Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano? Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?

Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano? Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?

Wanabodi,

Wakati tukijiandaa rasmi kuingia kwenye serikali 3, tutake tusitake, lazima tutarudi nyuma kuungazia muungano wetu, na kabla hatujaingia katika serikali tatu, lazima kwanza tuwe na Mkataba rasmi wa Muungano, ndipo zifuate hizo serikali 3. Hiki kilichopo, kinaichwa Mkataba wa Muungano, "Articles of Union", kiukweli, nasema bila kumung'unya maneno, sio Mkataba wa Muungano (contract), bali ni Makubaliano ya Muungano (Agreement) tuu.

Kuna tofauti kubwa kati ya Mkataba na Makubaliano, kila mkataba ni makubaliano, ila sio kila makubaliano ni mkataba!. Yaani "Every contract is agreement, but not every agreement is a contract!".

Ili makubaliano yaitwe mkataba, ni lazima makubaliano hayo yawe na sifa kuu nne za mkataba. Kwa bahati mbaya sana, Makubaliano ya Muungano wetu, yamekosa baadhi ya sifa hizo muhimu.

Ambatana nami katika kuyachambua haya makubaliano ya muungano kwa nini ni makubaliano tuu na sio mkataba, na niu kwa nini lazima kwanza tuwe na mkataba wa muungano ndipo tuweze kwenda kwenye serikali tatu.

Kwa wale wenye nafasi, mnaweza kuanza kuyapitia haya makubaliano ya muungano, kisha tutapelekana kidogo kidogo kwa lugha rahisi kwa kila mtu kulielewa hili.

NB. Mambo mengine, yako kisheria zaidi, ila bado I stand to be corrected na "the learned brothers and sisters"

Kwa wale ambao sio wanasheria, unaweza pia kuwa mwanasheria bila kusomea chuo chochote
kwa kuanzia jisemee mwenyewe
  1. What is a contract?
  2. What is an agreement?
  3. What are the differences between Contacts and Agreements?
  4. Why every contract is an agreement but not all agreements are contracts
  5. Baada ya kusoma hayo hapo juu, tunaweza kwenda pamoja kujua kwa nini makubaliano ya muungano sio mkataba!
NB. Japo makubaliano haya ya muungano sio mkataba, na japo hayakuridhiwa rasmi Zanzibar (ratification), bado ni makubaliano halali, hivyo muungano wetu ni halali na nchi yetu Tanzania ni nchi halali (de facto) ila sio halali kisheria (de jure).

Karibu uandamane nami.

Pasco.
Nawatakia mapumziko mema ya leo siku ya Muungano.

Pasco
 
Wanabodi,

Wakati tukijiandaa rasmi kuingia kwenye serikali 3, tutake tusitake, lazima tutarudi nyuma kuungazia muungano wetu, na kabla hatujaingia katika serikali tatu, lazima kwanza tuwe na Mkataba rasmi wa Muungano, ndipo zifuate hizo serikali 3. Hiki kilichopo, kinaichwa Mkataba wa Muungano, "Articles of Union", kiukweli, nasema bila kumung'unya maneno, sio Mkataba wa Muungano (contract), bali ni Makubaliano ya Muungano (Agreement) tuu.

Kuna tofauti kubwa kati ya Mkataba na Makubaliano, kila mkataba ni makubaliano, ila sio kila makubaliano ni mkataba!. Yaani "Every contract is agreement, but not every agreement is a contract!".

Ili makubaliano yaitwe mkataba, ni lazima makubaliano hayo yawe na sifa kuu nne za mkataba. Kwa bahati mbaya sana, Makubaliano ya Muungano wetu, yamekosa baadhi ya sifa hizo muhimu.

Ambatana nami katika kuyachambua haya makubaliano ya muungano kwa nini ni makubaliano tuu na sio mkataba, na niu kwa nini lazima kwanza tuwe na mkataba wa muungano ndipo tuweze kwenda kwenye serikali tatu.

Kwa wale wenye nafasi, mnaweza kuanza kuyapitia haya makubaliano ya muungano, kisha tutapelekana kidogo kidogo kwa lugha rahisi kwa kila mtu kulielewa hili.

