Utekelezaji wa hiyo sheria ni mgumu sana.
Wengi tunahamia saiti, yaani unaingia nyumba haijakamilika unaanza kupiga mdogomdogo ukiwa ndani huku madirisha umeziba kwa mifuko au umepiga tofali kabisa.
Hapo huto afisa wa serikali atanipa certificate ya kuhamia kwenye pagala?