heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Je wajua! .
Kicheche ndiye mnyama mdogo sana lakini ana maajabu makubwa.
Ana uwezo wa kumdaka kuku wa aina yoyote kwa kutumia mkia wake lakini cha ajabu zaid hawez kuish bila kufanya mapenzi, ana uwezo wa kufanya mapenzi mara 26 kwa siku pia ni sawa na kukimbia umbali wa Km 360 kwa siku.
Na ndio maana mwanamke & Wanaume malaya sana huitwa kicheche
najua wajua ila nakujuza zaidi.
Je wajua bibie OPRAH WINFREY jina lake halisi ni ORPAH na si OPRAH na hii yote imetokana na watu wa karibu yake kushindwa kutamka ORPAH na badale yake ikazoeleka OPRAH
Je wajua Cleopatra aliyekuwa kiongozi Misri ndiye mwanamke mzuri/mrembo kuliko wote duniani pamoja na kuzaa watoto na hatatokea tena kama yeye? Source: soma Biblia takatifu.
Je wajua Twiga na sisi binadaam(watu) mifupa ya shingoni iko sawa kiidadiDuuh . Nilikua sijui nimejua sasa .