Je, Wajua Kwenye Usafi wa Mwili, Waislamu ni Wasafi Zaidi ya Wakristo?. Waislamu Hujiswafi kwa Maji, Wakristo Kwa Karatasi!, Huku Sio Kujipaka?

Ungetuliza akili unge muelewa vizuri sana, ila kwakuwa una mhemko ndio hivyo tenaaaa
Wewe umemuelewa???

Kama umemuelewa basi mnafanana ufahamu maana ni ujinga dunia ipo 21 century lakini Tanzania hii bado mpo mnaojiuliza watu wanajisafisha mavi kwa kutumia nyenzo gani!
 
Sawa kakak mkubwa nimekuelewa, lakini wakati mwingine huwa unaandika vitu vya kukera sana. Tuvumiliane tu
 
Hili swala limekaa zaidi kimakuzi jinsi mtu alivyo fundishwa na wazazi wake tokea akiwa mdogo na halihusiani na dini moja dhidi ya nyingine kama mtoa mada anavyotaka kuhitimisha kuhusiana na mada husika. Lakini katika uislam hata Kwa kutumia akili ya kawaida ni lazima msisitizo wa kutawadha kwa kutumia maji uzingatiwe tena Sanaaa sababu kuu ni namna ya wanavyofanya ibada ambapo kuna husisha kusujudu Kwa namna flani hivi ambayo , maji nilazima bila hivyo utawachafulia wezako hali ya hewa na vibe ya ibada kuondoka .
 
Sawa kakak mkubwa nimekuelewa, lakini wakati mwingine huwa unaandika vitu vya kukera sana. Tuvumiliane tu
Asante sana mdogo wangu Allency , ni kweli sio tuu wakati mwingine naandikia vitu vya kukera sana, bali hata maswali yangu kama mwandishi wa habari, sometimes yanakera, wengi wa generation yenu, mmenifahamu mimi ile siku nilipouliza swali hili
View: https://youtu.be/Ta0URHvUlko?si=TSLmcq-ZP9tUzqFw , japo Mzee Baba alikula kona, hakujibu, wale 'jamaa zetu' walinimind sana, na kilichofuata ni nilishughulikiwa kiana na sio kikamilifu, pons yangu ni mimi kutoka Kanda pendwa ya wakati ule, vinginevyo saa hizi ningeisha kuwa ni historia kama Ben Saanane na Azory Gwanda, hata unywele!, they just vanished into thin air!.

Kwa wale wa zamani waliokuwepo enzi za kipindi changu cha KitiMoto, watu walikuwa wanapigwa maswali mpaka wanataka kukimbia!.

Sababu ya maswali yangu na hoja zangu kukera ni mimi kuzungumza ukweli mtupu.

Kama mada hii,
Waislamu ni wasafi wa mwili kuliko Wakristo, wanajiswafi kwa maji tiririka zaidi ya mara 5 kwa siku kwasababu ya swala, na kwenye kupunguza uzito wenzetu nchi za Kiislamu wanatumia maji tiririka, nchi za kiKristo wanatumia TP, kwa vile wengi humu hawajui nano science, ukitumia to ni unajipa kidogo, wanawake wa kisasa wote huwa wanatumia vyote tp, maji na wipes.
Huo ndio ukweli, unakera, Wakristo wanajisikia vibaya lakini ndio ukweli.
P
 
Mkuu Sirlama, yote usemayo ni kweli, kama uko Tanzania na hujawahi kusafiri nje, unaweza usinielewe na kulielewa bandiko hili, airports zote za nchi za Kiislamu, wanatumia maji tiririka kwenye public toilets na sehemu za kuswalia, airports zote na hotel zao kwenye nchi za kiKristo wanatumia TP na hakuna maji chooni.

Hata utumie vipi TP, humalizi kila kitu haswa kwenye ule mlango, hivyo ukimaliza halafu ukatumia wipe, ndipo utaelewa bandiko hili linazungumzia nini!.

Waislamu na Wakristo ni watoto wa Baba mmoja, wanatumia sheria moja ya Mussa ambayo imeelekeza jinsi ya kujiswafi, wenzetu Waislamu wanafuata, nchi za kikristo hawafuati!.

Kuna Wakristo wengi tunatumia maji, nimesafiri Dar airport tuna both, London, Paris, New York hakuna maji ni TP only, this is not fair!.
P
 
Ka' Pasko , pasi na kujalisha Dini, maji ni usafi zaidi kuliko karatasi, hasa kwa sisi tukiwa hedhi.
 
Ka' Pasko , pasi na kujalisha Dini, maji ni usafi zaidi kuliko karatasi, hasa kwa sisi tukiwa hedhi.
Not just that, maumbile ya kike yanahitaji exta hygienic care than men, hawa wazungu wana maana gani kushindwa kuweka kale kabomba tuu ka wash kwenye public washrooms zao?!.
P
 
Wakristo wengi ni👇

Kula kutumia kijiko, na wengine wanakula kutumia shoto huku soda/maji hutumia right hand.

Pili: nimeshuhudia kuna mtu haogi wiki, kwake ni kawaida, huwa najiuliza mkewe anaweza vipi kuishi na mtu wa hivyo!

Tatu: wengine hawapigi mswaki, ni harufu mbaya sana hata kumsogelea tu ni shida, mavi akasome.

Nne: wengine hawajui kula, ustaarabu ni ZERO ZERO.
 
Haya sasa, mnaweza kunidharau mimi na kunibeza kuzungumzia kujiswafi kwa kutumia maji. Msikilize huyu, ni mtu mwenye heshima zake, anaye heshimika humu, Mkuu Alamaa, Maalim Mohamed Said, kwenye video hii, amegusia uswafi wa Waislamu kutumia maji
Haya sasa, mimi ni kinyangarika unaweza kunibishia, huyu sasa unabisha?.
P
 
Mambo ya tissues ni huko ila tz wengi tunatumia maji haijalishi ni dini gani. Haya mambo sometimes yanaendana na tamaduni za jamii husika na sio dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…