Je, Wajua, Naibu Spika, Chini ya "Bora Spika", Anaweza Kuwa "Spika Bora?". Dr. Tulia, "Ukitulia, Una Fursa ya Kuwa Spika Bora Sana!" Hongera Sana!

Je, Wajua, Naibu Spika, Chini ya "Bora Spika", Anaweza Kuwa "Spika Bora?". Dr. Tulia, "Ukitulia, Una Fursa ya Kuwa Spika Bora Sana!" Hongera Sana!

Wiki iliyopita nilisema Spika aliyetangulia hakuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, hivyo ikitegemewa Naibu wake Dr. Tulia Akson pia atakuwa ni Bora Spika kwa kufuatia ile kanuni ya uwajibikaji wa pamoja ( a collective responsibilities), kwa makosa yote ya Bunge la JYN na naibu Spika Tulia, hivyo kati ya watu 70 waliogombea uspika kupitia CCM, miongoni mwao kuna watu mule wangetupatia Spika Bora kuliko Dr. Tulia, ila kwa vile aliyepitishwa na CCM ni Dr. Tulia, hivyo sasa Dr. Tulia Akson ndie Spika wetu.
Ndugai alikuwa 'spika bora' kwa kuwa kibaraka wa awamu ya 5, ubora wa Tulia utatokana na namna atakavyoibeba 'awamu ya 6 (japo siyo ya 6 ila ni ya 5 kipindi cha pili).

Hata Marehemu Sitta (Mungu amrehemu) hakuwa bora (kwa maoni yangu) ila alitumia udhaifu na madhaifu ya serikali ya wakati huo kujijenga kisiasa....wakati mmoja alitumia bunge kuiadhibu serikali (rejea Richmond) na wakati mmoja alitumia bunge kuilinda serikali (rejea Zitto kusimamishwa kuhudhuria vikao kisa hoja ya Buzwagi au uendeshaji wa bunge la katiba)........hivyo bunge lilitumika kama jukwaa la wabunge kujiinua kisiasa ili wapendwe na wapiga kura au waonekana na watawala wapate uwaziri/unaibu waziri.

Kwa Ndugai ndio kabisa. bunge lilionekana kama tawi/sehemu ya serikali hata wenyeviti wa kamati waliteuliwa kwa ushawishi wa mhimili mwingine.

Tutapata spika bora siku tukipata katiba mpya itakayoibatilisha ndoa kati ya Serikali na bunge.
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Leo 23/01/2022

View attachment 2092447
Leo ni mwendelezo wa mada ya wiki iliyopita kuhusu Spika Bora na Bora Spika, Kujiuzulu kwa Ndugai ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania ili Tupate Spika Bora. Je CCM Ituteulia Spika Bora, au Bora Spika Kama Kawa?. Isipo...Karma Ita..
ambapo niliwaomba CCM ituteulie Spika Bora, kwasababu mteule wa CCM akiisha teuliwa na chama cha Mapinduzi, CCM, huyo ndie Spika, japo kwa sasa jina lililopendekezwa na CCM ni jina moja la Naibu Spika, Dr. Tulia Akson, kikao cha Wabunge wa CCM ambacho ndicho kilipaswa kiwe ni kikao cha uchaguzi wa jina moja kati ya majina matatu, kufuatia Dr. Tulia kuwa ni mwepesi sana kulinganisha na yale majina matatu, hivyo CC ya CCM, imeamua kukamilisha kazi ya jina moja, hivyo kikao cha wabunge wa CCM sio kikao tena cha uchaguzi, ni kikao cha kukamilisha tuu taratibu, na hata uchaguzi wa Spika utakaofanywa na Bunge la JMT, japo utakuwa ni uchaguzi kwasababu kutakuwa na wagombea wengine kutoka vyama vingine, lakini ukweli ni uchaguzi tuu wa kumthibitisha Dr. Tulia ili ni kukamilisha tuu taratibu, swali linabaki ni jee chaguo hili la Dr. Tulia ndiye Spika Bora?, au CCM imetuteulia tena Bora Spika?.

Wiki iliyopita nilisema Spika aliyetangulia hakuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, hivyo ikitegemewa Naibu wake Dr. Tulia Akson pia atakuwa ni Bora Spika kwa kufuatia ile kanuni ya uwajibikaji wa pamoja ( a collective responsibilities), kwa makosa yote ya Bunge la JYN na naibu Spika Tulia, hivyo kati ya watu 70 waliogombea uspika kupitia CCM, miongoni mwao kuna watu mule wangetupatia Spika Bora kuliko Dr. Tulia, ila kwa vile aliyepitishwa na CCM ni Dr. Tulia, hivyo sasa Dr. Tulia Akson ndie Spika wetu.

