Je wajua kiumbe cha kuitwa pweza kina mioyo(moyo) mitatudaah kweli mkuu
Acha weweee, hahaaaaa
je wajua kuwa muungano wa tanganyika na visiwa vya zimbabwe ni lzm uvunjike kabla ya mwaka 2015
Wamarekani hutupa magazeti million 44 kila siku
JE WAJUA,kuwa jamii ya wamasai ndiyo inayoongoza kwa kuwa na walemavu wachache mnooo na hata zeruzeru kuliko jamii zingine zote? Ni sawasawa na hawapo! "Tafiti kutoka kwa researcher muingereza aliyeishi Nairobi"
Je wajua Cleopatra aliyekuwa kiongozi Misri ndiye mwanamke mzuri/mrembo kuliko wote duniani pamoja na kuzaa watoto na hatatokea tena kama yeye? Source: soma Biblia takatifu.
Je wajua kiumbe cha kuitwa pweza kina mioyo(moyo) mitatu
Je wajua bibie LEILA KHALED ndie mwanamke wa kwanza kuteka nyara ndege ya abiria mnamo mwaka 1969ndio kwanza najua kupitia kwako mkuu...
Kwanini usitumie tu jina lako halisi ukawa verified member mkuu?anyway kwanini unapenda sana kujifananisha na deo carleone wa the godfather?
je wajua watu wafupi wana maisha marefu(long life span) kuliko warefu? Sambamba na hilo wafupi hawazeeki haraka kama warefu.