NB. Mambo mengine, yako kisheria zaidi, ila bado I stand to be corrected na "the learned brothers and sisters"

Kwa wale ambao sio wanasheria, unaweza pia kuwa mwanasheria bila kusomea chuo chochote
kwa kuanzia jisemee mwenyewe
  1. What is a contract?
  2. What is an agreement?
  3. What are the differences between Contacts and Agreements?
  4. Why every contract is an agreement but not all agreements are contracts
  5. Baada ya kusoma hayo hapo juu, tunaweza kwenda pamoja kujua kwa nini makubaliano ya muungano sio mkataba!
NB. Japo makubaliano haya ya muungano sio mkataba, na japo hayakuridhiwa rasmi Zanzibar (ratification), bado ni makubaliano halali, hivyo muungano wetu ni halali na nchi yetu Tanzania ni nchi halali (de facto) ila sio halali kisheria (de jure).

Karibu uandamane nami.

Pasco.

Up Date !.
Happy New Year!
Pasco.


Pasco,

Hii huitwa Hati ya Muungano,

Bila kupoteza Muda, nikusahihishe tu kwamba Makubaliano haya yalifanyiwa ratification kwa pande zote mbili. Kwa Tanganyika, yalifanyiwa ratification na bunge la Tanganyika mwaka 1964 punde tu baada ya kupitisha sheria ya Union Of Tanganyika and Zanzibar Act No. 22 1964, na kwa upande wa Zanzibar yalifanyiwa ratification na Baraza la Mapinduzi(Revolutionary Council; lilikua lina mamlaka ya kibunge) punde tu baada ya kupitishwa sheria ya Union Of Zanzibar and Tanganyika Law 1964.

Kwahiyo basi, hiyo dhana ya kusema kwamba Muungano haukuridhiwa na upande wa Zanzibar SIO KWELI.
 
Pasco,

Hii huitwa Hati ya Muungano,

Bila kupoteza Muda, nikusahihishe tu kwamba Makubaliano haya yalifanyiwa ratification kwa pande zote mbili. Kwa Tanganyika, yalifanyiwa ratification na bunge la Tanganyika mwaka 1964 punde tu baada ya kupitisha sheria ya Union Of Tanganyika and Zanzibar Act No. 22 1964, na kwa upande wa Zanzibar yalifanyiwa ratification na Baraza la Mapinduzi(Revolutionary Council; lilikua lina mamlaka ya kibunge) punde tu baada ya kupitishwa sheria ya Union Of Zanzibar and Tanganyika Law 1964.

Kwahiyo basi, hiyo dhana ya kusema kwamba Muungano haukuridhiwa na upande wa Zanzibar SIO KWELI.
Mkuu Muwindaji, una uhakika Zanzibar wali ratify?!, jee unajua ratification huwa inafanyikaje?!.

Tembelea uzi huu Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana ...

Pasco
 
Leo siku ya Muungano sio vibaya Tukijikumbusha mambo ya Muungano wetu adhimu ambao tutaulinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia Muungano mwema.
P.
 
Leo siku ya Muungano sio vibaya Tukijikumbusha mambo ya Muungano wetu adhimu ambao tutaulinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia Muungano mwema.
P.
Kuulinda kwa "gharama yoyote" inamaanisha hata kama kuwaua wananchi ambao hawakubaliani na huu Muungano kama itatokea wakajaribu ku rise? (ambao ni zaidi ya 50% ya Wazanzibar)..??
 
Yes kuna makubaliano mengi sana watu wanayaita ni mikataba, kumbe kiukweli sio mikataba bali ni makubaliano tuu, kila mkataba ni makubaliano, ila sio kila makubaliano ni mkataba!. Ili makubaliano yawe mkataba, lazima yakidhi vigezo fulani, makubaliano ya muungano, hayakidhi na ndio maana hati zile zimefichwa, na kule umoja wa mataifa imeandikwa zimepelekwa ila kiukweli hazikupelekwa na hazipo!.

Pasco
! Ina maana kama kawaida yetu kilichopelekwa huko ni HEWA!
 
