Je wajua? Mechi 15 Bocco, Mugalu hawana asisti wala goli la offside

Je wajua? Mechi 15 Bocco, Mugalu hawana asisti wala goli la offside

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Salaaam Wana JF...

Kwanza kabisa tujikumbushe kuwa JOHN BOCCO alikuwa ni mfungaji Bora wa msimu uliopita.

Kinachonishangaza ni kwamba msimu huu ni mechi ya 15 kwa KOLO kucheza lakini mshambuliaji wao MACHACHARI Hana hata assist wala Goli la OFFSIDE nalo ameshindwa kufunga.

Maajabu:. Yannick Bangala ambaye siyo forward lakini ana goal

Dr. Aucho ni kiungo wa katikati lakini ana magoal, ilhali John Bocco hana hata la offside.
 
Halafu lete takwimu za chama na faisal ili tujue upo serious na hyo comparison yko.
 
Kwa kwel,mugalu na bocco hawa jamaa hapana ni mzigo,wanaweza pata nafasi hata tano na wakakosa zote
 
Magoli matano

Mawili mapinduzi cup

Matatu. Azam confederation

Lakin pia makambo sio tegemez wa timu kama bocco
Kwani Boko ni tegemezi pale Simba? Simba ni Sakho na Chama. Sasa kama umeyahesabu ya federation Kwa mama yenu wakambo kwa nn kwa hippopotamus msiyahesabu? Au yale mawaili kwa Masau sio ya federation?
 
Halafu lete takwimu za chama na faisal ili tujue upo serious na hyo comparison yko.
Fei salum ana magoli manne na assist 2 Nbc pl hakuna kiungo anaemkuta kwenye timu yako labda kagere ambae ana goli 2 na penalt 2.
 
Kwani Boko ni tegemezi pale Simba? Simba ni Sakho na Chama. Sasa kama umeyahesabu ya federation Kwa mama yenu wakambo kwa nn kwa hippopotamus msiyahesabu? Au yale mawaili kwa Masau sio ya federation?
Kumbe sakho na chama ndio tegemezi wenu? Hahaa ha jumlisha magoli yao yote ya ligi kuu hayafiki ya Saido Antibiotic Fundi ambae haimbwi
 
Kumbe sakho na chama ndio tegemezi wenu? Hahaa ha jumlisha magoli yao yote ya ligi kuu hayafiki ya Saido Antibiotic Fundi ambae haimbwi
Hata chelsea walikuwa wanamtegemea uefa na ndiye anayeimbwa zaidi kwenye kubeba kombe ila nenda kahesabu magori yake,yapo mangapi
 
Kwani Boko ni tegemezi pale Simba? Simba ni Sakho na Chama. Sasa kama umeyahesabu ya federation Kwa mama yenu wakambo kwa nn kwa hippopotamus msiyahesabu? Au yale mawaili kwa Masau sio ya federation?
Kweli MAKOLO akili zmewapungua .....Boko si mlimpa u captain it means ndo mchezaji kiongoz
 
Fei salum ana magoli manne na assist 2 Nbc pl hakuna kiungo anaemkuta kwenye timu yako labda kagere ambae ana goli 2 na penalt 2.
Mkuu.....lkn babu kagere ni mshambuliaji[emoji23]
 
Back
Top Bottom