Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #321
Mkuu Allency ,wewe mimi unanijua in reality au unanijulia tuu humu jf?。Nitafute uteuzi wa nini ili nikafanye nini?!。Mleta mada ni moja kati ya watu wapuuzi, hapo anatafuta teuzi tu, kipindi cha Jiwe alikosa teuzi na kupata kura moja.
Ni hatarMuhammad alikuwa anajisafisha kwa mawe hayo maji wewe umejulia wapi ?
Soma nukuu sahihi ya kitabu cha waislamu wenyewe
Muhammad mwenyewe alikuwa anachamba kwa kutumia mawe
Abu Huraira: Nilimfuata Mtume wakati alikuwa anaenda kujisaidia. Alikuwa haangalii kushoto wala kulia. Kwa hivyo, nilipokaribia karibu naye aliniambia, "Nitafutie mawe ili nisafishie sehemu zangu za siri(au alisema kitu kinachofanana), na usilete mfupa au kipande cha dung." Basi nikaleta mawe katika kona ya vazi langu na kuziweka kando yake kisha nikamwacha. Alipomaliza (kutoka kusaidia) aliitumia mawe kujisafisha. (Sahih Bukhari 1: 4: 157)
Sijawahi ambiwa nitumie karatasi kujitawazq bali haya tumeyaona kwenye mfumo wa maishaWanabodi,
Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa.
Mimi kama mwandishi wa habari, ni muelimishaji umma, ukiona jambo zuri la jamii fulani, waelimishe na wengine wafuate.
Hii ni mada ya swali Je Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, kuna uwezekano Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?.
Jambo la leo ni usafi binafsi wa mwili, baada ya kupunguza uzito, wenzetu Waislamu na nchi za Kiislamu, wanatumia maji kujiswafi, lakini Wakristo na nchi za Kikisto wanatumia karatasi laini, toilet paper, kujiswafi kwa kujifuta baada ya ile shughuli, hapa nauliza ni kujifuta au pia kujipaka?.
Hizi dini kuu zote mbili, Wakristo na Waislamu, ni watoto wa baba mmoja Nabii Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mzaliwa wa kwanza, Ismail, na Wakristo wa ni uzao mzaliwa wa pili, Isaka. Sheria ya Mungu wa dini zote mbili ni sheria moja ya Musa iliyoshushwa kwenye torati.
Kwenye sheria hiyo, Mungu alielekeza namna ya kujiswafi, kabla hujaenda mbele zake na kuelekeza kabisa, lazima unawe kwa maji tiririka!.
Ukristo ulipoingia, wakabadili baadhi ya mambo, ikiwemo kutumia karatasi laini kujiswafi baada ya ile shughuli. Katika pita pita yangu nchi nyingi za Kiislamu, kwenye public toilets zao, kuna maji tiririka, lakini kwenye nchi za Kikristo, kuna TP!.
Sisi Tanzania kwasababu nchi yetu haina dini, public toilets zetu zina both, maji tiririka na TP. Ukisafiri kutokea Dar kwenda Dubai, Doha, Muscat, UAE, kote huko kwenye public toilets zao, utakuta maji tiririka, na TP. Ukienda SA, London, Paris, New York, kwenye public toilets zao, kuna TP only hakuna bomba lolote la maji!.
Japo TP inasafisha, kwa vile ni kavu, inasafisha kwa kupaka, huwezi kulinganisha na maji tiririka ambayo yanasafisha kabisa compared to TP.
Kwa vile sheria ya usafi wa mwili imeelekezwa kidini, na ni Waislamu wanaitekeleza kama Mungu alivyoelekeza, hivyo kuna uwezekano kwenye usafi wa mwili, tukubali tukatae, Waislamu ni wasafi zaidi kuliko Wakristo, na kwa kulijua hilo na umuhimu wa usafi, wanawake wa kisasa wenye kujijali, wanatembea na wipes, na nyumba nyingi za kisasa wanatumia maji tiririka.
