Je, wajua kuna kazi ambazo zinadharaulika katika lakini zina kipato kikubwa?

Je, wajua kuna kazi ambazo zinadharaulika katika lakini zina kipato kikubwa?

King Jody

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2022
Posts
1,834
Reaction score
3,456
Hello wana jamii kwema humu?

Kuna baadhi ya kazi/Shughuli ambazo watu wanazichukulia poa lakini zina kipato cha maana,

Kwa mfano kuna mtu namfahamu kazi yake ni kuzibua vyoo, lakini anakwambia anaingiza pesa za kutosha,
jamaa amekuwa maarufu kwa kazi hii, ana familia na maisha yanasonga kama kawaida,

Mfano mwingine kuna jamaa wawili (Brothers) nawafamu walikuwa wamachinga, mwisho wa siku wakafungua duka, baada ya muda wakafungua lingine, wakajenga nyumba za kupangisha, kwa kifupi wapo vizuri,

Main Point kazi ni kazi, usichague kazi huwezi jua utatokea wapi.
 

Attachments

Hello wana jamii kwema humu?

Kuna baadhi ya kazi/Shughuli ambazo watu wanazichukulia poa lakini zina kipato cha maana,

Kwa mfano kuna mtu namfahamu kazi yake ni kuzibua vyoo, lakini anakwambia anaingiza pesa za kutosha,
jamaa amekuwa maarufu kwa kazi hii, ana familia na maisha yanasonga kama kawaida,

mfano mwingine kuna jamaa wawili (Brothers) nawafamu walikuwa wamachinga, mwisho wa siku wakafungua duka, baada ya muda wakafungua lingine, wakajenga nyumba za kupangisha, kwa kifupi wapo vizuri,

Main Point kazi ni kazi, usichague kazi huwezi jua utatokea wapi.
Kila Kazi inayoonekana na macho ya wengi nyuma yake kuna Kazi inayoonekana na wachache na hii ndio msingi
 
Hello wana jamii kwema humu?

Kuna baadhi ya kazi/Shughuli ambazo watu wanazichukulia poa lakini zina kipato cha maana,

Kwa mfano kuna mtu namfahamu kazi yake ni kuzibua vyoo, lakini anakwambia anaingiza pesa za kutosha,
jamaa amekuwa maarufu kwa kazi hii, ana familia na maisha yanasonga kama kawaida,

Mfano mwingine kuna jamaa wawili (Brothers) nawafamu walikuwa wamachinga, mwisho wa siku wakafungua duka, baada ya muda wakafungua lingine, wakajenga nyumba za kupangisha, kwa kifupi wapo vizuri,

Main Point kazi ni kazi, usichague kazi huwezi jua utatokea wapi.
Naomba maneno haya ya kazi inayodharaulika ondoa wale wenye kutumia kazi hizo kuficha mambo yao..!! Mtu anazibua vyoo kumbe muuza madawa. Wengine mnadhani kuzibua vyoo ndo kumempa hela..!! Wengine kazi hizo za kudharaulika wanazitumia kutakatishia fedha, kutakatishia matendo maovu, etc..!!!
 
Usisaau na wale wa Dry Cleaner asee
20241110_190544.jpg
 
Back
Top Bottom