Hii maana yake, ile sauti niliyoisikia hapa, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... ilikuwa ni sauti ya Mungu
Dr. Tulia Akson ndiye mpango wa Mungu kuwa Spika mpya wa Bunge la JMT.

Moja ya maeneo magumu sana ambayo sisi media yetu ya Tanzania haina, ni eneo la kitu kinachoitwa "analysis" yaani uchambuzi yakinifu. Mimi ni miongoni mwa waandishi wachache wa Tanzania, tunaofanya uchambuzi yakinifu, na mimi hufanya uchambuzi huu kupita humu jf, na kwenye makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazotoka kwenye gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Hivyo nilifanya uchambuzi yakinifu, ya majina hayo 70 waliojitokeza CCM, katika uchambuzi huo, jina la Dr. Tulia halikuingia hata kwenye 10 bora!, za mtu wa kuwa Spika Bora. Wajue the Top 10 wa CCM watakaotoa, the top 5, top 3 na the best Spika. Angalizo, si lazima the best ndiye awe Spika, bali the chosen one!, kwenye uzi huu, niliweka jina la mtu ambaye angekuwa the best kutupatia Spika Bora, ili pia nikaweka angalizo kuwa Spika wetu, atakayepitishwa, sii lazima awe the best, but the chosen one, hivyo aliyechagulia ni Dr. Tulia.

Mambo mawili kwake.
Kwanza kwa vile she was tainted na madhaifu ya Bunge lililopita, hivyo kuonekana Dr. Tulia kama ni another Bora Spika, let's give her the benefits of doubt, kwamba japo alikuwa Naibu Spika chini ya Bora Spika, akitegemewa na yeye atakuwa ni Bora Spika, kosa kubwa la mtangulizi wake ni kukurupuka, ni kukurupuka huko, kukafanya taarifa ya kamati teule ya Bunge, kukurupushiwa kukabidhiwa kwa rais, bila kujadiliwa na Bunge, hivyo Bunge kuonekana kana kwamba linajipendekeza kwa serikali, Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?.

Ni kukurupuka huku kulipelekea Bunge letu tukufu kupitisha azimio batili, Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? tena Bunge lilipaswa kunishukuru sasa mimi, ndiye niliyewatonya azimio hilo lao ni batili, na kuwatonya nini kinakwenda kulikumba Bunge letu kama azimio hilo lingetekelezwa Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba, ndipo alizimio hilo batili, likafichwa chini ya uvungu kimya kimya as if halipo!, na ripoti ile ikapokelewa, hivyo kulinusuru Bunge!.

Ni kukurupuka huko ndiko kulimfanya JYN kutamka maneno yale kwenye ule mkutano wake na Wagogo, na baada ya video kusambaa, akakurupuka tena kuomba msamaha batili, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! akina sisi, tukampa ushauri wa busara, achutame kwa kujiuzulu, Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere? lakini mwenzetu akakomaa na hadi baada ya kusoma bandiko hili Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away? ndipo akakubali kunyoosha mikono juu kwa kukurupuka Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

Kwa vile ukurupuka huo umefanyika huku Dr. Tulia, akiwepo, na Dr. Tulia nae kuonekana kama mkurupukuja kwa kutaka "to eat her cake and have it", kwa kuutaka Uspika, huku ameukumbatia Unaibu Spika na kuuatamia!. Lakini kama ilivyo kwa JPM na Samia, JPM was JPM na Samia ame prove She is Samia, hivyo lets give her a benefit of doubt kuwa Tulia akitulia, kama lilivyo jina lake, ana fursa na anaweza kabisa kuwa Spika Bora.

Pili tuahidi kumpatia kila aina ya Ushirikiano Spika Mpya Dr. Tulia Akson ili aweze kuwa Spika Bora.
Hongera sana, Spika wetu mpya, Dr. Tulia Akson Mwansasu
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.

Uandishi wako unakosa sense of target "Hovyo"
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Leo 23/01/2022

View attachment 2092447
Leo ni mwendelezo wa mada ya wiki iliyopita kuhusu Spika Bora na Bora Spika, Kujiuzulu kwa Ndugai ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania ili Tupate Spika Bora. Je CCM Ituteulia Spika Bora, au Bora Spika Kama Kawa?. Isipo...Karma Ita..
ambapo niliwaomba CCM ituteulie Spika Bora, kwasababu mteule wa CCM akiisha teuliwa na chama cha Mapinduzi, CCM, huyo ndie Spika, japo kwa sasa jina lililopendekezwa na CCM ni jina moja la Naibu Spika, Dr. Tulia Akson, kikao cha Wabunge wa CCM ambacho ndicho kilipaswa kiwe ni kikao cha uchaguzi wa jina moja kati ya majina matatu, kufuatia Dr. Tulia kuwa ni mwepesi sana kulinganisha na yale majina matatu, hivyo CC ya CCM, imeamua kukamilisha kazi ya jina moja, hivyo kikao cha wabunge wa CCM sio kikao tena cha uchaguzi, ni kikao cha kukamilisha tuu taratibu, na hata uchaguzi wa Spika utakaofanywa na Bunge la JMT, japo utakuwa ni uchaguzi kwasababu kutakuwa na wagombea wengine kutoka vyama vingine, lakini ukweli ni uchaguzi tuu wa kumthibitisha Dr. Tulia ili ni kukamilisha tuu taratibu, swali linabaki ni jee chaguo hili la Dr. Tulia ndiye Spika Bora?, au CCM imetuteulia tena Bora Spika?.

