Je, wajua kwanini iliitwa Mirembe? 70% ya wagonjwa wanatokea Dodoma

Hizo sababu zinazosababisha huo ugonjwa ni za kweli kabisa. Ila kuna sababu nyingine zimesahaulika! Imani za kishirikina, na pia matumizi ya madawa ya kulevya. Mfano Bangi, nk.
 
Kumbe kichaa wa kwanza alitoka Lake Zone ndio maana Kanda Ile Iko hivyo?
Kwa huo mbichwa wako hata ukiambiwa mzungu ndiye mtu wa kwanza kuliona na kuligundua ziwa Nyasa unakubali tu?Tumia akili kidogo tu.Hao walioijenga hiyo hospitali ina maana waliijenga tu bila ku-expirience kama eneo husika kuna haja ya hiyo huduma?Hakukuwa na wagonjwa wa awali kabla ya huyo Mirembe?Kwa hiyo walikuwa wanasubiri mgonjwa wa kwanza atokee kanda ya ziwa ndipo wengine wafuate?Halafu,kaa kwa kalio moja ujiulize tena.Kwa nini hiyo taarifa ioneshe 70 asilimia ya wateja/wagonjwa kwa sasa watokee Dodoma na 30 asilimia kwa ujumla watokee maeneo mengine Tanzania.Tulia utumie akili yako hata kwa asilimia mbili utapata jibu.Be reasonable!
 
Mbona Sukuma gang mnateseka sana tatizo ni nini? 😁😁
 
akili hawana kabisa
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuu uliwahi kuingia kule au unatupanga?
 
hyo ndo tofal sasa no expire date[emoji16]
Aliyekudanganya nani? Ishauri serikali itumie matope sasa, maana Samora na uwanja wa mbeya vyote vimejengwa na matofali ya kuchoma na vijumba vyote vinavyozunguka hivyo viwanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…