KUKU-DUME
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 474
- 196
Simba mara ya mwisho kuchukua ubingwa
Sukari kilo ilikuwa 700.
Ze comedy ilikuwa eatv.
Leicester city ilikuwa champion ship.
Diamond bado alikuwa tandale.
Nauli ya daladala ilikuwa 300/=
Flat screen na smart phones hazikuwepo.
Azam ilikua unga wa ngano tu...leo kuna timu, tv, chapati hadi nazi za azam
Kingugi ilikua kijiji leo mtaa
Sukari kilo ilikuwa 700.
Ze comedy ilikuwa eatv.
Leicester city ilikuwa champion ship.
Diamond bado alikuwa tandale.
Nauli ya daladala ilikuwa 300/=
Flat screen na smart phones hazikuwepo.
Azam ilikua unga wa ngano tu...leo kuna timu, tv, chapati hadi nazi za azam
Kingugi ilikua kijiji leo mtaa