Wiki iliyopita nilisema Spika aliyetangulia hakuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, hivyo ikitegemewa Naibu wake Dr. Tulia Akson pia atakuwa ni Bora Spika kwa kufuatia ile kanuni ya uwajibikaji wa pamoja ( a collective responsibilities), kwa makosa yote ya Bunge la JYN na naibu Spika Tulia, hivyo kati ya watu 70 waliogombea uspika kupitia CCM, miongoni mwao kuna watu mule wangetupatia Spika Bora kuliko Dr. Tulia, ila kwa vile aliyepitishwa na CCM ni Dr. Tulia, hivyo sasa Dr. Tulia Akson ndie Spika wetu.

Hii maana yake, ile sauti niliyoisikia hapa, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... ilikuwa ni sauti ya Mungu
Dr. Tulia Akson ndiye mpango wa Mungu kuwa Spika mpya wa Bunge la JMT.

Moja ya maeneo magumu sana ambayo sisi media yetu ya Tanzania haina, ni eneo la kitu kinachoitwa "analysis" yaani uchambuzi yakinifu. Mimi ni miongoni mwa waandishi wachache wa Tanzania, tunaofanya uchambuzi yakinifu, na mimi hufanya uchambuzi huu kupita humu jf, na kwenye makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazotoka kwenye gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Hivyo nilifanya uchambuzi yakinifu, ya majina hayo 70 waliojitokeza CCM, katika uchambuzi huo, jina la Dr. Tulia halikuingia hata kwenye 10 bora!, za mtu wa kuwa Spika Bora. Wajue the Top 10 wa CCM watakaotoa, the top 5, top 3 na the best Spika. Angalizo, si lazima the best ndiye awe Spika, bali the chosen one!, kwenye uzi huu, niliweka jina la mtu ambaye angekuwa the best kutupatia Spika Bora, ili pia nikaweka angalizo kuwa Spika wetu, atakayepitishwa, sii lazima awe the best, but the chosen one, hivyo aliyechagulia ni Dr. Tulia.

Mambo mawili kwake.
Kwanza kwa vile she was tainted na madhaifu ya Bunge lililopita, hivyo kuonekana Dr. Tulia kama ni another Bora Spika, let's give her the benefits of doubt, kwamba japo alikuwa Naibu Spika chini ya Bora Spika, akitegemewa na yeye atakuwa ni Bora Spika, kosa kubwa la mtangulizi wake ni kukurupuka, ni kukurupuka huko, kukafanya taarifa ya kamati teule ya Bunge, kukurupushiwa kukabidhiwa kwa rais, bila kujadiliwa na Bunge, hivyo Bunge kuonekana kana kwamba linajipendekeza kwa serikali, Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?.

Ni kukurupuka huku kulipelekea Bunge letu tukufu kupitisha azimio batili, Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? tena Bunge lilipaswa kunishukuru sasa mimi, ndiye niliyewatonya azimio hilo lao ni batili, na kuwatonya nini kinakwenda kulikumba Bunge letu kama azimio hilo lingetekelezwa Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba, ndipo alizimio hilo batili, likafichwa chini ya uvungu kimya kimya as if halipo!, na ripoti ile ikapokelewa, hivyo kulinusuru Bunge!.

Ni kukurupuka huko ndiko kulimfanya JYN kutamka maneno yale kwenye ule mkutano wake na Wagogo, na baada ya video kusambaa, akakurupuka tena kuomba msamaha batili, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! akina sisi, tukampa ushauri wa busara, achutame kwa kujiuzulu, Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere? lakini mwenzetu akakomaa na hadi baada ya kusoma bandiko hili Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away? ndipo akakubali kunyoosha mikono juu kwa kukurupuka Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

Kwa vile ukurupuka huo umefanyika huku Dr. Tulia, akiwepo, na Dr. Tulia nae kuonekana kama mkurupukuja kwa kutaka "to eat her cake and have it", kwa kuutaka Uspika, huku ameukumbatia Unaibu Spika na kuuatamia!. Lakini kama ilivyo kwa JPM na Samia, JPM was JPM na Samia ame prove She is Samia, hivyo lets give her a benefit of doubt kuwa Tulia akitulia, kama lilivyo jina lake, ana fursa na anaweza kabisa kuwa Spika Bora.

