Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu?

Je, Wajua Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu? Ili Kuepuka Kuchanganya Dini na Siasa, Kuna Haja Waumini Tuambiwe Ukweli Waraka wa TEC Sio Neno la Mungu?

Tatizo lako FazaFoxy unatumia muda mwingi kufua, kupiga pasi na kufunga hijabu na hivyo kukosa muda wa kujielimisha!

Mwalimu gani alikwambia kuwa neno "mtu" ni kisawe cha "man" wewe bibie?

Ni hivi: man is a synonym of human, ambayo ni kinyume cha divine.

Hivyo kuna human personhood na divine personhood.

Na divine personhood inaweza kumaanisha Godly personhood au angelic personhood.

Kwa hiyo neno "mtu" katika Kiswahili ni kisawe cha neno "person" katika Kiingereza.

Kuna wakati wa kuhijabika na wakati wa kuelimika.

Punguza muda wa kuhijabika bibie!
Wewe tafsiri upendabyo, si ndivyo mlivyozoeshwa kudanganyana kanisani. Yesu anasema "mimi mtu" nyinyi mnasema "yesu "Mungu" wakati hakuna sehemu yoyote kwenye biblia Yesu kasema "Mimi Mungu". Hivi hamuoni haya kumuabudu mzungu?

Lakini Biblia si umeiaona isemavyo, au nikuwekee ya Kiswahili ndiyo utaelewa zaidi? Ipo hata ya kihaya, ukipenda ntakuwekea.

Hijab inanipa freedom ya utu wangu kuliko unavyofikiria, jaribu utajionea. Hata biblia basi unaidharau inaposema:

Wakorontho 11:
6 Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.

Si unaelewa hapo, sasa nikufate wewe au biblia?

Hapo sasa!
 
Wakorontho 11:
6 Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.

Tatizo lako wewe unafanya copy and paste. Hebu tusome pamoja na kisha tukubaliane:

5. Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa.

6 Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.

7 Kwa maana kweli haimpasi mwanamume kufunikwa kichwa, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume.


Hii ni barua kwa Wakorintho yenye kufichua udhaifu wa mapokeo ya Wakorintho yasiyokubalika Tanzania.

Wakorintho hawakuamini katika usawa wa binadamu mwanamke na binadamu mwanamume.

Hii ndio dosari ya mafundisho ya uislamu yanayoruhusu ndoa za mitala.

Ndoa za mitala ni kinyume na kifungu ch 12(1) cha Katiba ya Tanzania (1977)

Hijabu ni alama ya ndoa za mitala.

Hitimisho: Kuvaa hijabu ni kitendo cha kuvunja Katiba ya Tanzania, na Katiba ya tanzania inapingana na mapokeo ya Wakorintho kuhusu jambi hili.

Kama unaukubali Utanzania na kuukataa Ukorintho, basi vua hijabu na katubu leo!

1693339247439.png
 
Katika hili suala la usawa wa binadamu mwanamume na binadamu mwanamke, wala usifuate Biblia wala mimi, bali fuata Katiba ya Tanzania (1977), ibara ya 12(1).
Hapo ndipo unapojidanganya, hakuna usawa wa maumbile kabisa. Muumba wetu aliyetuumba katupa kila mmoja wetu uwezo wake na majukumu yake, huo usawa wa unaouongelea wewe ni wakijinga tu, mjaze mimba mumeo basi, ili muwe sawa kikatiba.

Nakushauri isome Qur'an uzijuwe haki zako kama mwanamke. Msikilize huyu mwanamkee maarufu sana, kilichomtokea, huyu hata hapa Tanzania alitembelea:


View: https://youtu.be/nFqtZd0y_0g?si=nTaCFZUhcRVhyoVR
 
Wanabodi,
Tumsifu Yesu Kristo.
Declaration of Interest
Mimi ni Mkristo Mkatoliki die hard, yaani wale Wakatoliki ambao wamezaliwa Wakatoliki, na kupokea zile sakramenti 4 za Katoliki, yaani wamebatizwa Katoliki, wamepokea Komunio Katoliki, Kipaimara Katoliki, ndoa Katoliki, na ile sherehe ya mwisho pia ni Katoliki, ila ni waumini wa type ya Tomaso!.

