Je, Wajua, Naibu Spika, Chini ya "Bora Spika", Anaweza Kuwa "Spika Bora?". Dr. Tulia, "Ukitulia, Una Fursa ya Kuwa Spika Bora Sana!" Hongera Sana!

Je, Wajua, Naibu Spika, Chini ya "Bora Spika", Anaweza Kuwa "Spika Bora?". Dr. Tulia, "Ukitulia, Una Fursa ya Kuwa Spika Bora Sana!" Hongera Sana!

kauli hii aliitoa huyo Tulia mbele ya Rais siku chache baada ya nafasi ya uspika kuwa wazi..

"""Rais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania, mheshimiwa Samia Suluhu Hassan sio tu kiongozi wa Serikali lakini ni mkuu wa nchi kwa hiyo yeye uongozi wake hauko sawasawa yeyote wa mhimili wowote ulioko hapa nchini""""

Tulia kacheza kete zake kwajili ya manufaa yake, hio kauli pasi nashaka ilikuwa ya kumsifu na kumuabudu rais wazi wazi kwamba hata uraisi upo juu ya mihimili yote hata bunge na mahakama.

Kwa ufupi anaenda kuwa spika asie na uhuru wala uaminifu wa kuendesha bunge kama mhimili unaojutegemea.

Ila na wewe ulieanzisha hii maada na wewe tunajua uliambulia kura moja tu ya wajumbe mwaka 2020, huenda nawe unaandika hizi mambo kwa manufaa yako 2025, hii nchi daaah 😂😂
Itakuwa huyu Madam Speaker elect (party-wise) alifuatwa na kutakwa atoe statement yake kuhusu guyuguzo alilopitia Mstaafu JYN ili wenye chama chao waamue iwapo wafagiliwe wote ama apromotiwe.

Sidhani kama 2025 itafika, according to Mstaafu JYN, before hii nchi IPIGWE MNADA WA BEI YA KUTUPA!
 
kauli hii aliitoa huyo Tulia mbele ya Rais siku chache baada ya nafasi ya uspika kuwa wazi..

"""Rais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania, mheshimiwa Samia Suluhu Hassan sio tu kiongozi wa Serikali lakini ni mkuu wa nchi kwa hiyo yeye uongozi wake hauko sawasawa yeyote wa mhimili wowote ulioko hapa nchini""""

Tulia kacheza kete zake kwajili ya manufaa yake, hio kauli pasi nashaka ilikuwa ya kumsifu na kumuabudu rais wazi wazi kwamba hata uraisi upo juu ya mihimili yote hata bunge na mahakama.

Kwa ufupi anaenda kuwa spika asie na uhuru wala uaminifu wa kuendesha bunge kama mhimili unaojutegemea.

Ila na wewe ulieanzisha hii maada na wewe tunajua uliambulia kura moja tu ya wajumbe mwaka 2020, huenda nawe unaandika hizi mambo kwa manufaa yako 2025, hii nchi daaah [emoji23][emoji23]
Ndugai anavyowanga hamuachi usishangae mtu sauti ikayeyuka ghafla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Leo 23/01/2022

View attachment 2092447
Leo ni mwendelezo wa mada ya wiki iliyopita kuhusu Spika Bora na Bora Spika, Kujiuzulu kwa Ndugai ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania ili Tupate Spika Bora. Je CCM Ituteulia Spika Bora, au Bora Spika Kama Kawa?. Isipo...Karma Ita..
ambapo niliwaomba CCM ituteulie Spika Bora, kwasababu mteule wa CCM akiisha teuliwa na chama cha Mapinduzi, CCM, huyo ndie Spika, japo kwa sasa jina lililopendekezwa na CCM ni jina moja la Naibu Spika, Dr. Tulia Akson, kikao cha Wabunge wa CCM ambacho ndicho kilipaswa kiwe ni kikao cha uchaguzi wa jina moja kati ya majina matatu, kufuatia Dr. Tulia kuwa ni mwepesi sana kulinganisha na yale majina matatu, hivyo CC ya CCM, imeamua kukamilisha kazi ya jina moja, hivyo kikao cha wabunge wa CCM sio kikao tena cha uchaguzi, ni kikao cha kukamilisha tuu taratibu, na hata uchaguzi wa Spika utakaofanywa na Bunge la JMT, japo utakuwa ni uchaguzi kwasababu kutakuwa na wagombea wengine kutoka vyama vingine, lakini ukweli ni uchaguzi tuu wa kumthibitisha Dr. Tulia ili ni kukamilisha tuu taratibu, swali linabaki ni jee chaguo hili la Dr. Tulia ndiye Spika Bora?, au CCM imetuteulia tena Bora Spika?.

Wiki iliyopita nilisema Spika aliyetangulia hakuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, hivyo ikitegemewa Naibu wake Dr. Tulia Akson pia atakuwa ni Bora Spika kwa kufuatia ile kanuni ya uwajibikaji wa pamoja ( a collective responsibilities), kwa makosa yote ya Bunge la JYN na naibu Spika Tulia, hivyo kati ya watu 70 waliogombea uspika kupitia CCM, miongoni mwao kuna watu mule wangetupatia Spika Bora kuliko Dr. Tulia, ila kwa vile aliyepitishwa na CCM ni Dr. Tulia, hivyo sasa Dr. Tulia Akson ndie Spika wetu.

Hii maana yake, ile sauti niliyoisikia hapa, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... ilikuwa ni sauti ya Mungu
Dr. Tulia Akson ndiye mpango wa Mungu kuwa Spika mpya wa Bunge la JMT.

