Je wajua suluhisho kwa uume uliolegea?

Je wajua suluhisho kwa uume uliolegea?

tendega

Member
Joined
Jun 19, 2013
Posts
61
Reaction score
13
Jaman ndugu zangu,napenda kukiri kwamba upungufu wa nguvu za kiume nitatizo kwa wanaume wengi,kiasi kwamba mtu yupo tayari kubugia hata haja yake,ili mradi tu ameambiwa ni dawa ya nguvu za kiume,kuwen makini sana,

Maana humu ndani sasa hivi kila kitu tunaambiwa dawa,yaani wabongo kwa kutake advantage hawajambo,kipindi cha popo bawa kuna watu walidai wana dawa za kuzuia,sasa hivi hatuwasikii,mi napita tu na kidudu changu kilicholegea
 
1..Acha kupiga pool(punyeto)
2..Achana na unywaji wa pombe kali na uvutaji sigara.
3..Kama unatumia gomba temana nayo..hulegeza misuli
4..Epuka vyakula vyenye mafuta mengi
5..Piga zoezi la kukimbuia kwa mda wako..😎
 
1..Acha kupiga pool(punyeto)
2..Achana na unywaji wa pombe kali na uvutaji sigara.
3..Kama unatumia gomba temana nayo..hulegeza misuli
4..Epuka vyakula vyenye mafuta mengi
5..Piga zoezi la kukimbuia kwa mda wako..😎

very right ndugu
 
Kunywa maji mengi kila siku, Pia ugali uwe ni wa dona na siyo sembe, tafuna vitunguu swaumu, tumia asali, fanya mazoezi, epuka vilevi, epuka soda zote, fanya mazoezi ya viungo.
 
Chai yako weka asali badara ya sukari,mazoezi,kula mihogo mibichi,karanga,kila jioni shushia na supu ya pweza.
 
In general koment nyingi ni mazoezi,hata kama imelegea.ndio maana madingi wa kishua wanapactrise gym sana na wananyakua watoto wakali wametulia sababu wanaridhishwa nimenote hivyo.
 
Back
Top Bottom