Imani ni kitu very delicate, unaambiwa Mungu yuko mbinguni, unaamini bila kujiuliza lolote!. Unaambiwa kuna peponi, unaamini!, unaambiwa kuna motoni, unaamini!. Unaambiwa kuna malaika wanaruka kwa mabawa, unaamini!. Unaambiwa kuna shetani na kuna mapepo unaamini!. Sisi waumini wa Tomaso type tukiambiwa chochote, huwa tunauliza na kujiuliza!.

Kufuatia imani ni kuamini kile unachoaminishwa na the people you can trust, ndio maana mtu unapozaliwa, ukizaliwa kwenye Uislam unaamini Islam ndio dini ya kweli!, ukizaliwa kwenye Ukiristo, unaamini Ukristo ndio dini ya kweli!, mimi nimeishi kidogo India na kupata fursa ya kusoma kidogo Hinduism na Buddhism, ndipo nikagundua kumbe Christianity na Islamic ni kama dini za juzi juzi compared to Hinduism na Buddhism!

Watu tuna tendency ya kuwaamini sana viongozi wetu wa dini kuwa mafundisho yao yote ni mafundisho ya Mungu, neno lao ni neno la Mungu!.

Kanisa langu Katoliki Tanzania from time to time, huwa linatoa Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kuzungumzia jambo lolote kiwe ni la kisiasa, kiuchumi au kijamii.

Hivi karibuni TEC imetoa waraka kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu. Waraka huo umesomwa wote kwenye misa zote, na ibada zote za makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima, kwa wiki mbili mfululizo.

Kwa vile waraka huo unasomewa altareni, madhabahuni na mimbarini, Hivyo kuna baadhi ya Wakristo Wakatoliki wanadhani waraka huo wa Maaskofu Katoliki Tanzania, ni sehemu ya ibada na ni neno la Mungu!.

Hivyo Wakatoliki waaminifu na watiifu wakauamini waraka huo kwa kudhani ni neno la Mungu, hivyo kuuheshimu hadi kudhani usipokubaliana nao, ni kwenda kinyume cha kanisa Katoliki hadi wengine kudhani ukitofautiana na msimamo wa Maaskofu Katoliki Tanzania ni kutenda dhambi!.

Natoa wito kwa kanisa langu, ambalo ni kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume, Ili kuepuka kuchanganya dini na siasa, waumini Wakatoliki pia tuambiwe ukweli kuwa Waraka ule wa TEC, Sio Neno la Mungu!, ni maoni ya Maaskofu Katoliki Tanzania na sio maagizo ya Mungu na mtu Mkatoliki usipokubaliana na waraka huo, sio dhambi na wala sio kosa lolote kutotii waraka wa TEC, ili Wakatoliki wote wanaiunga mkono serikali yetu katika issue ya DPW na Bandari zetu, wasikose amani ndani ya nafsi zao!.

Na ili kuepuka mkanganyiko ya kutukanganya waumini kuhusu uwezekano wa kuchanganya dini na siasa, kunapotokea nyaraka au maagizo ya kidunia ambayo sio ya Mungu, kama hili tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, lisiwe linasomewa madhabahuni, liwe linasomewa kwenye podium ya chini, ili lisije kuhesabika nalo ni neno la Mungu!, au ni sehemu ya ibada kumbe ni mambo tuu ya kidunia na sio mambo ya Mungu!.

Hivyo sisi Watanzania Wakatoliki tunao unga mkono uwekezaji wa DPW kwa Bandari zetu, tusikose amani ndani ya nafsi zetu kwa kutokubaliana na Maaskofu wetu, ambao ni viongozi wetu wa dini, tunao waamini sana, tunawaheshimu sana na kuwategemea sana kutuongoza kufika mbinguni kwa Baba yetu kwenye makao yetu ya milele!.

Tumsifu Yesu Kristo

Paskali.
Rejea
mkuu unaandika upuuzi, kupokea sakaramenti na kusoma india sio justification ya kuja kudhihaki viongozi wa dini, wana wajibu wao na nyaraka hazikuanza leo, hata barua tunazosoma kutoka kwa mtume paul ni nyaraka, ni kiongozi wa dini alipaza sauti zake, umemsoma nabii Isaya, Mica, Yeremia,walivyokuwa wanapinga viongozi wapumbavu wanaouza watu wao kwa shekeli? Paschal hujui Dini, unadhani kazi ya viongozi wa dini ni kumsifia rais? kazi ya kiongozi wa dini ni kupaza sauti kwa vitendo, walichokifanya tec na kutoa waraka huoni matunda yake, leo si tunaona upuuzi wa kupindisha sheria za maliasili za mwaka 2017 zimeondolewa bungeni.