Moja ya maeneo magumu sana ambayo sisi media yetu ya Tanzania haina, ni eneo la kitu kinachoitwa "analysis" yaani uchambuzi yakinifu. Mimi ni miongoni mwa waandishi wachache wa Tanzania, tunaofanya uchambuzi yakinifu, na mimi hufanya uchambuzi huu kupita humu jf, na kwenye makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazotoka kwenye gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Hivyo nilifanya uchambuzi yakinifu, ya majina hayo 70 waliojitokeza CCM, katika uchambuzi huo, jina la Dr. Tulia halikuingia hata kwenye 10 bora!, za mtu wa kuwa Spika Bora. Wajue the Top 10 wa CCM watakaotoa, the top 5, top 3 na the best Spika. Angalizo, si lazima the best ndiye awe Spika, bali the chosen one!, kwenye uzi huu, niliweka jina la mtu ambaye angekuwa the best kutupatia Spika Bora, ili pia nikaweka angalizo kuwa Spika wetu, atakayepitishwa, sii lazima awe the best, but the chosen one, hivyo aliyechagulia ni Dr. Tulia.

Mambo mawili kwake.
Kwanza kwa vile she was tainted na madhaifu ya Bunge lililopita, hivyo kuonekana Dr. Tulia kama ni another Bora Spika, let's give her the benefits of doubt, kwamba japo alikuwa Naibu Spika chini ya Bora Spika, akitegemewa na yeye atakuwa ni Bora Spika, kosa kubwa la mtangulizi wake ni kukurupuka, ni kukurupuka huko, kukafanya taarifa ya kamati teule ya Bunge, kukurupushiwa kukabidhiwa kwa rais, bila kujadiliwa na Bunge, hivyo Bunge kuonekana kana kwamba linajipendekeza kwa serikali, Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?.

Ni kukurupuka huku kulipelekea Bunge letu tukufu kupitisha azimio batili, Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? tena Bunge lilipaswa kunishukuru sasa mimi, ndiye niliyewatonya azimio hilo lao ni batili, na kuwatonya nini kinakwenda kulikumba Bunge letu kama azimio hilo lingetekelezwa Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba, ndipo alizimio hilo batili, likafichwa chini ya uvungu kimya kimya as if halipo!, na ripoti ile ikapokelewa, hivyo kulinusuru Bunge!.

Ni kukurupuka huko ndiko kulimfanya JYN kutamka maneno yale kwenye ule mkutano wake na Wagogo, na baada ya video kusambaa, akakurupuka tena kuomba msamaha batili, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! akina sisi, tukampa ushauri wa busara, achutame kwa kujiuzulu, Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere? lakini mwenzetu akakomaa na hadi baada ya kusoma bandiko hili Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away? ndipo akakubali kunyoosha mikono juu kwa kukurupuka Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

Kwa vile ukurupuka huo umefanyika huku Dr. Tulia, akiwepo, na Dr. Tulia nae kuonekana kama mkurupukuja kwa kutaka "to eat her cake and have it", kwa kuutaka Uspika, huku ameukumbatia Unaibu Spika na kuuatamia!. Lakini kama ilivyo kwa JPM na Samia, JPM was JPM na Samia ame prove She is Samia, hivyo lets give her a benefit of doubt kuwa Tulia akitulia, kama lilivyo jina lake, ana fursa na anaweza kabisa kuwa Spika Bora.

Pili tuahidi kumpatia kila aina ya Ushirikiano Spika Mpya Dr. Tulia Akson ili aweze kuwa Spika Bora.
Hongera sana, Spika wetu mpya, Dr. Tulia Akson Mwansasu
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Mkuu jopo..... la watu wa ovyo,ovyo inazalisha viongozi wa ovyo , ovyo.wasiyo na msimamo yoyote kiutendaji!
Ili waendelee kufanya mambo ya ovyo ovyo....
 
kauli hii aliitoa huyo Tulia mbele ya Rais siku chache baada ya nafasi ya uspika kuwa wazi..

"""Rais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania, mheshimiwa Samia Suluhu Hassan sio tu kiongozi wa Serikali lakini ni mkuu wa nchi kwa hiyo yeye uongozi wake hauko sawasawa yeyote wa mhimili wowote ulioko hapa nchini""""

Tulia kacheza kete zake kwajili ya manufaa yake, hio kauli pasi nashaka ilikuwa ya kumsifu na kumuabudu rais wazi wazi kwamba hata uraisi upo juu ya mihimili yote hata bunge na mahakama.

Kwa ufupi anaenda kuwa spika asie na uhuru wala uaminifu wa kuendesha bunge kama mhimili unaojutegemea.

Ila na wewe ulieanzisha hii maada na wewe tunajua uliambulia kura moja tu ya wajumbe mwaka 2020, huenda nawe unaandika hizi mambo kwa manufaa yako 2025, hii nchi daaah 😂😂
Yeye alitamka hayo akijua kwamba alichokisema ndicho kinachotafsirika kwa mujibu wa katiba iliyopo sasa, sasa hapo alikosea nini ?
 
