Je, wajua kuwa kiatu chako kinaweza kukuambia umri wako?

Je, wajua kuwa kiatu chako kinaweza kukuambia umri wako?

Yawezekana ulishawahi kufanya hivyo au kusikia toka wa wanaSayansi na wengineo! Ukweli nikuwa namba ya kiatu chako inaweza kukuambia umri wako!
Sasa fanya hivi;
1. Andika namba ya kiatu unachovaa

2. Zidisha kwa 5
3. Jumlisha 50
4. Zidisha kwa 20
5. Jumlisha 1013
6. Toa mwaka wako wa kuzaliwa
Hivyo, namba ya kwanza ni size ya kiatu chako, na namba mbili za mwisho ndiyo umri wako.
Fanya hivyo kasha ni PM kwa kunipa matokeo.

Miwatamu ulisoma ART nini? Sasa SCIENCE hapo imekusaidiaje kujua umri wako wakati huo umri umeingizwa kwenye calculation? Ni sawa nikisema Zero yaweza kukusaidia kujua umri wako. Nitakwambia chukua miaka yako, jumlisha na zero, jibu upatalo ndio umri wako. Hiyo hesabu yako haiwezi kumsaidia mtu kujua umri wake kama haufahamu. Ni blah blah za walimu wa primary school.
 
Last edited by a moderator:
Yawezekana ulishawahi kufanya hivyo au kusikia toka wa wanaSayansi na wengineo! Ukweli nikuwa namba ya kiatu chako inaweza kukuambia umri wako!
Sasa fanya hivi;
1. Andika namba ya kiatu unachovaa

2. Zidisha kwa 5
3. Jumlisha 50
4. Zidisha kwa 20
5. Jumlisha 1013
6. Toa mwaka wako wa kuzaliwa
Hivyo, namba ya kwanza ni size ya kiatu chako, na namba mbili za mwisho ndiyo umri wako.
Fanya hivyo kasha ni PM kwa kunipa matokeo.

Ingekuwa hutaji mwaka wa kuzaliwa ingekuwa kitu kipya,lakin kwa kutaja mwaka wa kuzaliwa hamna jipya...mnatutoa katika ajenda za kitaifa kwa upuuzi
 
Haya bana mtoa mada naona unakumbushia zile za fikiria namba isiyo zero(x), jumlisha yenyewe kwa yenyewe, jibu zidisha kwa 3 gawia kwa namba uliyofikiria mwanzo(x) jibu unapata 6 (ukibisha fanya).
Achana na hizo tricks za kitoto, learn hizapa math tricks mbili utabaki unashangaa how is that even possible.
NO.1
chukua umri wako, jumlisha 2, zidisha sifuri jibu ni 0.(anaebisha akatae)
ok seriously
NO.2
Urefu wa unyayo wako gawa 0.15 ni sawa na urefu wako. So nikiona viatu au nikiona nyayo yako naweza kujua how tall are you. For more pitia post and know how it works and used by the CSI in ID'ing the suspect.
 
Back
Top Bottom