tumia kichwa chako vizuri, unaandika pumba kudhihaki viongozi wa dini, kwa maslai ya uchawa wako, wakati wao ni raia na wana dhamana kwa watu wao kwa kudni walilokabidhiwa.

huwezi kuwatenganisha wakatoliki na viongozi wao wa dini sana zaidi wanakuona mjinga fulani na mchumia tumbo, endeo kuhangaika pengine watakukumbuka
 
Wanabodi,
Tumsifu Yesu Kristo.
Declaration of Interest
Mimi ni Mkristo Mkatoliki die hard, yaani wale Wakatoliki ambao wamezaliwa Wakatoliki, na kupokea zile sakramenti 4 za Katoliki, yaani wamebatizwa Katoliki, wamepokea Komunio Katoliki, Kipaimara Katoliki, ndoa Katoliki, na ile sherehe ya mwisho pia ni Katoliki, ila ni waumini wa type ya Tomaso!.

Imani ni kitu very delicate, unaambiwa Mungu yuko mbinguni, unaamini bila kujiuliza lolote!. Unaambiwa kuna peponi, unaamini!, unaambiwa kuna motoni, unaamini!. Unaambiwa kuna malaika wanaruka kwa mabawa, unaamini!. Unaambiwa kuna shetani na kuna mapepo unaamini!. Sisi waumini wa Tomaso type tukiambiwa chochote, huwa tunauliza na kujiuliza!.

Kufuatia imani ni kuamini kile unachoaminishwa na the people you can trust, ndio maana mtu unapozaliwa, ukizaliwa kwenye Uislam unaamini Islam ndio dini ya kweli!, ukizaliwa kwenye Ukiristo, unaamini Ukristo ndio dini ya kweli!, mimi nimeishi kidogo India na kupata fursa ya kusoma kidogo Hinduism na Buddhism, ndipo nikagundua kumbe Christianity na Islamic ni kama dini za juzi juzi compared to Hinduism na Buddhism!

Watu tuna tendency ya kuwaamini sana viongozi wetu wa dini kuwa mafundisho yao yote ni mafundisho ya Mungu, neno lao ni neno la Mungu!.

Kanisa langu Katoliki Tanzania from time to time, huwa linatoa Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kuzungumzia jambo lolote kiwe ni la kisiasa, kiuchumi au kijamii.

Hivi karibuni TEC imetoa waraka kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu. Waraka huo umesomwa wote kwenye misa zote, na ibada zote za makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima, kwa wiki mbili mfululizo.

Kwa vile waraka huo unasomewa altareni, madhabahuni na mimbarini, Hivyo kuna baadhi ya Wakristo Wakatoliki wanadhani waraka huo wa Maaskofu Katoliki Tanzania, ni sehemu ya ibada na ni neno la Mungu!.

Hivyo Wakatoliki waaminifu na watiifu wakauamini waraka huo kwa kudhani ni neno la Mungu, hivyo kuuheshimu hadi kudhani usipokubaliana nao, ni kwenda kinyume cha kanisa Katoliki hadi wengine kudhani ukitofautiana na msimamo wa Maaskofu Katoliki Tanzania ni kutenda dhambi!.

Natoa wito kwa kanisa langu, ambalo ni kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume, Ili kuepuka kuchanganya dini na siasa, waumini Wakatoliki pia tuambiwe ukweli kuwa Waraka ule wa TEC, Sio Neno la Mungu!, ni maoni ya Maaskofu Katoliki Tanzania na sio maagizo ya Mungu na mtu Mkatoliki usipokubaliana na waraka huo, sio dhambi na wala sio kosa lolote kutotii waraka wa TEC, ili Wakatoliki wote wanaiunga mkono serikali yetu katika issue ya DPW na Bandari zetu, wasikose amani ndani ya nafsi zao!.

Na ili kuepuka mkanganyiko ya kutukanganya waumini kuhusu uwezekano wa kuchanganya dini na siasa, kunapotokea nyaraka au maagizo ya kidunia ambayo sio ya Mungu, kama hili tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, lisiwe linasomewa madhabahuni, liwe linasomewa kwenye podium ya chini, ili lisije kuhesabika nalo ni neno la Mungu!, au ni sehemu ya ibada kumbe ni mambo tuu ya kidunia na sio mambo ya Mungu!.