Sijui kwann? Nina imani kubwa Sana na Tulia
Mkuu Kajabila , asante sana, wewe una roho wa Mungu ndani yako, kwasababu Tulia ni chaguo la Mungu kwa uspika wa Tanzania.
Angalia tarehe ya bandiko hili
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
P
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Leo 23/01/2022

View attachment 2092447
Leo ni mwendelezo wa mada ya wiki iliyopita kuhusu Spika Bora na Bora Spika, Kujiuzulu kwa Ndugai ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania ili Tupate Spika Bora. Je CCM Ituteulia Spika Bora, au Bora Spika Kama Kawa?. Isipo...Karma Ita..
ambapo niliwaomba CCM ituteulie Spika Bora, kwasababu mteule wa CCM akiisha teuliwa na chama cha Mapinduzi, CCM, huyo ndie Spika, japo kwa sasa jina lililopendekezwa na CCM ni jina moja la Naibu Spika, Dr. Tulia Akson, kikao cha Wabunge wa CCM ambacho ndicho kilipaswa kiwe ni kikao cha uchaguzi wa jina moja kati ya majina matatu, kufuatia Dr. Tulia kuwa ni mwepesi sana kulinganisha na yale majina matatu, hivyo CC ya CCM, imeamua kukamilisha kazi ya jina moja, hivyo kikao cha wabunge wa CCM sio kikao tena cha uchaguzi, ni kikao cha kukamilisha tuu taratibu, na hata uchaguzi wa Spika utakaofanywa na Bunge la JMT, japo utakuwa ni uchaguzi kwasababu kutakuwa na wagombea wengine kutoka vyama vingine, lakini ukweli ni uchaguzi tuu wa kumthibitisha Dr. Tulia ili ni kukamilisha tuu taratibu, swali linabaki ni jee chaguo hili la Dr. Tulia ndiye Spika Bora?, au CCM imetuteulia tena Bora Spika?.

Wiki iliyopita nilisema Spika aliyetangulia hakuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, hivyo ikitegemewa Naibu wake Dr. Tulia Akson pia atakuwa ni Bora Spika kwa kufuatia ile kanuni ya uwajibikaji wa pamoja ( a collective responsibilities), kwa makosa yote ya Bunge la JYN na naibu Spika Tulia, hivyo kati ya watu 70 waliogombea uspika kupitia CCM, miongoni mwao kuna watu mule wangetupatia Spika Bora kuliko Dr. Tulia, ila kwa vile aliyepitishwa na CCM ni Dr. Tulia, hivyo sasa Dr. Tulia Akson ndie Spika wetu.

Hii maana yake, ile sauti niliyoisikia hapa, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... ilikuwa ni sauti ya Mungu
Dr. Tulia Akson ndiye mpango wa Mungu kuwa Spika mpya wa Bunge la JMT.

Moja ya maeneo magumu sana ambayo sisi media yetu ya Tanzania haina, ni eneo la kitu kinachoitwa "analysis" yaani uchambuzi yakinifu. Mimi ni miongoni mwa waandishi wachache wa Tanzania, tunaofanya uchambuzi yakinifu, na mimi hufanya uchambuzi huu kupita humu jf, na kwenye makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazotoka kwenye gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Hivyo nilifanya uchambuzi yakinifu, ya majina hayo 70 waliojitokeza CCM, katika uchambuzi huo, jina la Dr. Tulia halikuingia hata kwenye 10 bora!, za mtu wa kuwa Spika Bora. Wajue the Top 10 wa CCM watakaotoa, the top 5, top 3 na the best Spika. Angalizo, si lazima the best ndiye awe Spika, bali the chosen one!, kwenye uzi huu, niliweka jina la mtu ambaye angekuwa the best kutupatia Spika Bora, ili pia nikaweka angalizo kuwa Spika wetu, atakayepitishwa, sii lazima awe the best, but the chosen one, hivyo aliyechagulia ni Dr. Tulia.

Mambo mawili kwake.
Kwanza kwa vile she was tainted na madhaifu ya Bunge lililopita, hivyo kuonekana Dr. Tulia kama ni another Bora Spika, let's give her the benefits of doubt, kwamba japo alikuwa Naibu Spika chini ya Bora Spika, akitegemewa na yeye atakuwa ni Bora Spika, kosa kubwa la mtangulizi wake ni kukurupuka, ni kukurupuka huko, kukafanya taarifa ya kamati teule ya Bunge, kukurupushiwa kukabidhiwa kwa rais, bila kujadiliwa na Bunge, hivyo Bunge kuonekana kana kwamba linajipendekeza kwa serikali, Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?.

Ni kukurupuka huku kulipelekea Bunge letu tukufu kupitisha azimio batili, Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? tena Bunge lilipaswa kunishukuru sasa mimi, ndiye niliyewatonya azimio hilo lao ni batili, na kuwatonya nini kinakwenda kulikumba Bunge letu kama azimio hilo lingetekelezwa Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba, ndipo alizimio hilo batili, likafichwa chini ya uvungu kimya kimya as if halipo!, na ripoti ile ikapokelewa, hivyo kulinusuru Bunge!.

Ni kukurupuka huko ndiko kulimfanya JYN kutamka maneno yale kwenye ule mkutano wake na Wagogo, na baada ya video kusambaa, akakurupuka tena kuomba msamaha batili, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! akina sisi, tukampa ushauri wa busara, achutame kwa kujiuzulu, Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere? lakini mwenzetu akakomaa na hadi baada ya kusoma bandiko hili Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away? ndipo akakubali kunyoosha mikono juu kwa kukurupuka Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

Kwa vile ukurupuka huo umefanyika huku Dr. Tulia, akiwepo, na Dr. Tulia nae kuonekana kama mkurupukuja kwa kutaka "to eat her cake and have it", kwa kuutaka Uspika, huku ameukumbatia Unaibu Spika na kuuatamia!. Lakini kama ilivyo kwa JPM na Samia, JPM was JPM na Samia ame prove She is Samia, hivyo lets give her a benefit of doubt kuwa Tulia akitulia, kama lilivyo jina lake, ana fursa na anaweza kabisa kuwa Spika Bora.

