una buku hapo
Member
- Dec 26, 2023
- 40
- 80
Kazi ni kazi tu huko kudharaulika ni akili tu za watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie sijui ndio nilikuwa nakuja kula desana wewe unaruhusiwa kuongeza mkuu
Naona zina fumuka tuu siku hiziUsisaau na wale wa Dry Cleaner asee
Hapana kabisa mkuusorry bro, umewahi fanya kazi wilaya ya kyela?
kuna jamaa way back hospital ya kcmc alikua anapiga mashine mabint wazuri (waliokufa)mochwari dah..Kazi ya mochwari natamani kuirudia
Kuna jamaa yangu yuko canada anaokota makopo hyo kaz kanambia mm tu maana huwez sema mbele za watu, ila kajenga yuko vzur yani usafiri wa maaba huwez aminiHello wana jamii kwema humu?
Kuna baadhi ya kazi/Shughuli ambazo watu wanazichukulia poa lakini zina kipato cha maana,
Kwa mfano kuna mtu namfahamu kazi yake ni kuzibua vyoo, lakini anakwambia anaingiza pesa za kutosha,
jamaa amekuwa maarufu kwa kazi hii, ana familia na maisha yanasonga kama kawaida,
Mfano mwingine kuna jamaa wawili (Brothers) nawafamu walikuwa wamachinga, mwisho wa siku wakafungua duka, baada ya muda wakafungua lingine, wakajenga nyumba za kupangisha, kwa kifupi wapo vizuri,
Main Point kazi ni kazi, usichague kazi huwezi jua utatokea wapi.
Unahoja kwahiyo mwanawo unampigia pande akazibue vyooHello wana jamii kwema humu?
Kuna baadhi ya kazi/Shughuli ambazo watu wanazichukulia poa lakini zina kipato cha maana,
Kwa mfano kuna mtu namfahamu kazi yake ni kuzibua vyoo, lakini anakwambia anaingiza pesa za kutosha,
jamaa amekuwa maarufu kwa kazi hii, ana familia na maisha yanasonga kama kawaida,
Mfano mwingine kuna jamaa wawili (Brothers) nawafamu walikuwa wamachinga, mwisho wa siku wakafungua duka, baada ya muda wakafungua lingine, wakajenga nyumba za kupangisha, kwa kifupi wapo vizuri,
Main Point kazi ni kazi, usichague kazi huwezi jua utatokea wapi.
Shukran sana mkuu,.....Hapana kabisa mkuu