Hivyo sisi Watanzania Wakatoliki tunao unga mkono uwekezaji wa DPW kwa Bandari zetu, tusikose amani ndani ya nafsi zetu kwa kutokubaliana na Maaskofu wetu, ambao ni viongozi wetu wa dini, tunao waamini sana, tunawaheshimu sana na kuwategemea sana kutuongoza kufika mbinguni kwa Baba yetu kwenye makao yetu ya milele!.

Tumsifu Yesu Kristo

Paskali.
Rejea
Ya bro hata hausomeki Mungu akuwezeshe upate uteuzi tuu naona njaa inakusumbua sana

Kila sehemu pana taratibu zaka hata za kiimani, hata shetani alivyobishana kidogo tu na Mungu alihesabika ameasi akatupwa dunia
Pia hapa dunia hatujawai kumuana Mungu wote kwa macho yetu ya nyama, makatazo yote tumefundishwa na hao wachungaji na maaskofu vingine vimeandikwa na vingine havija andikwa ila tunamini kutokana na mapoke tuliyopewa ila wakati Mungu anasema nao hatukuwepo kabisa ila tunamini tu cos sauti yao tunamini ni sauti ya Mungu (Mungu hatujawai muona aukumsikia ila kupitia watu)
Ngoja nikumbushe kidogo Musa aliongoza kundi kutoka misri hadi nchi ya ahadi watu walio pingana na Musa walipangamia, kwa hiyo sauti ya Musa ni sauti ya Mungu direct na walikufa wote walio pinga.

Kwa uliwengu wasasa hatuna Musa wala manabii wa zamani walio ongea moja kwa moja na Mungu sio kwamba kukosena kwa hao Mungu haongei na watu nakuwaonesha yajayo, Mungu bado anaongea na watu wake hata sasa
miaka 2000 ijayo haya ya TEC waliyo shauri government yatakusanywa na watu naya tasomwa na waumini watashanga jinsi pascal alivyo pingana na sauti ya Mungu kupitia viongozi wake kwa sababu wewe hauna kipimo cha kupimia kuwa hili limetoka kwa Mungu au laa. Kumbuka hata waliopingana na Musa, manabii, Yesu na mitume mbali mbali hawakujua kama wanapingana na Mungu direct ila mabaya yalipo wakuta watuwengine wakajifunza kutoka na waliopinga walikuwa wamepatwa na mabaya baada ya kubishana na Mungu na yakaandikwa kwajili ya mafunzo kwa watu wengine. Na wewe Pascal Mayalla ogopa kuwa mfano Mbaya kwa vizazi vijavyo kwa kupinga viongozi wako kwa kuwa mjuaji sana

Hata kipindi cha Yesu waandishi walionywa sana na Yesu kuandika mambo yauomgo na kupotosha watu kwa ajili ya kutaka sifa za watawala. sehemu nyingi waliungana waandishi na mafarisayo kutaka kumuuwa Yesu na kwao pia imekuwa fundisho kwetu.

Kuzaliwa katoliki sio shida sida nipale unapobishana na viongozi wako ambao wamekuacha mbali sana kuanzia elimu ya dunia hii na elimu ya Mungu. Acha mara moja kubisha na viongozi wako angali usije ukawa mfano mbaya kwasababu ya ugali wamuda mfupi

Njaa mbaya sana
 
Wanabodi,
Tumsifu Yesu Kristo.
Declaration of Interest
Mimi ni Mkristo Mkatoliki die hard, yaani wale Wakatoliki ambao wamezaliwa Wakatoliki, na kupokea zile sakramenti 4 za Katoliki, yaani wamebatizwa Katoliki, wamepokea Komunio Katoliki, Kipaimara Katoliki, ndoa Katoliki, na ile sherehe ya mwisho pia ni Katoliki, ila ni waumini wa type ya Tomaso!.

Imani ni kitu very delicate, unaambiwa Mungu yuko mbinguni, unaamini bila kujiuliza lolote!. Unaambiwa kuna peponi, unaamini!, unaambiwa kuna motoni, unaamini!. Unaambiwa kuna malaika wanaruka kwa mabawa, unaamini!. Unaambiwa kuna shetani na kuna mapepo unaamini!. Sisi waumini wa Tomaso type tukiambiwa chochote, huwa tunauliza na kujiuliza!.