Pili tuahidi kumpatia kila aina ya Ushirikiano Spika Mpya Dr. Tulia Akson ili aweze kuwa Spika Bora.
Hongera sana, Spika wetu mpya, Dr. Tulia Akson Mwansasu
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Paskali mada nzuri ila na penda kukumbusha haikuwa Rahisi... Na haitokuwa Rahisi kwa kazi iliopo mbele yake. Mengi uta andika mengi utasikia ila Macho yake ayaweke kwa Mungu kuna kazi ngumu mbele ambayo akili ya mwanadam haiwezi kuleta majibu... Anahitaji kukesha na kuomba na kamwe asifurahie hiyo nafasi bali amuombe Mungu amuongoze. Asante
 
Mkuu jopo..... la watu wa ovyo,ovyo inazalisha viongozi wa ovyo , ovyo.wasiyo na msimamo yoyote kiutendaji!
Ili waendelee kufanya mambo ya ovyo ovyo....
Absolutely right!
We will always get what we have always gotten because we keep doing what have always done!
Hakuna mabadiliko!
Tuna recycle, out of the recycle bin lazima apatikane mtu!
 
Mkuu Kajabila , asante sana, wewe una roho wa Mungu ndani yako, kwasababu Tulia ni chaguo la Mungu kwa uspika wa Tanzania.
Angalia tarehe ya bandiko hili
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
P
Ni kweli kabisa kwamba Nabii huwa hakubaliki kwao !! Sijui ni kwanini !!!
 
Paskali mada nzuri ila na penda kukumbusha haikuwa Rahisi... Na haitokuwa Rahisi, Macho yake ayaweke kwa Mungu kuna kazi ngumu mbele ambayo akili ya mwanadam haiwezi kuleta majibu... Anahitaji kukesha na kuomba na kamwe asifurahie hiyo nafasi bali amuombe Mungu amuongoze. Asante
Mkuu TumainiEl , kwanza asante kwa mchango huu, wewe unaonekana wewe ni muumini mwenye hofu ya Mungu, hivyo tukiisha kukubaliana yale ya msingi, then mengine yote yana fall a long the line.
1. Tuanze na hoja ya kujiuzulu kwa JYN ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili kutuondolea Bora Spika na kutupatia Spika Bora.
Ref: Kujiuzulu kwa Ndugai ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania ili Tupate Spika Bora. Je CCM Ituteulia Spika Bora, au Bora Spika Kama Kawa?. Isipo...Karma Ita..
2. Kati ya hao 70 waliojitokeza kugombea kupitia CCM, Dr. Tulia was not among the very best kutupatia Spika Bora, she belonged to the Bora Spika group!.
Ref: Wajue the Top 10 wa CCM watakaotoa, the top 5, top 3 na the best Spika. Angalizo, si lazima the best ndiye awe Spika, bali the chosen one!
3. Tukawaomba CCM watuteulie Spika Bora, Based on 2 above, kitendo cha Dr. Tulia, kuwabwaga wote tena wengine ni mijanamume shababi kweli kweli!, ni uthibitisho kuwa kuna mkono wa Mungu kwenye uteuzi wa Tulia, hivyo hili ni chaguo la Mungu kwa uspika wa Tanzania.
Ref:Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
4. Hivyo maadam ni Mungu ndiye amepanga, na ndiye aliyepanga Spika wetu awe Tulia, then Mungu anasimamia the rest kwa kumfanya awe Spika Bora. Tulia anachohitaji kufanya ni jambo moja tuu, "Kumtegemea YEYE amtiaye nguvu".

P.
 
Ndugai alikuwa Naibu Supika wa Makinda! Sasa sijajua kwa mtazamo wako Makinda alikuwa Supika Bora ndiyo maana Ndugai alikuwa "Bora Supika"? Marehemu Sitta alikuwa Supika Bora na Naibu wake Makinda alikuwa Supika Bora ingawa hakumfikia Sitta.
Mimi nafikiri Ubora wa Supika unategemeana na Mtawala yupi! Kwa utawala wa Mwendazake ambao ulikuwa wa kidikteta na ambao haukuwa tayari kukosolewa ni lazima Supika wa wakati huo aonekane ''Bora Supika"! Marehemu Sitta na Makinda walionekana Masupika Bora kwa sababu utawala wa JMK angalau ulijali Demokrasia na uhuru wa kutoa mawazo.
Anyway,Labda kwa kuwa Bunge la sasa ni Bunge la Chama kimoja ambalo haliwezi kuisimamia Serikali au kuikosoa! Maana kazi yao itakuwa kupiga madawati kuunga mkono hata miswaada ya kijinga ya serikali ataonekana "Supika Bora"! Lakini kama Bunge lingekuwa Mseto kama Bunge la 9 na 10 ungerudi kuandika makala nyingine.
 