Pili tuahidi kumpatia kila aina ya Ushirikiano Spika Mpya Dr. Tulia Akson ili aweze kuwa Spika Bora.
Hongera sana, Spika wetu mpya, Dr. Tulia Akson Mwansasu
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Paskali niseme wazi sina muda wa kusoma ulichoandika kwa sasa kwakuwa ulishasema kama atapita tulia bunge na nchi itakuwa imepata "bora spika"
 
Tangu umeingia siasani, uandishi wako hauvutii tena kwangu sijui kwanini yaani Kaka mkubwa.
Alikuwa mwandishi mzuri sana Kabla ya utawala wa JPM. Nikiri nilijifunza mengi. Aliharibika wakati wa JPM, hafai tena. Sisomi tena makala zake. Nasoma michango ya wachangiaji. Mtoto si riziki tena.
 
Tangu umeingia siasani, uandishi wako hauvutii tena kwangu sijui kwanini yaani Kaka mkubwa.
Mkuu mtingi1 , kwanza pole sana, mimi ni binadamu, human beings are not static, they are dynamic and hence they change with time, place, environment na circumstances, zamani I was young, fearless, carefree and writing for the people ili kuwafurahisha watu na kuandika kile watu wanataka kusikia.

Now I'm old, mature, careful naandika only the truth kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa, kwa kuusema ukweli mchungu utakaolisaidia taifa bila kujali ukweli huo utamfurahisha nani au utamuudhi nani, as long as ni ukweli, nitausema ukweli huo jinsi ulivyo na sio ili kufurahisha watu!.
P
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Leo 23/01/2022

View attachment 2092447
Leo ni mwendelezo wa mada ya wiki iliyopita kuhusu Spika Bora na Bora Spika, Kujiuzulu kwa Ndugai ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania ili Tupate Spika Bora. Je CCM Ituteulia Spika Bora, au Bora Spika Kama Kawa?. Isipo...Karma Ita..
ambapo niliwaomba CCM ituteulie Spika Bora, kwasababu mteule wa CCM akiisha teuliwa na chama cha Mapinduzi, CCM, huyo ndie Spika, japo kwa sasa jina lililopendekezwa na CCM ni jina moja la Naibu Spika, Dr. Tulia Akson, kikao cha Wabunge wa CCM ambacho ndicho kilipaswa kiwe ni kikao cha uchaguzi wa jina moja kati ya majina matatu, kufuatia Dr. Tulia kuwa ni mwepesi sana kulinganisha na yale majina matatu, hivyo CC ya CCM, imeamua kukamilisha kazi ya jina moja, hivyo kikao cha wabunge wa CCM sio kikao tena cha uchaguzi, ni kikao cha kukamilisha tuu taratibu, na hata uchaguzi wa Spika utakaofanywa na Bunge la JMT, japo utakuwa ni uchaguzi kwasababu kutakuwa na wagombea wengine kutoka vyama vingine, lakini ukweli ni uchaguzi tuu wa kumthibitisha Dr. Tulia ili ni kukamilisha tuu taratibu, swali linabaki ni jee chaguo hili la Dr. Tulia ndiye Spika Bora?, au CCM imetuteulia tena Bora Spika?.

Wiki iliyopita nilisema Spika aliyetangulia hakuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, hivyo ikitegemewa Naibu wake Dr. Tulia Akson pia atakuwa ni Bora Spika kwa kufuatia ile kanuni ya uwajibikaji wa pamoja ( a collective responsibilities), kwa makosa yote ya Bunge la JYN na naibu Spika Tulia, hivyo kati ya watu 70 waliogombea uspika kupitia CCM, miongoni mwao kuna watu mule wangetupatia Spika Bora kuliko Dr. Tulia, ila kwa vile aliyepitishwa na CCM ni Dr. Tulia, hivyo sasa Dr. Tulia Akson ndie Spika wetu.

Hii maana yake, ile sauti niliyoisikia hapa, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... ilikuwa ni sauti ya Mungu
Dr. Tulia Akson ndiye mpango wa Mungu kuwa Spika mpya wa Bunge la JMT.

Moja ya maeneo magumu sana ambayo sisi media yetu ya Tanzania haina, ni eneo la kitu kinachoitwa "analysis" yaani uchambuzi yakinifu. Mimi ni miongoni mwa waandishi wachache wa Tanzania, tunaofanya uchambuzi yakinifu, na mimi hufanya uchambuzi huu kupita humu jf, na kwenye makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazotoka kwenye gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Hivyo nilifanya uchambuzi yakinifu, ya majina hayo 70 waliojitokeza CCM, katika uchambuzi huo, jina la Dr. Tulia halikuingia hata kwenye 10 bora!, za mtu wa kuwa Spika Bora. Wajue the Top 10 wa CCM watakaotoa, the top 5, top 3 na the best Spika. Angalizo, si lazima the best ndiye awe Spika, bali the chosen one!, kwenye uzi huu, niliweka jina la mtu ambaye angekuwa the best kutupatia Spika Bora, ili pia nikaweka angalizo kuwa Spika wetu, atakayepitishwa, sii lazima awe the best, but the chosen one, hivyo aliyechagulia ni Dr. Tulia.