Kufuatia imani ni kuamini kile unachoaminishwa na the people you can trust, ndio maana mtu unapozaliwa, ukizaliwa kwenye Uislam unaamini Islam ndio dini ya kweli!, ukizaliwa kwenye Ukiristo, unaamini Ukristo ndio dini ya kweli!, mimi nimeishi kidogo India na kupata fursa ya kusoma kidogo Hinduism na Buddhism, ndipo nikagundua kumbe Christianity na Islamic ni kama dini za juzi juzi compared to Hinduism na Buddhism!

Watu tuna tendency ya kuwaamini sana viongozi wetu wa dini kuwa mafundisho yao yote ni mafundisho ya Mungu, neno lao ni neno la Mungu!.

Kanisa langu Katoliki Tanzania from time to time, huwa linatoa Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, kuzungumzia jambo lolote kiwe ni la kisiasa, kiuchumi au kijamii.

Hivi karibuni TEC imetoa waraka kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu. Waraka huo umesomwa wote kwenye misa zote, na ibada zote za makanisa yote ya Katoliki Tanzania nzima, kwa wiki mbili mfululizo.

Kwa vile waraka huo unasomewa altareni, madhabahuni na mimbarini, Hivyo kuna baadhi ya Wakristo Wakatoliki wanadhani waraka huo wa Maaskofu Katoliki Tanzania, ni sehemu ya ibada na ni neno la Mungu!.

Hivyo Wakatoliki waaminifu na watiifu wakauamini waraka huo kwa kudhani ni neno la Mungu, hivyo kuuheshimu hadi kudhani usipokubaliana nao, ni kwenda kinyume cha kanisa Katoliki hadi wengine kudhani ukitofautiana na msimamo wa Maaskofu Katoliki Tanzania ni kutenda dhambi!.

Natoa wito kwa kanisa langu, ambalo ni kanisa moja Takatifu Katoliki la Mitume, Ili kuepuka kuchanganya dini na siasa, waumini Wakatoliki pia tuambiwe ukweli kuwa Waraka ule wa TEC, Sio Neno la Mungu!, ni maoni ya Maaskofu Katoliki Tanzania na sio maagizo ya Mungu na mtu Mkatoliki usipokubaliana na waraka huo, sio dhambi na wala sio kosa lolote kutotii waraka wa TEC, ili Wakatoliki wote wanaiunga mkono serikali yetu katika issue ya DPW na Bandari zetu, wasikose amani ndani ya nafsi zao!.

Na ili kuepuka mkanganyiko ya kutukanganya waumini kuhusu uwezekano wa kuchanganya dini na siasa, kunapotokea nyaraka au maagizo ya kidunia ambayo sio ya Mungu, kama hili tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, TEC, lisiwe linasomewa madhabahuni, liwe linasomewa kwenye podium ya chini, ili lisije kuhesabika nalo ni neno la Mungu!, au ni sehemu ya ibada kumbe ni mambo tuu ya kidunia na sio mambo ya Mungu!.

Hivyo sisi Watanzania Wakatoliki tunao unga mkono uwekezaji wa DPW kwa Bandari zetu, tusikose amani ndani ya nafsi zetu kwa kutokubaliana na Maaskofu wetu, ambao ni viongozi wetu wa dini, tunao waamini sana, tunawaheshimu sana na kuwategemea sana kutuongoza kufika mbinguni kwa Baba yetu kwenye makao yetu ya milele!.

Tumsifu Yesu Kristo

Paskali.
Rejea

Well said mkuu Pascal Mayalla

Utatu unaoundwa na jamii, siasa na uchumi hautenganishiki kirahisi hivi. Maana watu (jamii) ndio inajiwekea miongozo, kanuni na taratibu (siasa) ili kuzalisha na kutumia rasilimali chache zilizopo (uchumi).

Ndiposa tafakuri na tathmini ya utatu huu ili ikamilike shurti iweke pamoja nadharia hizi kwenye kapu moja. I mean, nothing is purely social, nothing is purely political and nothing is purely economical. The triplets are closely intertwined.
 
AlhamduliLlah Qur'an ina challenge, unazijuwa challenges za Qur'an?

Qur'an haina shaka ndani yake. Kumbuka hilo.

Hebu nieleze nizijue...ila nina shaka kama unatumia Quraan. Kuna kitabu kingine unachotumia, ambacho kinakuletea ujuaji wenye ukakasi
 
Back
Top Bottom