Mkuu Kajabila , asante sana, wewe una roho wa Mungu ndani yako, kwasababu Tulia ni chaguo la Mungu kwa uspika wa Tanzania.
Angalia tarehe ya bandiko hili
Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.
P
Asante mkuu kuanzia leo ntakuwa nakufuatilia sana kwa ukaribu unabii wako
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Leo 23/01/2022

View attachment 2092447
Leo ni mwendelezo wa mada ya wiki iliyopita kuhusu Spika Bora na Bora Spika, Kujiuzulu kwa Ndugai ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania ili Tupate Spika Bora. Je CCM Ituteulia Spika Bora, au Bora Spika Kama Kawa?. Isipo...Karma Ita..
ambapo niliwaomba CCM ituteulie Spika Bora, kwasababu mteule wa CCM akiisha teuliwa na chama cha Mapinduzi, CCM, huyo ndie Spika, japo kwa sasa jina lililopendekezwa na CCM ni jina moja la Naibu Spika, Dr. Tulia Akson, kikao cha Wabunge wa CCM ambacho ndicho kilipaswa kiwe ni kikao cha uchaguzi wa jina moja kati ya majina matatu, kufuatia Dr. Tulia kuwa ni mwepesi sana kulinganisha na yale majina matatu, hivyo CC ya CCM, imeamua kukamilisha kazi ya jina moja, hivyo kikao cha wabunge wa CCM sio kikao tena cha uchaguzi, ni kikao cha kukamilisha tuu taratibu, na hata uchaguzi wa Spika utakaofanywa na Bunge la JMT, japo utakuwa ni uchaguzi kwasababu kutakuwa na wagombea wengine kutoka vyama vingine, lakini ukweli ni uchaguzi tuu wa kumthibitisha Dr. Tulia ili ni kukamilisha tuu taratibu, swali linabaki ni jee chaguo hili la Dr. Tulia ndiye Spika Bora?, au CCM imetuteulia tena Bora Spika?.

Wiki iliyopita nilisema Spika aliyetangulia hakuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, hivyo ikitegemewa Naibu wake Dr. Tulia Akson pia atakuwa ni Bora Spika kwa kufuatia ile kanuni ya uwajibikaji wa pamoja ( a collective responsibilities), kwa makosa yote ya Bunge la JYN na naibu Spika Tulia, hivyo kati ya watu 70 waliogombea uspika kupitia CCM, miongoni mwao kuna watu mule wangetupatia Spika Bora kuliko Dr. Tulia, ila kwa vile aliyepitishwa na CCM ni Dr. Tulia, hivyo sasa Dr. Tulia Akson ndie Spika wetu.

Hii maana yake, ile sauti niliyoisikia hapa, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... ilikuwa ni sauti ya Mungu
Dr. Tulia Akson ndiye mpango wa Mungu kuwa Spika mpya wa Bunge la JMT.

Moja ya maeneo magumu sana ambayo sisi media yetu ya Tanzania haina, ni eneo la kitu kinachoitwa "analysis" yaani uchambuzi yakinifu. Mimi ni miongoni mwa waandishi wachache wa Tanzania, tunaofanya uchambuzi yakinifu, na mimi hufanya uchambuzi huu kupita humu jf, na kwenye makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazotoka kwenye gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Hivyo nilifanya uchambuzi yakinifu, ya majina hayo 70 waliojitokeza CCM, katika uchambuzi huo, jina la Dr. Tulia halikuingia hata kwenye 10 bora!, za mtu wa kuwa Spika Bora. Wajue the Top 10 wa CCM watakaotoa, the top 5, top 3 na the best Spika. Angalizo, si lazima the best ndiye awe Spika, bali the chosen one!, kwenye uzi huu, niliweka jina la mtu ambaye angekuwa the best kutupatia Spika Bora, ili pia nikaweka angalizo kuwa Spika wetu, atakayepitishwa, sii lazima awe the best, but the chosen one, hivyo aliyechagulia ni Dr. Tulia.

Mambo mawili kwake.
Kwanza kwa vile she was tainted na madhaifu ya Bunge lililopita, hivyo kuonekana Dr. Tulia kama ni another Bora Spika, let's give her the benefits of doubt, kwamba japo alikuwa Naibu Spika chini ya Bora Spika, akitegemewa na yeye atakuwa ni Bora Spika, kosa kubwa la mtangulizi wake ni kukurupuka, ni kukurupuka huko, kukafanya taarifa ya kamati teule ya Bunge, kukurupushiwa kukabidhiwa kwa rais, bila kujadiliwa na Bunge, hivyo Bunge kuonekana kana kwamba linajipendekeza kwa serikali, Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?.

Ni kukurupuka huku kulipelekea Bunge letu tukufu kupitisha azimio batili, Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? tena Bunge lilipaswa kunishukuru sasa mimi, ndiye niliyewatonya azimio hilo lao ni batili, na kuwatonya nini kinakwenda kulikumba Bunge letu kama azimio hilo lingetekelezwa Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba, ndipo alizimio hilo batili, likafichwa chini ya uvungu kimya kimya as if halipo!, na ripoti ile ikapokelewa, hivyo kulinusuru Bunge!.

Ni kukurupuka huko ndiko kulimfanya JYN kutamka maneno yale kwenye ule mkutano wake na Wagogo, na baada ya video kusambaa, akakurupuka tena kuomba msamaha batili, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! akina sisi, tukampa ushauri wa busara, achutame kwa kujiuzulu, Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere? lakini mwenzetu akakomaa na hadi baada ya kusoma bandiko hili Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away? ndipo akakubali kunyoosha mikono juu kwa kukurupuka Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

Kwa vile ukurupuka huo umefanyika huku Dr. Tulia, akiwepo, na Dr. Tulia nae kuonekana kama mkurupukuja kwa kutaka "to eat her cake and have it", kwa kuutaka Uspika, huku ameukumbatia Unaibu Spika na kuuatamia!. Lakini kama ilivyo kwa JPM na Samia, JPM was JPM na Samia ame prove She is Samia, hivyo lets give her a benefit of doubt kuwa Tulia akitulia, kama lilivyo jina lake, ana fursa na anaweza kabisa kuwa Spika Bora.

