Je, wajua kwanini iliitwa Mirembe? 70% ya wagonjwa wanatokea Dodoma

Je, wajua kwanini iliitwa Mirembe? 70% ya wagonjwa wanatokea Dodoma

Hospitali kubwa ya wagonjwa wenye changamoyo ya akili iliyopo mjini Dodoma inaitwa Mirembe. Mkurugenzi wake amesema iliitwa Mirembe kutokana na mgonjwa wake wa kwanza aliyeitwa Mirembe, alienda Dodoma mwaka 1927 akitokea kanda ya ziwa kumfata mganga maarufu wa wakati huo aliyekuwa karibu na hospitali hiyo, na baadae alipelekwa hospitalini hapo.

Kwasasa 70% ya wagonjwa wa hospitali hiyo wanatokea Dodoma ikiaminika ni kutokana kuwa na ukaribu na hospitali hiyo huku mikoa mingine ikitoa 30% ya wagonjwa.

Mabadiliko ya jina yanakuja kutokana na fikra iliyojengeka kwenye jina lililopo sasa japo mkurugenzi amesema ipo changamoto kwenye fikra za ugonjwa wenyewe zaidi.

Sababu zinazojitokeza mara kwa mara na kupelekea matatizo ya akili zinajumuisha kuanguka biashara, kupoteza ajira, madeni, migogoro ya kifamilia na matumizi ya vilevi kupita kiasi (vilevi vinaweza kusababishwa na sababu zilizotanguliwa)
Hizo sababu zinazosababisha huo ugonjwa ni za kweli kabisa. Ila kuna sababu nyingine zimesahaulika! Imani za kishirikina, na pia matumizi ya madawa ya kulevya. Mfano Bangi, nk.
 
Kumbe kichaa wa kwanza alitoka Lake Zone ndio maana Kanda Ile Iko hivyo?
Kwa huo mbichwa wako hata ukiambiwa mzungu ndiye mtu wa kwanza kuliona na kuligundua ziwa Nyasa unakubali tu?Tumia akili kidogo tu.Hao walioijenga hiyo hospitali ina maana waliijenga tu bila ku-expirience kama eneo husika kuna haja ya hiyo huduma?Hakukuwa na wagonjwa wa awali kabla ya huyo Mirembe?Kwa hiyo walikuwa wanasubiri mgonjwa wa kwanza atokee kanda ya ziwa ndipo wengine wafuate?Halafu,kaa kwa kalio moja ujiulize tena.Kwa nini hiyo taarifa ioneshe 70 asilimia ya wateja/wagonjwa kwa sasa watokee Dodoma na 30 asilimia kwa ujumla watokee maeneo mengine Tanzania.Tulia utumie akili yako hata kwa asilimia mbili utapata jibu.Be reasonable!
 
Kwa huo mbichwa wako hata ukiambiwa mzungu ndiye mtu wa kwanza kuliona na kuligundua ziwa Nyasa unakubali tu?Tumia akili kidogo tu.Hao walioijenga hiyo hospitali ina maana waliijenga tu bila ku-expirience kama eneo husika kuna haja ya hiyo huduma?Hakukuwa na wagonjwa wa awali kabla ya huyo Mirembe?Kwa hiyo walikuwa wanasubiri mgonjwa wa kwanza atokee kanda ya ziwa ndipo wengine wafuate?Halafu,kaa kwa kalio moja ujiulize tena.Kwa nini hiyo taarifa ioneshe 70 asilimia ya wateja/wagonjwa kwa sasa watokee Dodoma na 30 asilimia kwa ujumla watokee maeneo mengine Tanzania.Tulia utumie akili yako hata kwa asilimia mbili utapata jibu.Be reasonable!
Mbona Sukuma gang mnateseka sana tatizo ni nini? 😁😁
 
Juzi nilikuwa hospitali namfanyia tohara dogo, katika kupiga stori, nesi akasema kuwa alimfanyia tohara msukuma mmoja mtu mzima.

Siku ya pili ngosha akarudi pale hospital akiwa na jeraha kwenye dushe limefungwa na leso, akaulizwa imekuaje akajibu eti mke wake alimchokoza Ile usiku Naye akafanya Naye sex eti ili asionekane boys.

Fikiria umetahiriwa Leo na usiku wake akasex huku ana kidonda.

Mimi ndo maana naamini watu wa mitaa hiyo wanatumia Sana nguvu kuliko akili.
akili hawana kabisa
 
Ukiingia Mirembe ukiwasikiliza wagonjwa wanachat, utasikia wanaongea normal kabisa, lakini kila baada ya dakika tano utasikia mmoja anasema,"Alo,alo, sipendi utani kabisa, nitamnyuka mtu sasa hivi. Oho, endelea tu na utani!". Halafu wanaendelea kuchat normally, halafu Tena bàada ya dakika tano utasikia tena mtu anatoa tahadhari.

😂😂😂
Mkuu uliwahi kuingia kule au unatupanga?
 
hyo ndo tofal sasa no expire date[emoji16]
Aliyekudanganya nani? Ishauri serikali itumie matope sasa, maana Samora na uwanja wa mbeya vyote vimejengwa na matofali ya kuchoma na vijumba vyote vinavyozunguka hivyo viwanja
 
Back
Top Bottom