Kiini kipi? Kabla ya kupost jaribu hata ku google mkuu, kiini ndio mbegu?Ila hayo mayai hayataweza kutoa kifaranga kwa kuwa hayakupata kiini toka kwa jogoo
kuku ninao ya nini ku google ndio nikomenti wakati hayo mayai hayana muunganiko wa genetic za jogoo? Hata jogoo mwenyewe huwa anataka mayai!Kiini kipi? Kabla ya kupost jaribu hata ku google mkuu, kiini ndio mbegu?
Nimeiona Kwa Goose Anataga Ila Mayai Hayana (Hayatoi Vifaranga) Wajuzi Wakasema Lazimaa Upate Dume Ndiyo Utaweza Kupata Vifaranga Kuendeleza Uzao Waokuku nao ya nini ku google ndio nikomenti wakati hayo mayai hayana muunganiko wa genetic za jogoo? Hata jogoo mwenyewe huwa anataka mayai!
Tuliopata bahati ya kuishi vijijini na bibi, kusikia kauli hii 'Chukueni mayai mkaange maana hayana jogoo' ni kauli ya kawaida sana.Ni muhimu kujua imethibitikaje kama ni tafiti aoneshe ilifanyika wapi na nani.
mimi sikuwahi kulifahamu hili hadi niliposoma bandiko hiliTuliopata bahati ya kuishi vijijini na bibi, kusikia kauli hii 'Chukueni mayai mkaange maana hayana jogoo' ni kauli ya kawaida sana.
Binafsi ninashangaa hii imekuwaje mada, maana hili jambo nilifikiri linafahamika wazi, kumbe sivyo.