Je, wajua kuna kazi ambazo zinadharaulika katika lakini zina kipato kikubwa?

Je, wajua kuna kazi ambazo zinadharaulika katika lakini zina kipato kikubwa?

Ukonda wa daladala kuna jamaa namfahamu siku akishika chuma kushuka na 50k hizi kawaida sana per day sema ni mvivu sana mshkaji
 
Hello wana jamii kwema humu?

Kuna baadhi ya kazi/Shughuli ambazo watu wanazichukulia poa lakini zina kipato cha maana,

Kwa mfano kuna mtu namfahamu kazi yake ni kuzibua vyoo, lakini anakwambia anaingiza pesa za kutosha,
jamaa amekuwa maarufu kwa kazi hii, ana familia na maisha yanasonga kama kawaida,

Mfano mwingine kuna jamaa wawili (Brothers) nawafamu walikuwa wamachinga, mwisho wa siku wakafungua duka, baada ya muda wakafungua lingine, wakajenga nyumba za kupangisha, kwa kifupi wapo vizuri,

Main Point kazi ni kazi, usichague kazi huwezi jua utatokea wapi.
Kuna jamaa yangu yuko canada anaokota makopo hyo kaz kanambia mm tu maana huwez sema mbele za watu, ila kajenga yuko vzur yani usafiri wa maaba huwez amini
 
Hello wana jamii kwema humu?

Kuna baadhi ya kazi/Shughuli ambazo watu wanazichukulia poa lakini zina kipato cha maana,

Kwa mfano kuna mtu namfahamu kazi yake ni kuzibua vyoo, lakini anakwambia anaingiza pesa za kutosha,
jamaa amekuwa maarufu kwa kazi hii, ana familia na maisha yanasonga kama kawaida,

Mfano mwingine kuna jamaa wawili (Brothers) nawafamu walikuwa wamachinga, mwisho wa siku wakafungua duka, baada ya muda wakafungua lingine, wakajenga nyumba za kupangisha, kwa kifupi wapo vizuri,

Main Point kazi ni kazi, usichague kazi huwezi jua utatokea wapi.
Unahoja kwahiyo mwanawo unampigia pande akazibue vyoo
 
Back
Top Bottom