1. 3. Na 4 umedanganywa labda kaulize tena simba alibeba kombe mwaka gani...1.Nauli ya dalada ilikua 150
2.Sembe kilo ilikua 500
3.Sukari kilo ilikua 600
4.network ya 3G ilikua haijaanzishwa hata nchini,
5.Mtandao wa Halotel ulikua haujaanzishwa
6.Tanzania tulikua bado tunatumia Anologia,
7.RC dsm alikua LUKUVI
8.Radio E-FM ilikua haijaanzishwa wala AZAM TV
9. 10 na 11 kaulize tena kwa mzee wako maana ulikuwa bado mtoto kujua hata Lowassa uwaziri kastaafu lini na simba kombe ilibeba lini9. Juma Nature alikuwa kinara wa muziki wa bongo flava Tz
10. Lowassa alikuwa waziri wa CCM
11. Alshabaab haikuwapo
11. Boko haram haikuwapo
12. Gaddafi alikuwa rais wa Libya
13. Daladala za treni haikuwapo Dar
14. Zitto alikuwa CHADEMA
15..............
SASA UNABISHA NINI ?1. 3. Na 4 umedanganywa labda kaulize tena simba alibeba kombe mwaka gani...
RAHA SANA9. Juma Nature alikuwa kinara wa muziki wa bongo flava Tz
10. Lowassa alikuwa waziri wa CCM
11. Alshabaab haikuwapo
11. Boko haram haikuwapo
12. Gaddafi alikuwa rais wa Libya
13. Daladala za treni haikuwapo Dar
14. Zitto alikuwa CHADEMA
15..............
Inamaana hujaona namba nilizokuandikia hizo? Au ndo kujitoa ufahamu tuSASA UNABISHA NINI ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]18.Kichuya alikuwa machinga stendi ya msavu