Kwa wenzetu Waislamu, wale hata wale wenzetu wao, wakiwa kwenye hali fulani ile, huwa hawafungi na hawaruhusiwi kwenda kuswali Masjid au Msikitini, lakini sikuwahi kusikia hili kwa Wakristu, hivyo wenzetu wale, hata wakiwa kwenye ile hali, wanatinga tuu ibadani mbele za Mungu!, hivyo inawezekana kwenye usafi binafsi, wanawake wa Kiislamu ni wasafi kuliko wanawake wa kikristo?.
Tena usikute usafi huu kwa Waislamu sio usafi tuu wa mwili, ni mpaka moyo na roho, ndio maana wanawake wa Kiislamu wanaweza kuvumilia na kustahimili uke wenza, na ingefanywa survey ya ni wanawake gani akiwa mama wa kambo, anatesa watoto wa aliyemtangulia, a wicked stepmother, mngeshangazwa na matokeo.
Kuna vitu vingi wazungu wametupotosha sisi Wakristo ikiwemo hoja ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu, ndio maana nilimpongeza yule Blaza wangu na kumshauri "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
Nani aliwaambia wazungu na nchi za Kikristo TP tuu inatosha?.
Nimepandisha bandiko hili kufuatia mimi ni mpenda kula kula vyakula locals kila ninaposafiri, Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? sasa sometimes, tumbo linachafuka ukiwa safarini, inakubidi ujiswafi kwa maji tiririka, tumbo linapokutibuka, ukakuta hakuna maji ni TP pekee ni shughuli, hivyo nimekereka sana na hili!. Hawa wazungu vipi?.
WHO wanapaswa watoe muongozo na maelekezo, public washrooms zote lazima ziwe na maji tiririka na TP, ili wale wa kunawa, wawe huru wanawe na wale wa kujipaka, waendelee kujipaka!.
Paskali
Rejea za mleta mada kuhusu Waislamu na Wakristo
- Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo
- Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?
- Je, wajua Wakristo huwasindikiza Waislamu Kufunga Ramadhan? Leo ni Jumatano ya Majivu, Wakristo tutafunga siku 40, vipi Waislamu Mtatusindikiza?
- Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo, Waislamu, Kuukubali Bila Matatizo!.
Kwan vyoo vilivyojengwa na Kikwete vilikuwa na mabombq chooni ? Je tuwahukum waislam kisa kikwete kutoweka bomba chooni , Pili hao Wazungu hutoa hela ila wenyej wao ( watanzania )hupiga hela na kutoweka baadhi ya huduma kwenye majengoPascal mnamchukia Bure, lakini ukweli ameusema.
Mimi nilisoma shule Moja iliyotolewa msaada na kujengwa na Scandinavian countries enzi hizo za Awamu ya kwanza.
Ile shule vyoo vyake vilikua vya kuchutama lakini chooni hakukua na mabomba ili kama unataka kujisafisha maji ufanye hivyo. Enzi hizo hata toilet paper hazikuwepo, watu tulikua tunajifuta kwa makaratasi tu basi. Ukitaka kujisafisha kwa maji lazima uende bafuni ambako kulikua na shawa.
Kwa kua chooni hakuna mabomba ya maji na ule mfumo wa kuflashi ulikua umeshakufa, ukienda kile ni kurundika juu ya mzigo wa mwenzako mpaka kesho asubuhi pakifanyika usafi.
Na zile sell za bafu hazikuwa na pazia Wala mlango wa kufunga wale jamaa wasiozoea maji wakikuona wanakushangaa wanakuona wewe ndio mshamba.
Ssbani si issue ukijua kujatumia maji vizuri Wala hutoki na harufu yoyote.Kushika mavi nako ni ushenzi. tena wanashika mavi wanatoka bila kunawa na sabuni. afahali ya karatasi maana smear inabaki kwenye mkundu (mahali pake) ashukumu si matusi...
Kwenye vyoo vya stand za mabasi hakuna sabuni, wanakunya na kutoka bila sabuni. haja ndogo wanatembea na chupa za maji anakojoa na kuosha dhakari ila sabuni...ushenzi vile vile... afadhali toilet paper
toa niliyoyashuhudia enzi hizo. Ya Kikwete siyafahamu.Kwan vyoo vilivyojengwa na Kikwete vilikuwa na mabombq chooni ? Je tuwahukum waislam kisa kikwete kutoweka bomba chooni , Pili hao Wazungu hutoa hela ila wenyej wao ( watanzania )hupiga hela na kutoweka baadhi ya huduma kwenye majengo
Ungetuliza akili unge muelewa vizuri sana, ila kwakuwa una mhemko ndio hivyo tenaaaaHuyu jamaa ni attention seeker haiwezekani karne hii mtu timamu kusifia eti jamii fulani inajisafisha kwa maji jamii fulani haijisafishi ila inajipaka mavi.
