Je, wajua Waarabu ndio chanzo kikuu kwa Sudan kuwa nchi mbili?

Je, wajua Waarabu ndio chanzo kikuu kwa Sudan kuwa nchi mbili?

uwe hodari

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2022
Posts
4,045
Reaction score
8,608
Rais aliyetimuliwa madarakani al Bashir aliwamilikisha na kubinafisisha kila kitu kwa waart asilimia kubwa ya uchumi wa Sudan ukawa chini ya Waarabu.

Wale wasio kuwa na ukaribu na waarabu wakawa kama sio Wasudan.

Kiufupi Waarabu walimilikishwa kila kitu kuanzia ardhi na raslimali zote.

Wale wa sudani kusini wakawa wageni wa nchi wasiokuwa thamani, mwarabu akamiliki nchi kupitia Rais mwenye mrengo wa kigaidi Al Bashir.

Ndio wasudani kusini wakaanza vita vya kujitoa sudani kuu.

Vita ikichukua miaka 30 lkn wakajikomboa kutoka kwenye mikono ya watu wa dhuluma na ufisadi na kubaguliwa.

Tanzania tuna nafasi ya kutunza tunu zetu alizotuachia Baba wa Taifa.
 
Kanusha kwa data/ takwimu siyo mihemuko
Ukiona wapo wanaotoa povu jingi kuhusu Bandari au sehemu nyingine yeyote ambayo huwa inajulikana kwa upigaji ujue hao ndio waliokuwa wanufaika wakuu !
 
Africa ni bara la waafrica weusi hawa waarabu babu zetu walifanya makosa kuwakaribisha.
Unaelewa pia hata Huko Uingereza watu wa kwanza kabisa kuishi huko walikuwa ni weusi. ?? Na pia inaaminika watu wa kwanza kabisa hapa duniani walikuwa ni weusi !! Kama hii ni kweli basi watu wote duniani asili yao ni kutoka Africa !!

Ni vigumu kuwakataa watu waliotokana na sisi !!
 
Janjaweed walikua wanaua watu weusi bila hata kujali ni wenzao katika iman,
 
Back
Top Bottom