Kuulinda kwa "gharama yoyote" inamaanisha hata kama kuwaua wananchi ambao hawakubaliani na huu Muungano kama itatokea wakajaribu ku rise? (ambao ni zaidi ya 50% ya Wazanzibar)..??
Maana ya gharama yoyote ni at any cost.
P
 
Pashal bhana yaani kwanza nilifikiri kwenye andiko lako utakuja na sheria ya kimataifa kuhusu Muungano wa nchi au Mataifa alafu ndo usema hamna makubaliano au mkataba wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar (Article of the Union) sasa Charter of the Union tuitafute labda.
CC Mh.Lissu
 
muungano mkataba ulioandaliwa na CIA kazi ya nyerere na karume ilikuwa kusign tu. mwaka 1964 kuanzia january jeshi lilipoasi, mapinduz ya zanziba ulikuwa na heka heka nyingi hata muungano uliharakishwa na CIA kwa hofu ya zanzibar kuwa kitovu cha communists
 
Wanabodi,

Wakati tukijiandaa rasmi kuingia kwenye serikali 3, tutake tusitake, lazima tutarudi nyuma kuungazia muungano wetu, na kabla hatujaingia katika serikali tatu, lazima kwanza tuwe na Mkataba rasmi wa Muungano, ndipo zifuate hizo serikali 3. Hiki kilichopo, kinachoitwa Mkataba wa Muungano, "Articles of Union", kiukweli, nasema bila kumung'unya maneno, sio Mkataba wa Muungano (contract), bali ni Makubaliano ya Muungano (Agreement) tuu.

Kuna tofauti kubwa kati ya Mkataba na Makubaliano, kila mkataba ni makubaliano, ila sio kila makubaliano ni mkataba!. Yaani "Every contract is agreement, but not every agreement is a contract!".
Kama ilivyo kwa uraia wa Tanzania, kila Mzanzibari ni Mtanzania lakini sio kila Mtanzania ni Mzanzibari.

Ili makubaliano yaitwe mkataba, ni lazima makubaliano hayo yawe na sifa kuu nne za mkataba. Kwa bahati mbaya sana, Makubaliano ya Muungano wetu, yamekosa baadhi ya sifa hizo muhimu.

Ambatana nami katika kuyachambua haya makubaliano ya muungano kwa nini ni makubaliano tuu na sio mkataba, na ni kwa nini lazima kwanza tuwe na mkataba wa muungano ndipo tuweze kwenda kwenye serikali tatu.

Kwa wale wenye nafasi, mnaweza kuanza kuyapitia haya makubaliano ya muungano, kisha tutapelekana kidogo kidogo kwa lugha rahisi kwa kila mtu kulielewa hili.

NB. Mambo mengine, yako kisheria zaidi, ila bado I stand to be corrected na "the learned brothers and sisters"

Kwa wale ambao sio wanasheria, unaweza pia kuwa mwanasheria bila kusomea chuo chochote cha sheria, bali kwa kujisomea tuu mambo ya kisheria kama hapa.
kwa kuanzia jisomee mwenyewe
  1. What is a contract?
  2. What is an agreement?
  3. What are the differences between Contacts and Agreements?
  4. Why every contract is an agreement but not all agreements are contracts
  5. Baada ya kusoma hayo hapo juu, tunaweza kwenda pamoja kujua kwa nini makubaliano ya muungano sio mkataba!
NB. Japo makubaliano haya ya muungano sio mkataba, na japo hayakuridhiwa rasmi na upande wa Zanzibar (ratification), bado ni makubaliano halali, hivyo muungano wetu ni halali na nchi yetu Tanzania ni nchi halali (de facto) ila sio halali kisheria (de jure).

Happy New Year!
Pasco.
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni muungano halalali kabisa na ndio maana Hayati karume na hayati Mwalimu Nyerere walikutana ukumbi wa karimjee na kubadilishana legal documents za kuanzisha muungano huu.
Kuhusu hoja kuwa Revolutionary council ya Zanzibar wakati huo haikuratify articles of union sil kweli, tume ya Jaji Francis Nyalali ilithibitisha kuwa Revolutionary council ya Zanzibar iliratify. Na kuna baadhi ya wajumbe walitoa ushahidi juu ya hili. Mmojawapo ni Abdulhaman Babu.
 

Attachments

  • IMG_20200426_0001.jpeg
    IMG_20200426_0001.jpeg
    139.1 KB · Views: 5
Leo Tarehe 26 April, 2020 ni sikukuu ya Muungano, sikukuu hii ndio sikukuu muhimu kuliko hata uhuru kwasababu hii ni siku JMT ilipozaliwa. Lakini kutokana na janga hili la Corona, siku hii inaadhimishwa kimya kimya.
Naawatakia Muungano mwema huku nikisisitiza
Nautakia huu muungano wetu adhimu udumu milele na hivyo kukitokea yoyote anayetaka kuuchokoa muungano, namshauri chokochoko amchokoe pweza, muungano hutauweza kwasababu tutaulinda kwa gharama yoyote.
Nawatakia muungano mwema.
P
 
Wanabodi,

Wakati tukijiandaa rasmi kuingia kwenye serikali 3, tutake tusitake, lazima tutarudi nyuma kuungazia muungano wetu, na kabla hatujaingia katika serikali tatu, lazima kwanza tuwe na Mkataba rasmi wa Muungano, ndipo zifuate hizo serikali 3. Hiki kilichopo, kinachoitwa Mkataba wa Muungano, "Articles of Union", kiukweli, nasema bila kumung'unya maneno, sio Mkataba wa Muungano (contract), bali ni Makubaliano ya Muungano (Agreement) tuu.