Mambo mawili kwake.
Kwanza kwa vile she was tainted na madhaifu ya Bunge lililopita, hivyo kuonekana Dr. Tulia kama ni another Bora Spika, let's give her the benefits of doubt, kwamba japo alikuwa Naibu Spika chini ya Bora Spika, akitegemewa na yeye atakuwa ni Bora Spika, kosa kubwa la mtangulizi wake ni kukurupuka, ni kukurupuka huko, kukafanya taarifa ya kamati teule ya Bunge, kukurupushiwa kukabidhiwa kwa rais, bila kujadiliwa na Bunge, hivyo Bunge kuonekana kana kwamba linajipendekeza kwa serikali, Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?.

Ni kukurupuka huku kulipelekea Bunge letu tukufu kupitisha azimio batili, Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? tena Bunge lilipaswa kunishukuru sasa mimi, ndiye niliyewatonya azimio hilo lao ni batili, na kuwatonya nini kinakwenda kulikumba Bunge letu kama azimio hilo lingetekelezwa Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba, ndipo alizimio hilo batili, likafichwa chini ya uvungu kimya kimya as if halipo!, na ripoti ile ikapokelewa, hivyo kulinusuru Bunge!.

Ni kukurupuka huko ndiko kulimfanya JYN kutamka maneno yale kwenye ule mkutano wake na Wagogo, na baada ya video kusambaa, akakurupuka tena kuomba msamaha batili, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! akina sisi, tukampa ushauri wa busara, achutame kwa kujiuzulu, Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere? lakini mwenzetu akakomaa na hadi baada ya kusoma bandiko hili Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away? ndipo akakubali kunyoosha mikono juu kwa kukurupuka Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

Kwa vile ukurupuka huo umefanyika huku Dr. Tulia, akiwepo, na Dr. Tulia nae kuonekana kama mkurupukuja kwa kutaka "to eat her cake and have it", kwa kuutaka Uspika, huku ameukumbatia Unaibu Spika na kuuatamia!. Lakini kama ilivyo kwa JPM na Samia, JPM was JPM na Samia ame prove She is Samia, hivyo lets give her a benefit of doubt kuwa Tulia akitulia, kama lilivyo jina lake, ana fursa na anaweza kabisa kuwa Spika Bora.

Pili tuahidi kumpatia kila aina ya Ushirikiano Spika Mpya Dr. Tulia Akson ili aweze kuwa Spika Bora.
Hongera sana, Spika wetu mpya, Dr. Tulia Akson Mwansasu
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Ndugai alikuwa ni mtu wa JPM, hakufurukuta hata kidogo.

Dr Tulia ni mtu wa Samia na anaweza asifurukute hata kidogo.

Ndio siasa za Tanzania, ukiwa rais unakuwa na spika ambaye ni mtu wako ili utekelezaji wa masuala ya kiserikali usikutane na kupingwa pingwa.
 
na wewe ulieanzisha hii maada tunajua uliambulia kura moja tu ya wajumbe mwaka 2020, huenda nawe unaandika hizi mambo kwa manufaa yako, hii nchi daaah 😂😂
Mkuu sky soldier , sisi wana jf ni kama ndugu watoto wa familia moja, sio poa kuendelea kumsimanga ndugu yako wa familia moja!.

Baada ya kugombea nilirudi humu nimewaomba, msinibeze, msinicheke na msinisimange,
mbona sasa mnaendelea kunibeza na kunisimanga?.
This is not fair!.
P
 
Naibu Speaker ambae alikuwa anazuia ufisadi usijadiliwe Bungeni hawezi kuwa Speaker bora.
View attachment 2092504
Mkuu Behaviourist ,
two things, mtu anapokuwa Naibu chini ya mtu mwingine, atasema, na atatenda kwa niaba ya bosi wake, hivyo mambo yote ambayo Tulia alikuwa akiyafanya chini ya JYN alikuwa akifanya kwa niaba, it's a different now, she is the one!.
Ni kama Samia chini ya JPM na Samia huyu wa sasa, Tanzania is hundreds times better.

