Je, wajua Simu ya Mkononi ya kwanza Duniani ilikuwa na uzito wa kilogram 2 na ilijaa chaji kwa saa 12?

Je, wajua Simu ya Mkononi ya kwanza Duniani ilikuwa na uzito wa kilogram 2 na ilijaa chaji kwa saa 12?

Mkuu tupe shule, unawezaje kuingilia mawasiliano yao na kuwaskiliza?
Kumbuka huo ni uhalifu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Kumbuka huo ni uhalifu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Najua boss
 
Mkuu tupe shule, unawezaje kuingilia mawasiliano yao na kuwaskiliza?
Kamuulize bwana mmoja pale Musoma anajulikana kama kajanja ni kipi kilimpata baada ya kufuatilia mawasiliano ya police kwa vimitambo vyake uchwara




Alitoa $20m za wakati huo ili asipigwe mvua ya miaka gerezani
 
Kamuulize bwana mmoja pale Musoma anajulikana kama kajanja ni kipi kilimpata baada ya kufuatilia mawasiliano ya police kwa vimitambo vyake uchwara




Alitoa $20m za wakati huo ili asipigwe mvua ya miaka gerezani
Dah jamaa alikua tajiri. $20M?
Basi ni noma boss. Sina lengo hilo ila niltaka nijue wahuni wanafanyeje.
 
Simu ya mezani (landline)
Nimesoma na kuelewa kumbuka katikati ya mada alisema hakukuwa na teknolojia ya line kwa kipindi hicho, je simu ya mkononi iliwezaje kuingiliana na simu ya mezani?
Line ni kwa ajili ya kumtambulisha mpigaji (sim= subscriber identification module) kwa hiyo simu inaweza kuwasiliana bila line mfano emergency numbers
 
Back
Top Bottom