Mimi nimefunzwa na mama yangu nikiwa mdogo leo nyumbani wanangu wakiwa aged four wanaanza kufundishwa namna ya kujisafisha wenyewe lakini mtu mzima anashangaa leo kama jamii fulani nayo inatumia maji,hovyo kabisa!
Yaani mtu anapewa maelekezo kwenye vitabu vitakatifu "hakikisha unakuwa msafi wakati wote kwani unaweza kutwaliwa muda wowote" Huyu mjinga anaenda kuoga badala ya kutubu dhambi awe msafi. pambaf.Wanabodi,
Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na kwa maslahi ya taifa.
Mimi kama mwandishi wa habari, ni muelimishaji umma, ukiona jambo zuri la jamii fulani, waelimishe na wengine wafuate.
Hii ni mada ya swali Je Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, kuna uwezekano Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?.
Jambo la leo ni usafi binafsi wa mwili, baada ya kupunguza uzito, wenzetu Waislamu na nchi za Kiislamu, wanatumia maji kujiswafi, lakini Wakristo na nchi za Kikisto wanatumia karatasi laini, toilet paper, kujiswafi kwa kujifuta baada ya ile shughuli, hapa nauliza ni kujifuta au pia kujipaka?.
Hizi dini kuu zote mbili, Wakristo na Waislamu, ni watoto wa baba mmoja Nabii Ibrahim, Waislamu ni uzao wa mzaliwa wa kwanza, Ismail, na Wakristo wa ni uzao mzaliwa wa pili, Isaka. Sheria ya Mungu wa dini zote mbili ni sheria moja ya Musa iliyoshushwa kwenye torati.
Kwenye sheria hiyo, Mungu alielekeza namna ya kujiswafi, kabla hujaenda mbele zake na kuelekeza kabisa, lazima unawe kwa maji tiririka!.
Ukristo ulipoingia, wakabadili baadhi ya mambo, ikiwemo kutumia karatasi laini kujiswafi baada ya ile shughuli. Katika pita pita yangu nchi nyingi za Kiislamu, kwenye public toilets zao, kuna maji tiririka, lakini kwenye nchi za Kikristo, kuna TP!.
Sisi Tanzania kwasababu nchi yetu haina dini, public toilets zetu zina both, maji tiririka na TP. Ukisafiri kutokea Dar kwenda Dubai, Doha, Muscat, UAE, kote huko kwenye public toilets zao, utakuta maji tiririka, na TP. Ukienda SA, London, Paris, New York, kwenye public toilets zao, kuna TP only hakuna bomba lolote la maji!.
Japo TP inasafisha, kwa vile ni kavu, inasafisha kwa kupaka, huwezi kulinganisha na maji tiririka ambayo yanasafisha kabisa compared to TP.
Kwa vile sheria ya usafi wa mwili imeelekezwa kidini, na ni Waislamu wanaitekeleza kama Mungu alivyoelekeza, hivyo kuna uwezekano kwenye usafi wa mwili, tukubali tukatae, Waislamu ni wasafi zaidi kuliko Wakristo, na kwa kulijua hilo na umuhimu wa usafi, wanawake wa kisasa wenye kujijali, wanatembea na wipes, na nyumba nyingi za kisasa wanatumia maji tiririka.
Kwa wenzetu Waislamu, wale hata wale wenzetu wao, wakiwa kwenye hali fulani ile, huwa hawafungi na hawaruhusiwi kwenda kuswali Masjid au Msikitini, lakini sikuwahi kusikia hili kwa Wakristu, hivyo wenzetu wale, hata wakiwa kwenye ile hali, wanatinga tuu ibadani mbele za Mungu!, hivyo inawezekana kwenye usafi binafsi, wanawake wa Kiislamu ni wasafi kuliko wanawake wa kikristo?.