Pili, people changes, watu wana change, wanabadilika. Hivyo Lets give her the benefits of doubt kuwa sasa ndio tutamuona Tulia Tulia na yule Tulia-Ndugai!.
P
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Leo 23/01/2022

View attachment 2092447
Leo ni mwendelezo wa mada ya wiki iliyopita kuhusu Spika Bora na Bora Spika, Kujiuzulu kwa Ndugai ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania ili Tupate Spika Bora. Je CCM Ituteulia Spika Bora, au Bora Spika Kama Kawa?. Isipo...Karma Ita..
ambapo niliwaomba CCM ituteulie Spika Bora, kwasababu mteule wa CCM akiisha teuliwa na chama cha Mapinduzi, CCM, huyo ndie Spika, japo kwa sasa jina lililopendekezwa na CCM ni jina moja la Naibu Spika, Dr. Tulia Akson, kikao cha Wabunge wa CCM ambacho ndicho kilipaswa kiwe ni kikao cha uchaguzi wa jina moja kati ya majina matatu, kufuatia Dr. Tulia kuwa ni mwepesi sana kulinganisha na yale majina matatu, hivyo CC ya CCM, imeamua kukamilisha kazi ya jina moja, hivyo kikao cha wabunge wa CCM sio kikao tena cha uchaguzi, ni kikao cha kukamilisha tuu taratibu, na hata uchaguzi wa Spika utakaofanywa na Bunge la JMT, japo utakuwa ni uchaguzi kwasababu kutakuwa na wagombea wengine kutoka vyama vingine, lakini ukweli ni uchaguzi tuu wa kumthibitisha Dr. Tulia ili ni kukamilisha tuu taratibu, swali linabaki ni jee chaguo hili la Dr. Tulia ndiye Spika Bora?, au CCM imetuteulia tena Bora Spika?.

Wiki iliyopita nilisema Spika aliyetangulia hakuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, hivyo ikitegemewa Naibu wake Dr. Tulia Akson pia atakuwa ni Bora Spika kwa kufuatia ile kanuni ya uwajibikaji wa pamoja ( a collective responsibilities), kwa makosa yote ya Bunge la JYN na naibu Spika Tulia, hivyo kati ya watu 70 waliogombea uspika kupitia CCM, miongoni mwao kuna watu mule wangetupatia Spika Bora kuliko Dr. Tulia, ila kwa vile aliyepitishwa na CCM ni Dr. Tulia, hivyo sasa Dr. Tulia Akson ndie Spika wetu.

Hii maana yake, ile sauti niliyoisikia hapa, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... ilikuwa ni sauti ya Mungu
Dr. Tulia Akson ndiye mpango wa Mungu kuwa Spika mpya wa Bunge la JMT.

Moja ya maeneo magumu sana ambayo sisi media yetu ya Tanzania haina, ni eneo la kitu kinachoitwa "analysis" yaani uchambuzi yakinifu. Mimi ni miongoni mwa waandishi wachache wa Tanzania, tunaofanya uchambuzi yakinifu, na mimi hufanya uchambuzi huu kupita humu jf, na kwenye makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazotoka kwenye gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Hivyo nilifanya uchambuzi yakinifu, ya majina hayo 70 waliojitokeza CCM, katika uchambuzi huo, jina la Dr. Tulia halikuingia hata kwenye 10 bora!, za mtu wa kuwa Spika Bora. Wajue the Top 10 wa CCM watakaotoa, the top 5, top 3 na the best Spika. Angalizo, si lazima the best ndiye awe Spika, bali the chosen one!, kwenye uzi huu, niliweka jina la mtu ambaye angekuwa the best kutupatia Spika Bora, ili pia nikaweka angalizo kuwa Spika wetu, atakayepitishwa, sii lazima awe the best, but the chosen one, hivyo aliyechagulia ni Dr. Tulia.

Mambo mawili kwake.
Kwanza kwa vile she was tainted na madhaifu ya Bunge lililopita, hivyo kuonekana Dr. Tulia kama ni another Bora Spika, let's give her the benefits of doubt, kwamba japo alikuwa Naibu Spika chini ya Bora Spika, akitegemewa na yeye atakuwa ni Bora Spika, kosa kubwa la mtangulizi wake ni kukurupuka, ni kukurupuka huko, kukafanya taarifa ya kamati teule ya Bunge, kukurupushiwa kukabidhiwa kwa rais, bila kujadiliwa na Bunge, hivyo Bunge kuonekana kana kwamba linajipendekeza kwa serikali, Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?.

Ni kukurupuka huku kulipelekea Bunge letu tukufu kupitisha azimio batili, Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? tena Bunge lilipaswa kunishukuru sasa mimi, ndiye niliyewatonya azimio hilo lao ni batili, na kuwatonya nini kinakwenda kulikumba Bunge letu kama azimio hilo lingetekelezwa Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba, ndipo alizimio hilo batili, likafichwa chini ya uvungu kimya kimya as if halipo!, na ripoti ile ikapokelewa, hivyo kulinusuru Bunge!.

