Je wajua: Siasa za CCM & CHADEMA huamua bei elekezi ya vitu hivi?

Mnyenz

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
2,933
Reaction score
8,112
Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, sisi kama wananchi tunayo mengi ya kujifunza.

Tunayo haja ya kuchuja sera zao kwa upana kwa maana wao hawa wanasiasa ndio huamua bei za vitu tunavyohitaji katika maisha ya kila siku.

Leo nakuchapishia picha ya vyombo vya moto ambavyo wanasiasa wamepanga bei kwa namna moja ama nyingine. Tazama picha.

mods: tafadhari acheni wafu wazike wafu wenzao, iacheni hapa hapa.
Screenshot_20250226-211136_WhatsAppBusiness.jpg
Screenshot_20250226-211139_WhatsAppBusiness.jpg
 
Tazama wana siasa wanavyotupangia bei
 
..
 

Attachments

  • Screenshot_20250226-211427_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20250226-211427_WhatsAppBusiness.jpg
    239.4 KB · Views: 2
Back
Top Bottom