Je, wajua mila na desturi vilivyochangia ongezeko kubwa la UKIMWI Kagera?

Mkuu sitaki ukubaliane na mimi kwa %100 lakini historia iko wazi kwamba maambukizi ya UKIMWI yalitokea ukanda wa DRC yakaja Uganda mpaka Kagera,kwahiyo sitegemei UKIMWI kuruka kutoka uko hadi Mtwara. Swala la wembe,pini na vifaa vingine halina ubishi kumbuka maeneo unayotaja hayakuwa na wajasiriamali wakutoka eneo moja kwenda eneo jingine kama Kagera miaka iyo.

Taadhali haikuchukuliwa mwanzoni Tanzania walifanya mizaha kama Trump alivyokuwa anachukulia Covid19 akidhani yuko salama lakini ona wanavyopukutika kama parachichi.Ata sisi ilikuwa hivyo matokeo yake ata watawala wenyewe walikuja kuonja joto la UKIMWI mpaka leo.

NB:Usipoziba ufa....................



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…