LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Segmund Freud kwenye kitabu chake," Introductory Lectures on Psychoanalysis " anasema "Words and magic were in the beginning one and the same thing and even today words retain much of their magical powers ".
Ni Kweli kabisa maneno Yana nguvu kubwa Sana. Yanaweza kuua Na kuhuisha.
Haya Sasa twende Kwa Tupac Na Lil Kim.
Tupac kwenye wimbo wake " Hit em up" anasikika akisema.
" Lil Kim don't fvk around with real G's quick to snatch yo' ugly ass off the streets."
Tangu Tupac amwambie Lil Kim maneno hayo, Lil Kim hajawahi kujiona mzuri , kujikubali Wala kujipenda.
Maneno ya Tupac ni kama yalikuwa yanajirudia RUDIA Kila siku kwenye ubongo wa Lil Kim.
Kama wasemavyo watu wenye hekima Na busara " The thoughts will always conceive the thinker" . Lil Kim amekuwa conceived by her own thoughts that she is ugly.
Mwisho wa siku Lil Kim kaamua kufanya surgery kubadilisha muonekano wa sura yake.
LESSON NUMBER ONE
Kuwa makini Zaidi unapo fungua kinywa Chako kumtamkia mtu maneno Kwa Sababu neno Moja linaweza kubadilisha/ kugeuza juu chini Maisha ya mtu huyo. ..
Katika ulimwengu WA roho ulimi Ni upanga Mkali Sana ulao kuwili Na maneno ni kama mshale so kuwa makini Sana unapokuwa una tupa mishale yako Kwa watu Kwa Sababu unaweza kugeuza Maisha Yao.
# Lil Kim was more beautifu when she was natural then now that she has undergone a nonsensical surgery.
She looks like she died last week.
N.B: kuwa makini Sana kama wewe nyota yako Ni mapacha " Gemini" watu wa nyota ya mapacha wanatajwa kuwa na midomo inayo UMBA yenye uwezo WA kipekee WA kuua Na kuhuisha..
Tupac was Gemini too. Matter fact Big Smalls too was gemini.
LESSON NUMBER TWO: NEVER PAY ATTENTION TO THE WORDS OF UR ENEMIES, FOR THEY SHALL GIVE U DIRECTION. They shall instruct you what to do and what not to do. Ona kama Lil Kim maneno ya Tupac yame muelekeza kitu Gani cha kufanya.
Ni Kweli kabisa maneno Yana nguvu kubwa Sana. Yanaweza kuua Na kuhuisha.
Haya Sasa twende Kwa Tupac Na Lil Kim.
Tupac kwenye wimbo wake " Hit em up" anasikika akisema.
" Lil Kim don't fvk around with real G's quick to snatch yo' ugly ass off the streets."
Tangu Tupac amwambie Lil Kim maneno hayo, Lil Kim hajawahi kujiona mzuri , kujikubali Wala kujipenda.
Maneno ya Tupac ni kama yalikuwa yanajirudia RUDIA Kila siku kwenye ubongo wa Lil Kim.
Kama wasemavyo watu wenye hekima Na busara " The thoughts will always conceive the thinker" . Lil Kim amekuwa conceived by her own thoughts that she is ugly.
Mwisho wa siku Lil Kim kaamua kufanya surgery kubadilisha muonekano wa sura yake.
LESSON NUMBER ONE
Kuwa makini Zaidi unapo fungua kinywa Chako kumtamkia mtu maneno Kwa Sababu neno Moja linaweza kubadilisha/ kugeuza juu chini Maisha ya mtu huyo. ..
Katika ulimwengu WA roho ulimi Ni upanga Mkali Sana ulao kuwili Na maneno ni kama mshale so kuwa makini Sana unapokuwa una tupa mishale yako Kwa watu Kwa Sababu unaweza kugeuza Maisha Yao.
# Lil Kim was more beautifu when she was natural then now that she has undergone a nonsensical surgery.
She looks like she died last week.
N.B: kuwa makini Sana kama wewe nyota yako Ni mapacha " Gemini" watu wa nyota ya mapacha wanatajwa kuwa na midomo inayo UMBA yenye uwezo WA kipekee WA kuua Na kuhuisha..
Tupac was Gemini too. Matter fact Big Smalls too was gemini.
LESSON NUMBER TWO: NEVER PAY ATTENTION TO THE WORDS OF UR ENEMIES, FOR THEY SHALL GIVE U DIRECTION. They shall instruct you what to do and what not to do. Ona kama Lil Kim maneno ya Tupac yame muelekeza kitu Gani cha kufanya.