa na segere chooni😁.

Hii ni kwasababu matunda kitaalamu huwa na Mchanganyiko wa vitamins ambavyo huwa havina tabia ya kukaa sana kwenye mwili wa binadamu kwani huwa havihitajiki kwa kiasi kikubwa kwa wakati mmoja, Hivyo unywaji wa juice nyingi ya matunda au matunda yenyewe mengi kwa wakati mmoja husababisha vitamins hivo kutoka kwa njia ya kwenda chooni kwasababu haviwezi kuhifadhika kwa wingi.

Epuka kunywa juice nyingi kwa wakati mmoja, 1 glass inatosha kabisa na ni vyema zaidi kuwa na utaratibu wa kupata anagalau tunda au Glass 1 kila siku

Habari,

Msingi wa matunda mengi au juisi kusababisha kuharisha uko kwenye:

1: Kunywa juisi yenye uchafu/ contaminated bila bacteria au virusi.

2: Kunywa juisi iliyokuwa na vyanzo vya magonjwa kama virusi au bakteria.

3: Kunywa juisi kwa wingi au matunda mengi.

Matunda huwa yana sukari aina ya FRUCTOSE. Mawili una uwezo wake wa kuchukua sukari ya aina hii. Hivyo kiasi hicho kinapofikiwa sukari hii huachwa itoke nje ya mwili.

Wakati contents za tumbo zinapofika kwenye utumbo mkubwa mwili hufanya counter current/ check and balance ya contents za kwenye utumbo dhidi ya mwili. Hapo ndo kuonekana choo kuwa concentrated kubwa kwa kuwa na sukari nyingi, mwisho maji huvutwa toka kwenye mwili kuja kwenye utumbo/choo.
Hii mwisho huitwa OSMOTIC DIARRHOEA.
 
Mm na swali kwako mtoa mada Kwan kuna ubaya mtu anapo harisha baada ya kunywa juice kwa wingi?

NB sababu iwe juice tu bila kuwepo kwa infections.

Mimi mtazamo wangu ni Sawa kutokana na kwamba baadhi ya matunda ni natural laxatives so ni muhimu kuyapata ili kuweza kusafisha mfumo wa umeng'enyaji
 
Back
Top Bottom