Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,445
Je, wajua kuwa wimbo wa Hello wa Hussein Machozi ilikua amshirikishe Jide lakini Jide akakataa kisa Machozi ni msanii mdogo, mwisho wa siku Machozi akampa shavu maunda Zorro.
Je, wajua kuwa jina la Sugu la mh Mr 2 alikopi na kupest kwa muigizaji wa kikundi cha tausi nchini Kenya (komando sugu kiongozi wa machokoraa).
Je, wajua kuwa msanii Fid Q alikua ameacha mziki mwaka 2003 na kurudi kwao Mwanza lakini juhudi za juma nature za kumbembeleza arudi katika game zikamshawishi kurudi.
Je, wajua mama mzazi wa king Crazy Gk ni mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA.
Ongeza na wewe ya kwako.
Je, wajua kuwa jina la Sugu la mh Mr 2 alikopi na kupest kwa muigizaji wa kikundi cha tausi nchini Kenya (komando sugu kiongozi wa machokoraa).
Je, wajua kuwa msanii Fid Q alikua ameacha mziki mwaka 2003 na kurudi kwao Mwanza lakini juhudi za juma nature za kumbembeleza arudi katika game zikamshawishi kurudi.
Je, wajua mama mzazi wa king Crazy Gk ni mbunge wa viti maalum kupitia CHADEMA.
Ongeza na wewe ya kwako.