Pili tuahidi kumpatia kila aina ya Ushirikiano Spika Mpya Dr. Tulia Akson ili aweze kuwa Spika Bora.
Hongera sana, Spika wetu mpya, Dr. Tulia Akson Mwansasu
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.

Nabii Mayalla, the only way (which unfortunately is also least likely to occur) kwa huyu mtu kuwa Speaker Bora ni yeye kuwa willing kuwa a one-term Speaker (kama Marehemu Speaker Sitta). Otherwise, mchakato wa upatikanaji wa Speaker ulivyo sasa katu hauruhusu Speaker kuwa Speaker Bora.

Kwa hili, na mimi naweza kuwa on track kuwa nabii mwenzako!
 
Nabii Mayalla, the only way (which unfortunately is also least likely to occur) kwa huyu mtu kuwa Speaker Bora ni yeye kuwa willing kuwa a one-term Speaker (kama Marehemu Speaker Sitta). Otherwise, mchakato wa upatikanaji wa Speaker ulivyo sasa katu hauruhusu Speaker kuwa Speaker Bora.

Kwa hili, na mimi naweza kuwa on track kuwa nabii mwenzako!
Uko sahihi kabisa!
Ukianzia na namna wanavyopata ubunge, ni komedi tupu!
Hilo la single term speaker nakuunga mkono!
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Leo 23/01/2022

View attachment 2092447
Leo ni mwendelezo wa mada ya wiki iliyopita kuhusu Spika Bora na Bora Spika, Kujiuzulu kwa Ndugai ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania ili Tupate Spika Bora. Je CCM Ituteulia Spika Bora, au Bora Spika Kama Kawa?. Isipo...Karma Ita..
ambapo niliwaomba CCM ituteulie Spika Bora, kwasababu mteule wa CCM akiisha teuliwa na chama cha Mapinduzi, CCM, huyo ndie Spika, japo kwa sasa jina lililopendekezwa na CCM ni jina moja la Naibu Spika, Dr. Tulia Akson, kikao cha Wabunge wa CCM ambacho ndicho kilipaswa kiwe ni kikao cha uchaguzi wa jina moja kati ya majina matatu, kufuatia Dr. Tulia kuwa ni mwepesi sana kulinganisha na yale majina matatu, hivyo CC ya CCM, imeamua kukamilisha kazi ya jina moja, hivyo kikao cha wabunge wa CCM sio kikao tena cha uchaguzi, ni kikao cha kukamilisha tuu taratibu, na hata uchaguzi wa Spika utakaofanywa na Bunge la JMT, japo utakuwa ni uchaguzi kwasababu kutakuwa na wagombea wengine kutoka vyama vingine, lakini ukweli ni uchaguzi tuu wa kumthibitisha Dr. Tulia ili ni kukamilisha tuu taratibu, swali linabaki ni jee chaguo hili la Dr. Tulia ndiye Spika Bora?, au CCM imetuteulia tena Bora Spika?.

Wiki iliyopita nilisema Spika aliyetangulia hakuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, hivyo ikitegemewa Naibu wake Dr. Tulia Akson pia atakuwa ni Bora Spika kwa kufuatia ile kanuni ya uwajibikaji wa pamoja ( a collective responsibilities), kwa makosa yote ya Bunge la JYN na naibu Spika Tulia, hivyo kati ya watu 70 waliogombea uspika kupitia CCM, miongoni mwao kuna watu mule wangetupatia Spika Bora kuliko Dr. Tulia, ila kwa vile aliyepitishwa na CCM ni Dr. Tulia, hivyo sasa Dr. Tulia Akson ndie Spika wetu.

Hii maana yake, ile sauti niliyoisikia hapa, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... ilikuwa ni sauti ya Mungu
Dr. Tulia Akson ndiye mpango wa Mungu kuwa Spika mpya wa Bunge la JMT.

Moja ya maeneo magumu sana ambayo sisi media yetu ya Tanzania haina, ni eneo la kitu kinachoitwa "analysis" yaani uchambuzi yakinifu. Mimi ni miongoni mwa waandishi wachache wa Tanzania, tunaofanya uchambuzi yakinifu, na mimi hufanya uchambuzi huu kupita humu jf, na kwenye makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazotoka kwenye gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Hivyo nilifanya uchambuzi yakinifu, ya majina hayo 70 waliojitokeza CCM, katika uchambuzi huo, jina la Dr. Tulia halikuingia hata kwenye 10 bora!, za mtu wa kuwa Spika Bora. Wajue the Top 10 wa CCM watakaotoa, the top 5, top 3 na the best Spika. Angalizo, si lazima the best ndiye awe Spika, bali the chosen one!, kwenye uzi huu, niliweka jina la mtu ambaye angekuwa the best kutupatia Spika Bora, ili pia nikaweka angalizo kuwa Spika wetu, atakayepitishwa, sii lazima awe the best, but the chosen one, hivyo aliyechagulia ni Dr. Tulia.

Mambo mawili kwake.
Kwanza kwa vile she was tainted na madhaifu ya Bunge lililopita, hivyo kuonekana Dr. Tulia kama ni another Bora Spika, let's give her the benefits of doubt, kwamba japo alikuwa Naibu Spika chini ya Bora Spika, akitegemewa na yeye atakuwa ni Bora Spika, kosa kubwa la mtangulizi wake ni kukurupuka, ni kukurupuka huko, kukafanya taarifa ya kamati teule ya Bunge, kukurupushiwa kukabidhiwa kwa rais, bila kujadiliwa na Bunge, hivyo Bunge kuonekana kana kwamba linajipendekeza kwa serikali, Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?.