Kuna tofauti kubwa kati ya Mkataba na Makubaliano, kila mkataba ni makubaliano, ila sio kila makubaliano ni mkataba!. Yaani "Every contract is agreement, but not every agreement is a contract!".
Kama ilivyo kwa uraia wa Tanzania, kila Mzanzibari ni Mtanzania lakini sio kila Mtanzania ni Mzanzibari.

Ili makubaliano yaitwe mkataba, ni lazima makubaliano hayo yawe na sifa kuu nne za mkataba. Kwa bahati mbaya sana, Makubaliano ya Muungano wetu, yamekosa baadhi ya sifa hizo muhimu.

Ambatana nami katika kuyachambua haya makubaliano ya muungano kwa nini ni makubaliano tuu na sio mkataba, na ni kwa nini lazima kwanza tuwe na mkataba wa muungano ndipo tuweze kwenda kwenye serikali tatu.

Kwa wale wenye nafasi, mnaweza kuanza kuyapitia haya makubaliano ya muungano, kisha tutapelekana kidogo kidogo kwa lugha rahisi kwa kila mtu kulielewa hili.

NB. Mambo mengine, yako kisheria zaidi, ila bado I stand to be corrected na "the learned brothers and sisters"

Kwa wale ambao sio wanasheria, unaweza pia kuwa mwanasheria bila kusomea chuo chochote cha sheria, bali kwa kujisomea tuu mambo ya kisheria kama hapa.
kwa kuanzia jisomee mwenyewe
  1. What is a contract?
  2. What is an agreement?
  3. What are the differences between Contacts and Agreements?
  4. Why every contract is an agreement but not all agreements are contracts
  5. Baada ya kusoma hayo hapo juu, tunaweza kwenda pamoja kujua kwa nini makubaliano ya muungano sio mkataba!
NB. Japo makubaliano haya ya muungano sio mkataba, na japo hayakuridhiwa rasmi na upande wa Zanzibar (ratification), bado ni makubaliano halali, hivyo muungano wetu ni halali na nchi yetu Tanzania ni nchi halali (de facto) ila sio halali kisheria (de jure).

Happy New Year!
Pasco.
What are the differences between Contacts and Agreements? ''make some editing on contacts it should be contracts'
 
What are the differences between Contacts and Agreements? ''make some editing on contacts it should be contracts'
Kwa upeo wangu mdogo Agreement ni makubaliano (MOU). Ni maelewano ya kiungwana(mutual/gentleman agreement) ambayo yakivunjika yanaweza yasiwe na legal consequences

Contract ni mkataba wa kisheria unaoleza kwa undani haki na wajibu wa pande zinazoingia/funga mkataba husika ambao unakua na maelezo ya taratibu za kisheria iwapo kutatokea sababu ya kupelekea kutotekelezwa kwa kipande au mkataba mzima

Nimejaribu tu kuelezea kwa uzoefu mdogo wa Kiingereza cha mtaani na wala sina taaluma ya kiwango chochote cha sheria
 
Kwa upeo wangu mdogo Agreement ni makubaliano (MOU). Ni maelewano ya kiungwana(mutual/gentleman agreement) ambayo yakivunjika yanaweza yasiwe na legal consequences

Contract ni mkataba wa kisheria unaoleza kwa undani haki na wajibu wa pande zinazoingia/funga mkataba husika ambao unakua na maelezo ya taratibu za kisheria iwapo kutatokea sababu ya kupelekea kutotekelezwa kwa kipande au mkataba mzima

Nimejaribu tu kuelezea kwa uzoefu mdogo wa Kiingereza cha mtaani na wala sina taaluma ya kiwango chochote cha sheria
Mimi naelewa maana yake nilikuwa namkumbusha Mayala kuweka masahihisho kwenye neno contacts lisomeke contracts
 
Back
Top Bottom