Medali bila kombe ni kama shanga za bi mkubwa wako Hazina maana kwenye mpira .Hivi umewahi kusikia timu fulani ina medali ngapi?Bwana mdogo jaribu kukua najua ni hormones za kubalehe zinakusumbua.Medal [emoji1628] ndo kitu muhimu
Sasa medali si kama bwana harusi kuweka utepe kwamba huyu ndo bibi harusi wangu niliyemla siku hii ndo wanakupa medali za sillver kama ukumbusho😄😄😃Medali bila kombe ni kama shanga za bi mkubwa wako Hazina maana kwenye mpira .Hivi umewahi kusikia timu fulani ina medali ngapi?Bwana mdogo jaribu kukua najua ni hormones za kubalehe zinakusumbua.
Hajazungumzia mafanikio ya timu.Medali bila kombe ni kama shanga za bi mkubwa wako Hazina maana kwenye mpira .Hivi umewahi kusikia timu fulani ina medali ngapi?Bwana mdogo jaribu kukua najua ni hormones za kubalehe zinakusumbua.
Mada zingine, ni za kipuuzi tu! Na inawezekana, waleta mada za namna hii, ni vitoto vidogo, na havitafuti historia mbali mbali. Hivi, C7 na Messi wanaweza kumdharau Ronaldo De Lima eti tu kwa vile hajawahi kuvaa medali ya UEFA CL?Hajazungumzia mafanikio ya timu.
Kazungumzia mafanikio ya mchezaji binafsi. Hata akina Lionel Messi na Cristiano Ronaldo huwa wanapiga picha na medali zao shingoni. Lete picha ya Chama na medali ya CAF[emoji3][emoji3]
Fupisha maelezoMada zingine, ni za kipuuzi tu! Na inawezekana, waleta mada za namna hii, ni vitoto vidogo, na havitafuti historia mbali mbali. Hivi, C7 na Messi wanaweza kumdharau Ronaldo De Lima eti tu kwa vile hajawahi kuvaa medali ya UEFA CL?
Jadili hojaMEDALI BILA KOMBE NI SAWA NA ZILE CHENI WANAZOVESHWA GERMAN SHEPHERD.
NB:WANAMWIKO NYUMA FC Hakuna michuano hakuna michuoano inayoitwa CAF semeni muna hirizi za michuno ya LOOSERS.
Weka picha ya Chama akiwa na medaliTimu zinajivunia Makombe nyie mnajivunia medali tena za kombe la waliofeli CAFCL .Mkiambiwa hamna akili uko utopoloni mnarefusha midomo .View attachment 2792685
medali bila kombe ni sawa na HIRIZI.Jadili hoja
Weka picha ya Chama
Weka pichaJamaa wanajifariji kwa medali ya losers.Huu ujinga wa kujilinganisha Simba ipo pot ipi kwenye CAF Champions League na Utopolo ipo pot ipi?Na kwanini zipo pot tofauti?