Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
au siyoGamondi ni professional Coacher..... that's alishinda 5...1
umewahi kuingia kwenye pitch ukacheza hata kwa dakika 10Nakubaliana na wewe...but kwenye uchambuzi goli za penalty ni nyepesi ....coz hata ukisinzia waweza score
Kwanini kabla ya jana ilikuwa kuwa mwisho kwenye grupu ni kama tusi kwenu? Unakumbuka mlivyokuwa mnachonga kwa Yanga kuwa wa mwisho kwenye grupu? Saa hizi mnaongea kama ni kitu cha kawaida tuwe jamaa sijui nini huwa kinakuwasha kila muda simba .
alafu unajiona mchambuzi wa soka
kwahiyo?
yanga wa mwisho kwenye group lake na simba hivyohivyo
ongea kingine tena
shwain topolo nyieKwanini kabla ya jana ilikuwa kuwa mwisho kwenye grupu ni kama tusi kwenu? Unakumbuka mlivyokuwa mnachonga kwa Yanga kuwa wa mwisho kwenye grupu? Saa hizi mnaongea kama ni kitu cha kawaida tu
Shwaini sana makolo nyie asee
Aah jamani makolo tumekukosea nini tena kaka? [emoji28]Kwanini kabla ya jana ilikuwa kuwa mwisho kwenye grupu ni kama tusi kwenu? Unakumbuka mlivyokuwa mnachonga kwa Yanga kuwa wa mwisho kwenye grupu? Saa hizi mnaongea kama ni kitu cha kawaida tu
Hadi jana topic ilikuwa Yanga kuwa ya mwisho kwa grupu, leo unaibuka unasema ongea kingine. Kwann hutaki kuongelea simba kuwa wa mwisho?
Shwaini sana makolo nyie asee
💘💘💘Aah jamani makolo tumekukosea nini tena kaka? [emoji28]
watu tunaongelea magoli wewe unaleta habari za kuwa wa mwisho kwenye goupKwanini kabla ya jana ilikuwa kuwa mwisho kwenye grupu ni kama tusi kwenu? Unakumbuka mlivyokuwa mnachonga kwa Yanga kuwa wa mwisho kwenye grupu? Saa hizi mnaongea kama ni kitu cha kawaida tu
Hadi jana topic ilikuwa Yanga kuwa ya mwisho kwa grupu, leo unaibuka unasema ongea kingine. Kwann hutaki kuongelea simba kuwa wa mwisho?
Shwaini sana makolo nyie asee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado yupo mwishoni
Walituhujumu mkuu [emoji23]Ingawa kweli simba ni dhaifu sana kwenye mshaindano haya, lakini goli ni goli tu, mradi limehesabiwa hata kama ni la mkono. Hata kama Yanga walifunga bao safi kabisa lililofungwa na Kibababe, lakini kwa vile halikuhesabiwa basi siyo goli.