Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,346
Katika mimea ambayo ina aphrodisiac properties (mikuyati), kunde za ----- ndio ambazo zinaweza kupatikana kirahisi sana maeneo ya Tanzania. Unaweza kuzikaanga kama unavyokaanga karanga, kisha ukachovya kwenye asali na kutafuna kama karanga kidogo kidogo.
Tahadhari:
Usile nyingi (zaidi ya gramu 50) kwa wakati mmoja...
He! Naona neno upu.pu haliandikiki humu jf. Anyway! Upu.pu kwa jinsi ninavyolewa mimi ni mmea jamii ya kunde ambao kwa kitaalamu unaitwa Mucuna pruriens (buffalo bean). Humu jf ni tusi!!!!
Tahadhari:
Usile nyingi (zaidi ya gramu 50) kwa wakati mmoja...
He! Naona neno upu.pu haliandikiki humu jf. Anyway! Upu.pu kwa jinsi ninavyolewa mimi ni mmea jamii ya kunde ambao kwa kitaalamu unaitwa Mucuna pruriens (buffalo bean). Humu jf ni tusi!!!!