CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Mmesahau mtoa mada sio Sunday Manara wala Jakaya Kikwete,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UKIONA MPAKA KOCHA ANAOMBA VIDEO ZAKE UJUE HALI SIO SHWARI...Habari ndugu Wana JF
Kutokana na uchambuzi wangu, ufuatiliaji, na references mbalimbali kutoka kwa wachambuzi, vyombo vya habari imethibitika Mayele mmoja sawa na kikosi chote cha Simba + benchi la ufundi
................................
Vyanzo Kutoka kwa makolo
Kocha wa makolo Zoran ameomba atumiwe video zote za mshambuliaji mkali ( aliyechangia kocha Pablo) kutimuliwa pale ukoloni.....namzungumzia Fiston Mayele ili aandae topic kwaajili ya kuwafua wachezaji wake
My take
Imagine Zoran anataka kuandaa lecture itakayoitwa "how to handle Fiston Mayele"
Je unazani Mayele Ni mchezaji wa kawaida? Binafsi naona Mayele = kikosi cha Simba + babra + mwamedi + bench la ufundi la kolo
Au nyie wapwa mmnasemaje[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2313557
Acha kudharau graduatesKama hawa ndio aina ya graduates tunaowatengeneza, taifa lina kazi kubwa sana.
Our graduates are half-backed.
Epusha ukoo wako na aibu kama hizi bro. Utafunguaje thread yenye low IQ kama hii?Habari ndugu Wana JF
Kutokana na uchambuzi wangu, ufuatiliaji, na references mbalimbali kutoka kwa wachambuzi, vyombo vya habari imethibitika Mayele mmoja sawa na kikosi chote cha Simba + benchi la ufundi
................................
Vyanzo Kutoka kwa makolo
Kocha wa makolo Zoran ameomba atumiwe video zote za mshambuliaji mkali ( aliyechangia kocha Pablo) kutimuliwa pale ukoloni.....namzungumzia Fiston Mayele ili aandae topic kwaajili ya kuwafua wachezaji wake
My take
Imagine Zoran anataka kuandaa lecture itakayoitwa "how to handle Fiston Mayele"
Je unazani Mayele Ni mchezaji wa kawaida? Binafsi naona Mayele = kikosi cha Simba + babra + mwamedi + bench la ufundi la kolo
Au nyie wapwa mmnasemaje[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2313557
Wako likizo na bundle la kuomba kwa wazaziNa wewe usikute una familia inakutegemea
yap yap, ni hatariNadhani habari zake amezipata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nackia ndio maana wamesajili mabeki tu.....na viungo