Je, wajua kwanini iliitwa Mirembe? 70% ya wagonjwa wanatokea Dodoma

Je, wajua kwanini iliitwa Mirembe? 70% ya wagonjwa wanatokea Dodoma

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Hospitali kubwa ya wagonjwa wenye changamoyo ya akili iliyopo mjini Dodoma inaitwa Mirembe. Mkurugenzi wake amesema iliitwa Mirembe kutokana na miongoni mwa wagonjwa wake wa kwanza aliiitwa Mirembe, alienda Dodoma mwaka 1927 akitokea kanda ya ziwa kumfata mganga maarufu wa wakati huo aliyekuwa karibu na hospitali hiyo, na baadae alihamishiwa hospitalini hapo.

Kwasasa 70% ya wagonjwa wa hospitali hiyo wanatokea Dodoma ikiaminika ni kutokana kuwa na ukaribu na hospitali hiyo huku mikoa mingine ikitoa 30% ya wagonjwa.

Kulingana na takwimu za kidunia, katika kila watu 8 basi mmoja anayo changamoto ya akili
1684310477723.png
Mabadiliko ya jina yanakuja kutokana na fikra iliyojengeka kwenye jamii juu ya jina lililopo sasa japo mkurugenzi amesema ipo changamoto kwenye fikra za ugonjwa wenyewe/ huduma zaidi.

Sababu zinazojitokeza mara kwa mara na kupelekea matatizo ya akili ni majanga ya kimaisha yanayojumuisha kuanguka biashara, kupoteza ajira, madeni, migogoro ya kifamilia na matumizi ya vilevi kupita kiasi (vilevi vinaweza kusababishwa na sababu zilizotanguliwa).

Wagonjwa wanaotokana na sheria(wanaofanya matukio ya kijinai) ni wengi zaidi(mfano mtu alieua na kupata changamoto ya kiakili) kuliko wagonjwa wa kijamii wanaotokea majumbani kwao.

Gharama za matibabu Mirembe zinafata sera ya afya ambapo mpaka 1990 gharama zote zilikuwa ninabebwa na Serikali, mwaka 2001 ilianzishwa bima ya afya na utaratibu wa kuchangia huduma. Hivyo huduma ya akili wagonjwa huchangia lakini kutokana na wao kutoweza kuzalisha kuna nafuu pale ikishindikana waweze kutibiwa bila malipo japo huwa haitokei mara nyingi.

Kwa hisani ya Bonge, PB
 
Kumbe kichaa wa kwanza alitoka Lake Zone ndio maana Kanda Ile Iko hivyo?
Juzi nilikuwa hospitali namfanyia tohara dogo, katika kupiga stori, nesi akasema kuwa alimfanyia tohara msukuma mmoja mtu mzima.

Siku ya pili ngosha akarudi pale hospital akiwa na jeraha kwenye dushe limefungwa na leso, akaulizwa imekuaje akajibu eti mke wake alimchokoza Ile usiku Naye akafanya Naye sex eti ili asionekane boys.

Fikiria umetahiriwa Leo na usiku wake akasex huku ana kidonda.

Mimi ndo maana naamini watu wa mitaa hiyo wanatumia Sana nguvu kuliko akili.
 
Ukiingia Mirembe ukiwasikiliza wagonjwa wanachat, utasikia wanaongea normal kabisa, lakini kila baada ya dakika tano utasikia mmoja anasema,"Alo,alo, sipendi utani kabisa, nitamnyuka mtu sasa hivi. Oho, endelea tu na utani!". Halafu wanaendelea kuchat normally, halafu Tena bàada ya dakika tano utasikia tena mtu anatoa tahadhari.
 
Juzi nilikuwa hospital namfanyia tohara dogo,katika kupiga stori ,nesi akasema kuwa alimfanyia tohara msukuma mmoja mtu mzima.

Siku ya pili ngosha akarudi pale hospital akiwa na jeraha kwenye dushe limefungwa na leso,akaulizwa imekuaje akajibu eti mke wake alimchokoza Ile usiku Naye akafanya Naye sex eti ili asionekane boys.

Fikiria unetahiliwa Leo na usiku wake akasex huku ana kidonda.

Mimi ndo maana naamini watu wa mitaa hiyo wanatumia Sana nguvu kuliko akili.
Halafu utakuta unatokea kikabila flani hivi cha kiwaki, kidogo, hakitoshi hata wilaya ya Kishapu na kwa idadi hamfiki hata laki 2 pumbavu.
 
Ukiingia Mirembe ukiwasikiliza wagonjwa wanachat,utasikia wanaongea normal kabisa,lakini kila baada ya dakika tano utasikia mmoja anasema,"Alo,alo,sipendi utani kabisa,nitamnyuka mtu sasa hivi. Oho,endelea tu na utani!". Halafu wanaendelea kuchat normally,halafu Tena bàada ya dakika tano utasikia tena mtu anatoa tahadhari.
Wakiwa kwenye cages? Au nje?
 
Ukiingia Mirembe ukiwasikiliza wagonjwa wanachat,utasikia wanaongea normal kabisa,lakini kila baada ya dakika tano utasikia mmoja anasema,"Alo,alo,sipendi utani kabisa,nitamnyuka mtu sasa hivi. Oho,endelea tu na utani!". Halafu wanaendelea kuchat normally,halafu Tena bàada ya dakika tano utasikia tena mtu anatoa tahadhari.
Hawadhuru watu wanaoenda kuwaona?
 
Wafanye research ili kuweza kubaini sababu hasa ya hali hii, hiyo sababu ulioweka hapo wangepata sana ukichaa watu wa Dar...
 
Muda huu niko Njombe na jana nimekesha Glory lounge hizi nguruwe za huku nyeusiii ndio sio machizi?
Njaa ilishaharibu akili, umaskini uliwaondoa utu,Kansa inawaletea utaahira ndio maana mumejaza mawodo ya Mirembe 🤣🤣
 
Katika kutaja Sababu hapa amenishtua Sana Sana, aiseee

"Sababu zinazojitokeza mara kwa mara na kupelekea matatizo ya akili zinajumuisha kuanguka kibiashara "
 
Source: Majadiliano clouds FM PB, Bonge na Mirembe.
 
Hospitali kubwa ya wagonjwa wenye changamoyo ya akili iliyopo mjini Dodoma inaitwa Mirembe. Mkurugenzi wake amesema iliitwa Mirembe kutokana na mgonjwa wake wa kwanza aliyeitwa Mirembe, alienda Dodoma mwaka 1927 akitokea kanda ya ziwa kumfata mganga maarufu wa wakati huo aliyekuwa karibu na hospitali hiyo, na baadae alipelekwa hospitalini hapo.

Kwasasa 70% ya wagonjwa wa hospitali hiyo wanatokea Dodoma ikiaminika ni kutokana kuwa na ukaribu na hospitali hiyo huku mikoa mingine ikitoa 30% ya wagonjwa.

Mabadiliko ya jina yanakuja kutokana na fikra iliyojengeka kwenye jina lililopo sasa japo mkurugenzi amesema ipo changamoto kwenye fikra za ugonjwa wenyewe zaidi.

Sababu zinazojitokeza mara kwa mara na kupelekea matatizo ya akili zinajumuisha kuanguka biashara, kupoteza ajira, migogoro ya kifamilia na matumizi ya vilevi kupita kiasi (vilevi vinaweza kusababishwa na sababu zilizotanguliwa)
Manesi wa kike muwe mnawanyoa basi hao wanawake {mav..z}....maana mnawavalisha hayo Madera bila chupi halafu wanajifunua bila noma yani.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Wakiwa kwenye cages? Au nje?
Yaani hawa ni assylum inmates ambao wameshapata counselling kuhusu yale matatizo immediate yaliyowaleta,sasa wako katika hali ya observation kuamua kama waachiwe huru
 
Kumbe kichaa wa kwanza alitoka Lake Zone ndio maana Kanda Ile Iko hivyo?
Elewa huyo mirembe alikuwa anaenda kutafuta mganga wa kienyeji sasa wahuni wa miaka hiyo wakamdirect hapo mirembe kumpoteza, kuwa na akili hata mara moja moja.
 
Back
Top Bottom