Ni kukurupuka huku kulipelekea Bunge letu tukufu kupitisha azimio batili, Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? tena Bunge lilipaswa kunishukuru sasa mimi, ndiye niliyewatonya azimio hilo lao ni batili, na kuwatonya nini kinakwenda kulikumba Bunge letu kama azimio hilo lingetekelezwa Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba, ndipo alizimio hilo batili, likafichwa chini ya uvungu kimya kimya as if halipo!, na ripoti ile ikapokelewa, hivyo kulinusuru Bunge!.

Ni kukurupuka huko ndiko kulimfanya JYN kutamka maneno yale kwenye ule mkutano wake na Wagogo, na baada ya video kusambaa, akakurupuka tena kuomba msamaha batili, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! akina sisi, tukampa ushauri wa busara, achutame kwa kujiuzulu, Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere? lakini mwenzetu akakomaa na hadi baada ya kusoma bandiko hili Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away? ndipo akakubali kunyoosha mikono juu kwa kukurupuka Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

Kwa vile ukurupuka huo umefanyika huku Dr. Tulia, akiwepo, na Dr. Tulia nae kuonekana kama mkurupukuja kwa kutaka "to eat her cake and have it", kwa kuutaka Uspika, huku ameukumbatia Unaibu Spika na kuuatamia!. Lakini kama ilivyo kwa JPM na Samia, JPM was JPM na Samia ame prove She is Samia, hivyo lets give her a benefit of doubt kuwa Tulia akitulia, kama lilivyo jina lake, ana fursa na anaweza kabisa kuwa Spika Bora.

Pili tuahidi kumpatia kila aina ya Ushirikiano Spika Mpya Dr. Tulia Akson ili aweze kuwa Spika Bora.
Hongera sana, Spika wetu mpya, Dr. Tulia Akson Mwansasu
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
It is a miracle to have a good driver in a faulty vehicle. She will never be different from Ndugai; otherwise the system will reject her.
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Leo 23/01/2022

View attachment 2092447
Leo ni mwendelezo wa mada ya wiki iliyopita kuhusu Spika Bora na Bora Spika, Kujiuzulu kwa Ndugai ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania ili Tupate Spika Bora. Je CCM Ituteulia Spika Bora, au Bora Spika Kama Kawa?. Isipo...Karma Ita..
ambapo niliwaomba CCM ituteulie Spika Bora, kwasababu mteule wa CCM akiisha teuliwa na chama cha Mapinduzi, CCM, huyo ndie Spika, japo kwa sasa jina lililopendekezwa na CCM ni jina moja la Naibu Spika, Dr. Tulia Akson, kikao cha Wabunge wa CCM ambacho ndicho kilipaswa kiwe ni kikao cha uchaguzi wa jina moja kati ya majina matatu, kufuatia Dr. Tulia kuwa ni mwepesi sana kulinganisha na yale majina matatu, hivyo CC ya CCM, imeamua kukamilisha kazi ya jina moja, hivyo kikao cha wabunge wa CCM sio kikao tena cha uchaguzi, ni kikao cha kukamilisha tuu taratibu, na hata uchaguzi wa Spika utakaofanywa na Bunge la JMT, japo utakuwa ni uchaguzi kwasababu kutakuwa na wagombea wengine kutoka vyama vingine, lakini ukweli ni uchaguzi tuu wa kumthibitisha Dr. Tulia ili ni kukamilisha tuu taratibu, swali linabaki ni jee chaguo hili la Dr. Tulia ndiye Spika Bora?, au CCM imetuteulia tena Bora Spika?.

Wiki iliyopita nilisema Spika aliyetangulia hakuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, hivyo ikitegemewa Naibu wake Dr. Tulia Akson pia atakuwa ni Bora Spika kwa kufuatia ile kanuni ya uwajibikaji wa pamoja ( a collective responsibilities), kwa makosa yote ya Bunge la JYN na naibu Spika Tulia, hivyo kati ya watu 70 waliogombea uspika kupitia CCM, miongoni mwao kuna watu mule wangetupatia Spika Bora kuliko Dr. Tulia, ila kwa vile aliyepitishwa na CCM ni Dr. Tulia, hivyo sasa Dr. Tulia Akson ndie Spika wetu.

Hii maana yake, ile sauti niliyoisikia hapa, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... ilikuwa ni sauti ya Mungu
Dr. Tulia Akson ndiye mpango wa Mungu kuwa Spika mpya wa Bunge la JMT.

Moja ya maeneo magumu sana ambayo sisi media yetu ya Tanzania haina, ni eneo la kitu kinachoitwa "analysis" yaani uchambuzi yakinifu. Mimi ni miongoni mwa waandishi wachache wa Tanzania, tunaofanya uchambuzi yakinifu, na mimi hufanya uchambuzi huu kupita humu jf, na kwenye makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazotoka kwenye gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Hivyo nilifanya uchambuzi yakinifu, ya majina hayo 70 waliojitokeza CCM, katika uchambuzi huo, jina la Dr. Tulia halikuingia hata kwenye 10 bora!, za mtu wa kuwa Spika Bora. Wajue the Top 10 wa CCM watakaotoa, the top 5, top 3 na the best Spika. Angalizo, si lazima the best ndiye awe Spika, bali the chosen one!, kwenye uzi huu, niliweka jina la mtu ambaye angekuwa the best kutupatia Spika Bora, ili pia nikaweka angalizo kuwa Spika wetu, atakayepitishwa, sii lazima awe the best, but the chosen one, hivyo aliyechagulia ni Dr. Tulia.