Ni kukurupuka huko ndiko kulimfanya JYN kutamka maneno yale kwenye ule mkutano wake na Wagogo, na baada ya video kusambaa, akakurupuka tena kuomba msamaha batili, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! akina sisi, tukampa ushauri wa busara, achutame kwa kujiuzulu, Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere? lakini mwenzetu akakomaa na hadi baada ya kusoma bandiko hili Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away? ndipo akakubali kunyoosha mikono juu kwa kukurupuka Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

Kwa vile ukurupuka huo umefanyika huku Dr. Tulia, akiwepo, na Dr. Tulia nae kuonekana kama mkurupukuja kwa kutaka "to eat her cake and have it", kwa kuutaka Uspika, huku ameukumbatia Unaibu Spika na kuuatamia!. Lakini kama ilivyo kwa JPM na Samia, JPM was JPM na Samia ame prove She is Samia, hivyo lets give her a benefit of doubt kuwa Tulia akitulia, kama lilivyo jina lake, ana fursa na anaweza kabisa kuwa Spika Bora.

Pili tuahidi kumpatia kila aina ya Ushirikiano Spika Mpya Dr. Tulia Akson ili aweze kuwa Spika Bora.
Hongera sana, Spika wetu mpya, Dr. Tulia Akson Mwansasu
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
My only worry, if you start hearing voices from within, see a psychiatrist immediately!!
 
Tulia ana tofauti gani na Msukuma, Lusinde? Yani Tulia ni hovyo kwanza ana mambo ya kijiweni sana! Umewahi kuona watu kama kina mama Makinda wanaenda kuketi mbele ya vijeneza vya uchuro? Kiongozi anaonekana tu mkuu! Sasa emb mtazame Tulia kama utaona hata chembe moja ya uongozi ndani yake.
Hakuna mtu anazaliwa mkubwa, kila mtu anazaliwa akiwa mtoto mchanga and start to grow little by little hadi anakuwa mkubwa, sasa katika makuzi, there are times mtu anapitia foolish age, there are times anapitia those turbulence teen age na kufanya mambo ya ajabu, mwisho ana mature na kutulia. Tulia ameingia siasa ukubwani, hivyo ule utoto wa ule uchuro wa jeneza, she was a kid in politics, and that was foolish age, now she is grown up, more mature, hawezi tena kufanya ujinga kama ule. Tumpe kila aina ya ushirikiano, ili aweze kuwa Spika Bora.
P
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Leo 23/01/2022

View attachment 2092447
Leo ni mwendelezo wa mada ya wiki iliyopita kuhusu Spika Bora na Bora Spika, Kujiuzulu kwa Ndugai ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania ili Tupate Spika Bora. Je CCM Ituteulia Spika Bora, au Bora Spika Kama Kawa?. Isipo...Karma Ita..
ambapo niliwaomba CCM ituteulie Spika Bora, kwasababu mteule wa CCM akiisha teuliwa na chama cha Mapinduzi, CCM, huyo ndie Spika, japo kwa sasa jina lililopendekezwa na CCM ni jina moja la Naibu Spika, Dr. Tulia Akson, kikao cha Wabunge wa CCM ambacho ndicho kilipaswa kiwe ni kikao cha uchaguzi wa jina moja kati ya majina matatu, kufuatia Dr. Tulia kuwa ni mwepesi sana kulinganisha na yale majina matatu, hivyo CC ya CCM, imeamua kukamilisha kazi ya jina moja, hivyo kikao cha wabunge wa CCM sio kikao tena cha uchaguzi, ni kikao cha kukamilisha tuu taratibu, na hata uchaguzi wa Spika utakaofanywa na Bunge la JMT, japo utakuwa ni uchaguzi kwasababu kutakuwa na wagombea wengine kutoka vyama vingine, lakini ukweli ni uchaguzi tuu wa kumthibitisha Dr. Tulia ili ni kukamilisha tuu taratibu, swali linabaki ni jee chaguo hili la Dr. Tulia ndiye Spika Bora?, au CCM imetuteulia tena Bora Spika?.

Wiki iliyopita nilisema Spika aliyetangulia hakuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, hivyo ikitegemewa Naibu wake Dr. Tulia Akson pia atakuwa ni Bora Spika kwa kufuatia ile kanuni ya uwajibikaji wa pamoja ( a collective responsibilities), kwa makosa yote ya Bunge la JYN na naibu Spika Tulia, hivyo kati ya watu 70 waliogombea uspika kupitia CCM, miongoni mwao kuna watu mule wangetupatia Spika Bora kuliko Dr. Tulia, ila kwa vile aliyepitishwa na CCM ni Dr. Tulia, hivyo sasa Dr. Tulia Akson ndie Spika wetu.

Hii maana yake, ile sauti niliyoisikia hapa, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... ilikuwa ni sauti ya Mungu
Dr. Tulia Akson ndiye mpango wa Mungu kuwa Spika mpya wa Bunge la JMT.

Moja ya maeneo magumu sana ambayo sisi media yetu ya Tanzania haina, ni eneo la kitu kinachoitwa "analysis" yaani uchambuzi yakinifu. Mimi ni miongoni mwa waandishi wachache wa Tanzania, tunaofanya uchambuzi yakinifu, na mimi hufanya uchambuzi huu kupita humu jf, na kwenye makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazotoka kwenye gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Hivyo nilifanya uchambuzi yakinifu, ya majina hayo 70 waliojitokeza CCM, katika uchambuzi huo, jina la Dr. Tulia halikuingia hata kwenye 10 bora!, za mtu wa kuwa Spika Bora. Wajue the Top 10 wa CCM watakaotoa, the top 5, top 3 na the best Spika. Angalizo, si lazima the best ndiye awe Spika, bali the chosen one!, kwenye uzi huu, niliweka jina la mtu ambaye angekuwa the best kutupatia Spika Bora, ili pia nikaweka angalizo kuwa Spika wetu, atakayepitishwa, sii lazima awe the best, but the chosen one, hivyo aliyechagulia ni Dr. Tulia.

Mambo mawili kwake.
Kwanza kwa vile she was tainted na madhaifu ya Bunge lililopita, hivyo kuonekana Dr. Tulia kama ni another Bora Spika, let's give her the benefits of doubt, kwamba japo alikuwa Naibu Spika chini ya Bora Spika, akitegemewa na yeye atakuwa ni Bora Spika, kosa kubwa la mtangulizi wake ni kukurupuka, ni kukurupuka huko, kukafanya taarifa ya kamati teule ya Bunge, kukurupushiwa kukabidhiwa kwa rais, bila kujadiliwa na Bunge, hivyo Bunge kuonekana kana kwamba linajipendekeza kwa serikali, Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?.

Ni kukurupuka huku kulipelekea Bunge letu tukufu kupitisha azimio batili, Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? tena Bunge lilipaswa kunishukuru sasa mimi, ndiye niliyewatonya azimio hilo lao ni batili, na kuwatonya nini kinakwenda kulikumba Bunge letu kama azimio hilo lingetekelezwa Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba, ndipo alizimio hilo batili, likafichwa chini ya uvungu kimya kimya as if halipo!, na ripoti ile ikapokelewa, hivyo kulinusuru Bunge!.

Ni kukurupuka huko ndiko kulimfanya JYN kutamka maneno yale kwenye ule mkutano wake na Wagogo, na baada ya video kusambaa, akakurupuka tena kuomba msamaha batili, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! akina sisi, tukampa ushauri wa busara, achutame kwa kujiuzulu, Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere? lakini mwenzetu akakomaa na hadi baada ya kusoma bandiko hili Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away? ndipo akakubali kunyoosha mikono juu kwa kukurupuka Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

Kwa vile ukurupuka huo umefanyika huku Dr. Tulia, akiwepo, na Dr. Tulia nae kuonekana kama mkurupukuja kwa kutaka "to eat her cake and have it", kwa kuutaka Uspika, huku ameukumbatia Unaibu Spika na kuuatamia!. Lakini kama ilivyo kwa JPM na Samia, JPM was JPM na Samia ame prove She is Samia, hivyo lets give her a benefit of doubt kuwa Tulia akitulia, kama lilivyo jina lake, ana fursa na anaweza kabisa kuwa Spika Bora.

Pili tuahidi kumpatia kila aina ya Ushirikiano Spika Mpya Dr. Tulia Akson ili aweze kuwa Spika Bora.
Hongera sana, Spika wetu mpya, Dr. Tulia Akson Mwansasu
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Huna jipya
 
Mkuu P, hebu tuache kidogo!
Maisha ya Bora liende ukitegemea kuwa yatakuwa Bora huko mbeleni, ni kubet odds za 1 in a 1,000,000!
Hakuna ubora wowote unaoweza kutokea kwenye hili!

Muda ni Mwalimu tuwe na Akiba ya maneno!
Huenda hii ikaja kuwa awamu iliyokuwa na maspika tofauti hata wanne!
Don't be a pessimistic person with pessimisim, be an optimistic person with optimisim that she can make one of the best speakers Tanzania had ever have!.

P
 
Don't be a pessimistic person with pessimisim, be an optimistic person with optimisim that she can make one of the best speakers Tanzania had ever have!.

P
Inaitwa agree to disagree, vinginevyo mkuu P inakuwa kama unataka kuitwa chawa!

She isn't cut out to be madam Speaker, Ila kwa upungufu wa watendaji huko Lumumba. Ni kama imebidi tu apewe yeye, maana CCM wamerecycle weeeh badala ya kutafuta vijana na kuwajengea uwezo!
 
Back
Top Bottom