Je, wajua mara ya mwisho Simba kuchukua ubingwa?

1. 3. Na 4 umedanganywa labda kaulize tena simba alibeba kombe mwaka gani...
Kaka huu ni UTANI TU...Usitoe povu wala USIMKOSOE mleta mada......

Kwa kweli UMEFURAHISHA.....

Kipindi hicho SIMBA wanabeba KOMBE mara ya mwisho nakumbuka GOLIKIPA alikuwa MWAMEJA...[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kweli YANGA rahaaaa...Wazee wa NDEGEEE...YANGA wa Kimataifa..
 
S.IMBA WAMEKALIA RANGI ZA UCHAWI UCHAWINI ( SI HILO JEZI LA SHABIKI WAO AKIWA HOME ANATAFUTA USHINDI WA NDANI AU MEZANI KAMA WALIVYO YAAN)
 
Siku ile ulipolala na dadako !
 
Mi nkajua simba hawanaga Chuki na Mambo ya Kibingwa,
Pole saana.
Cc
Kson m
 
Pamoja Na Yanga kuchukua Mara 27 mafanikio ni kufikaRobo fainali tu bora kutokushiriki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…