Mambo mawili kwake.
Kwanza kwa vile she was tainted na madhaifu ya Bunge lililopita, hivyo kuonekana Dr. Tulia kama ni another Bora Spika, let's give her the benefits of doubt, kwamba japo alikuwa Naibu Spika chini ya Bora Spika, akitegemewa na yeye atakuwa ni Bora Spika, kosa kubwa la mtangulizi wake ni kukurupuka, ni kukurupuka huko, kukafanya taarifa ya kamati teule ya Bunge, kukurupushiwa kukabidhiwa kwa rais, bila kujadiliwa na Bunge, hivyo Bunge kuonekana kana kwamba linajipendekeza kwa serikali, Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?.

Ni kukurupuka huku kulipelekea Bunge letu tukufu kupitisha azimio batili, Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? tena Bunge lilipaswa kunishukuru sasa mimi, ndiye niliyewatonya azimio hilo lao ni batili, na kuwatonya nini kinakwenda kulikumba Bunge letu kama azimio hilo lingetekelezwa Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba, ndipo alizimio hilo batili, likafichwa chini ya uvungu kimya kimya as if halipo!, na ripoti ile ikapokelewa, hivyo kulinusuru Bunge!.

Ni kukurupuka huko ndiko kulimfanya JYN kutamka maneno yale kwenye ule mkutano wake na Wagogo, na baada ya video kusambaa, akakurupuka tena kuomba msamaha batili, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! akina sisi, tukampa ushauri wa busara, achutame kwa kujiuzulu, Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere? lakini mwenzetu akakomaa na hadi baada ya kusoma bandiko hili Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away? ndipo akakubali kunyoosha mikono juu kwa kukurupuka Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

Kwa vile ukurupuka huo umefanyika huku Dr. Tulia, akiwepo, na Dr. Tulia nae kuonekana kama mkurupukuja kwa kutaka "to eat her cake and have it", kwa kuutaka Uspika, huku ameukumbatia Unaibu Spika na kuuatamia!. Lakini kama ilivyo kwa JPM na Samia, JPM was JPM na Samia ame prove She is Samia, hivyo lets give her a benefit of doubt kuwa Tulia akitulia, kama lilivyo jina lake, ana fursa na anaweza kabisa kuwa Spika Bora.

Pili tuahidi kumpatia kila aina ya Ushirikiano Spika Mpya Dr. Tulia Akson ili aweze kuwa Spika Bora.
Hongera sana, Spika wetu mpya, Dr. Tulia Akson Mwansasu
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Hicho kimanzi kwanza tangu kimeanza harakati zake kwa kujipendekeza kwa Chui Jike, halafu unategemea she can make a good speaker, how on earth can that miracle happen ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kauli hii aliitoa huyo Tulia mbele ya Rais siku chache baada ya nafasi ya uspika kuwa wazi..

"""Rais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania, mheshimiwa Samia Suluhu Hassan sio tu kiongozi wa Serikali lakini ni mkuu wa nchi kwa hiyo yeye uongozi wake hauko sawasawa yeyote wa mhimili wowote ulioko hapa nchini""""

Tulia kacheza kete zake kwajili ya manufaa yake, hio kauli pasi nashaka ilikuwa ya kumsifu na kumuabudu rais wazi wazi kwamba hata uraisi upo juu ya mihimili yote hata bunge na mahakama.

Kwa ufupi anaenda kuwa spika asie na uhuru wala uaminifu wa kuendesha bunge kama mhimili unaojutegemea.

Ila na wewe ulieanzisha hii maada na wewe tunajua uliambulia kura moja tu ya wajumbe mwaka 2020, huenda nawe unaandika hizi mambo kwa manufaa yako 2025, hii nchi daaah 😂😂
Sawa kabisa mkuu. "it is matumbo war in offing".
 
Ahsante kaka yangu Paskali,

Nimeelewa uchambuzi wako wa kina, huwa najiuliza huwa tunataka Bunge liwe na spika bora ili lifanyaje?

Ukiacha kazi za Bunge za kutunga sheria, kusimamia serikali na mengineyo.

Wewe kama muandishi wa habari mbobevu kwenye mambo ya kisiasa unadhani kwa mfumo huu wa uliopo sasa unaweza kuwa ''spika bora''.

Zingatia;

1. Mbunge anategemea kuungwa mkono na Chama ili kupata nafasi ya Ubunge

2. Chama kinaweza kumfukuza Uanachama mbunge na hivyo kupoteza sifa za kuwa mbunge; hii inamfanya mbunge kuwa mwaminifu kwa chama kuliko matakwa ya Bunge katika kusimamia serikali

3. Spika anapitishwa na chama kupata nafasi ya kuwa Spika, unamuona spika akiibana serikali inayoongozwa na mwenyekiti ambaye ana nafasi kubwa ya kuamua hatma yake katika Ubunge na nafasi ya serikali..?

Kila la kheri kwa Spika ajaye, spika bora anaweza kupatikana lakini sio katika mtazamo wa kuisimamia serikali kwa kiwango kikubwa.
 
Hiyo shame yako iende kwa huyu Rais fisadi ambae anahamasisha ufisadi kwenye Serikali yake bila aibu tena kupitia TV ya Taifa🐒🐒🐒View attachment 2092519
It’s interesting for people to expect different results from the same people who empowered Ndugai!!
Tulia ametoka kwenye kapu lile lile alikotokea Ndugai,Kwanini mtegemee awe tofauti?
 
Back
Top Bottom