Je, wajua Mayele ni sawa na kikosi kizima cha Simba?

Je, wajua Mayele ni sawa na kikosi kizima cha Simba?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekesha sana weee, Mzumbe ningekuja kusoma faculty gan? Labda nikukaribishe wee ungekuja UDSM.

Sijawahi kufanyiwa pepa au assignment na mtu yeyote, sijawahi kutumia kibomu ktk pepa kwa level zote za Elimu nilizopita.
Kwa kifupi mie sio Kilazaaa.

Huko Yanga wanatakiwa watu km wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Byuti byuti.
inasikitisha kwa kweli.....mtu smart Kama wew unakua kolo fans

Napata hofu isije kuwa kumbe unapigania degree ya SAUT kama GENTAMYCINE
Fanya maamuzi.....haujachelewa kuamia kwa WANANCHIIIIIIIII[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Njoo mzumbe ( havard of africa mkuu).......nikupigishe lecturers zakutosha then ukajiajiri
Sijaelewa uhusiano wa nilichokiandika na maoni yako.Hata hivyo huko Mzumbe siji.Nimejiandikisha chuo cha Madrasa na nimejikita kusoma magazeti.
 
inasikitisha kwa kweli.....mtu smart Kama wew unakua kolo fans

Napata hofu isije kuwa kumbe unapigania degree ya SAUT kama GENTAMYCINE
Fanya maamuzi.....haujachelewa kuamia kwa WANANCHIIIIIIIII[emoji23][emoji23][emoji23]
Siku zote Mwanaume 'Ukimkojolea' vizuri anayeupenda Kunakotukuka 'Mkuyenge' wako kamwe hawezi Kukusahau na kila mara tu atapenda Kulitaja jina la 'Mbaioloji' wake ( wao ) Mkuu GENTAMYCINE ili na wengine Wajue na Awaringishie pia.
 
inasikitisha kwa kweli.....mtu smart Kama wew unakua kolo fans

Napata hofu isije kuwa kumbe unapigania degree ya SAUT kama GENTAMYCINE
Fanya maamuzi.....haujachelewa kuamia kwa WANANCHIIIIIIIII[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utopolooo ni kwa watu wasio na akili, kwa maelezo ya Takadini.

Byuti byuti.
 
Siku zote Mwanaume 'Ukimkojolea' vizuri anayeupenda Kunakotukuka 'Mkuyenge' wako kamwe hawezi Kukusahau na kila mara tu atapenda Kulitaja jina la 'Mbaioloji' wake ( wao ) Mkuu GENTAMYCINE ili na wengine Wajue na Awaringishie pia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku zote Mwanaume 'Ukimkojolea' vizuri anayeupenda Kunakotukuka 'Mkuyenge' wako kamwe hawezi Kukusahau na kila mara tu atapenda Kulitaja jina la 'Mbaioloji' wake ( wao ) Mkuu GENTAMYCINE ili na wengine Wajue na Awaringishie pia.
Popoma wa SAUTI University [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utopolooo ni kwa watu wasio na akili, kwa maelezo ya Takadini.

Byuti byuti.
.....Nani alikudanganya huoni hata sajili zetu zpo kiprofessional[emoji848][emoji848]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kolo mwenzako...tofauti ni kuwa yeye ni graduate wa SAUT ......na ni bingwa wa matu****[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom