Je, wajua ni jinsi gani wakoloni wanatutawala kidigitali (Ukoloni Mamboleo)?

Basi usitumie simu ya mzungu leta bandiko kutokea chattle kwa kutumia kioo au upepo
Kweli leo hii upo Tanzania asubuhi unaenda ofsini ukifika mzungu anakwambia ufanye kazi flani na flani jiulize kama hamna faida kwanini wanang'ang'ania kuangalia kwenye seva zetu tena za muhimu sana kama hosipitali
 
Njia pekee ya kufanya hivyo ni kuwa na nidhamu ya matumizi ya pesa na rasilimali zetu kitu ambacho hakipo.

Leo unaona pesa zinavyotapanywa huko kwenye utengenezaji wa filamu ya utalii nani yuko accountable kwa shilingi inayohusika kuanzia mwanzo hadi mwisho?

Basi kama hatujaweza kuwa na nidhamu basi utegemezi hautokoma
 
Mkoloni ndio amekwambia hayo ni madini.....
asingekwambia ungeendelea kuchezea

Hizo ni myths to brother......mzungu katutangulia kweli.....hapa kwenyewe tunachati kwa kitu cha mzungu au vp?!
Kutumia cha mzungu kisikuondole Uzalendo wako mimi naamini tunaweza sisi kama waafrika kufanya mambo makubwa
 
Sababu misaada ya ulichokitaja ni vertical programs hizo

Leo hii nchi ikijitegemea hautakutana na hayo mambo ila kwa kuwa upigaji umejaa na wapigaji wako bega kwa bega na mzungu yataendelea tu
Kweli leo hii upo Tanzania asubuhi unaenda ofsini ukifika mzungu anakwambia ufanye kazi flani na flani jiulize kama hamna faida kwanini wanang'ang'ania kuangalia kwenye seva zetu tena za muhimu sana kama hosipitali
 
Nakubaliana na wewe asilimia mia moja ukiwa na nidhamu automatic utakuwa mzalendo
 
Sababu misaada ya ulichokitaja ni vertical programs hizo

Leo hii nchi ikijitegemea hautakutana na hayo mambo ila kwa kuwa upigaji umejaa na wapigaji wako bega kwa bega na mzungu yataendelea tu
Nachokiongea kipo siri nyingi za nchi zinavujaa je inamaana hamna wasomi Tanzania wanaoweza kukagua hii mifumo au mpaka tumsubiri mzungu aje kutukagulia mifumo yetu
 
Haaaaaahaaaaa Wazalendo wako wapi jamani Leo Mzungu kumtumia mwafrika kwenye nchi yake anavyotaka nisawa hadi wanasubutu kuwaweka viongozi wanaowataka bado inaonekana ni sawa ,,,,,Aise Mwenda Zake ulisema hadharani msidhani wanatupenda ila wengi wakapuuzia wakasema mbona anatuvalisha,anatusomesha ,anatupa usafiri tutafanyaje acha tu watuongoze sisi tu wadhaifu NASEMA HIVI KWA HERUFI KUBWA SISI TUNAWEZA KUFANYA JAMBO LOLOTE
 

kama kawaida topic imejaa ulalamishi. Tatizo ni ugunduzi nani katuzuia sisi kuwa wagunduzi. Hata kwenye chanjo tumeona sasa wabunifu wetu na wataalamu wako wapi. Wenzetu sio walalamishi . Tengeza whatapp yako nani kakuzuia na weka bila watu kulipa😂
 
backdoor zote lazima zifungiwe Haaaaaahaaaaa aise kipindi cha uchaguzi uliweza kukaa bila internet
 
Kama yepi!!?
Kwenye taasisi kubwa kama hosipitali haswa ambazo wazungu wametoa msaada wa kuweka mitambo ya kidijitali na baadae watanzania wakaajiriwa huwa wanabaki na backdoor nyingi ambazo mwafrika mlala hoi aliyeajiriwa akitaka kuizuiwa ghafla anafukuzwa kazi tena na mwafrika mwenzake ambaye amesomeshwa na huyo mzungu kuanzia darasa la kwanza mpaka chuo kikuuu fuatilia umuhimu wa data kwenye ulimwengu huu wa technolojia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…