Tena usikute usafi huu kwa Waislamu sio usafi tuu wa mwili, ni mpaka moyo na roho, ndio maana wanawake wa Kiislamu wanaweza kuvumilia na kustahimili uke wenza, na ingefanywa survey ya ni wanawake gani akiwa mama wa kambo, anatesa watoto wa aliyemtangulia, a wicked stepmother, mngeshangazwa na matokeo.
Kuna vitu vingi wazungu wametupotosha sisi Wakristo ikiwemo hoja ya mke mmoja, sio mpango wa Mungu, ndio maana nilimpongeza yule Blaza wangu na kumshauri "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"
Nani aliwaambia wazungu na nchi za Kikristo TP tuu inatosha?.
Nimepandisha bandiko hili kufuatia mimi ni mpenda kula kula vyakula locals kila ninaposafiri, Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi? sasa sometimes, tumbo linachafuka ukiwa safarini, inakubidi ujiswafi kwa maji tiririka, tumbo linapokutibuka, ukakuta hakuna maji ni TP pekee ni shughuli, hivyo nimekereka sana na hili!. Hawa wazungu vipi?.
WHO wanapaswa watoe muongozo na maelekezo, public washrooms zote lazima ziwe na maji tiririka na TP, ili wale wa kunawa, wawe huru wanawe na wale wa kujipaka, waendelee kujipaka!.
Paskali
Rejea za mleta mada kuhusu Waislamu na Wakristo
- Waislamu mliofanikiwa kwa Elimu ya Shule za Mission badala ya Madrasa kuweni na Shukrani kwa Wakristo waliowafikisha hapo mlipo
- Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?
- Je, wajua Wakristo huwasindikiza Waislamu Kufunga Ramadhan? Leo ni Jumatano ya Majivu, Wakristo tutafunga siku 40, vipi Waislamu Mtatusindikiza?
- Mwarobaini wa Kweli wa Mahakama ya Kadhi ni Huu, Wakristo, Waislamu, Kuukubali Bila Matatizo!.
Hizi story mnafundishana mkiwa msikiti gani?Ila tukija upande wa ukristo ni kwamba kwanza biblia haijaeleza wala kuwekea mkazo kivipi tuwe wakati tunafanya ibada hali ambayo imepelekea kila mtu kujitungia anachoona kinamfaa
Achana nao hao vichwa maji Pasco,ndio maana ikanenwa "waangamia kwa kukosa maarifa"mimi ni Mkristo na huu sio uzi ibada za dini, ni uzi kuhusu usafi binafsi wa mtu, Waislamu kufuatia kufanya ya swala 5 kwa siku, na kabla ya ibada lazima kwanza wajiswafi kwa maji tiririka, hivyo katika nchi za Kiislamu zote kwenye public toilets kuna maji tiririka ya kujiswafi, katika nchi za Kikristo hakuna maji, kuna TP, hivyo kwa opinion yangu supported by facts, Waislamu ni wasafi zaidi ya Wakristo kwenye usafi binafsi。this is a fact na wala sijaukashifu ukristo!。
p
Hivi mtu akisema jambo ambalo mudy kafanya anakuaje na chuki na uislamu? Kwan ni uongo hakuoa katoto cha miaka sita na kukapiga mashine kalivotimiza miaka 9, chuki hapo iko wapi ingawa ni kitu ambacho mudy kafanya mwenyew na vimerekodiwa?Una chuki na Uislamu, na hii mada imekuchoma kweli kweli.
Nimekuuliza swali?mimi ni Mkristo na huu sio uzi ibada za dini, ni uzi kuhusu usafi binafsi wa mtu, Waislamu kufuatia kufanya ya swala 5 kwa siku, na kabla ya ibada lazima kwanza wajiswafi kwa maji tiririka, hivyo katika nchi za Kiislamu zote kwenye public toilets kuna maji tiririka ya kujiswafi, katika nchi za Kikristo hakuna maji, kuna TP, hivyo kwa opinion yangu supported by facts, Waislamu ni wasafi zaidi ya Wakristo kwenye usafi binafsi。this is a fact na wala sijaukashifu ukristo!。
p