Mnyenz
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 2,933
- 8,112
Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, sisi kama wananchi tunayo mengi ya kujifunza.
Tunayo haja ya kuchuja sera zao kwa upana kwa maana wao hawa wanasiasa ndio huamua bei za vitu tunavyohitaji katika maisha ya kila siku.
Leo nakuchapishia picha ya vyombo vya moto ambavyo wanasiasa wamepanga bei kwa namna moja ama nyingine. Tazama picha.
mods: tafadhari acheni wafu wazike wafu wenzao, iacheni hapa hapa.
Tunayo haja ya kuchuja sera zao kwa upana kwa maana wao hawa wanasiasa ndio huamua bei za vitu tunavyohitaji katika maisha ya kila siku.
Leo nakuchapishia picha ya vyombo vya moto ambavyo wanasiasa wamepanga bei kwa namna moja ama nyingine. Tazama picha.
mods: tafadhari acheni wafu wazike wafu wenzao, iacheni hapa hapa.