chambimagaka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2017
- 288
- 338
*Uchawii sio kushika Tunguli tu na kwenda kuwanga..........[emoji250]*
*Kukaa online bila hata salam nayo ni UCHAWII[emoji35]*
*Kusoma msg za watu wanavyochat na Profile nao ni UCHAWII[emoji51]*
*Kukenua mpka jino la mwsho kwa msg za kuchekesh na uc comment nao ni UCHAWII[emoji57][emoji57]*
*Kujaza wingi kwa Group kila link unayoona wakat hijawah kupost hata hewa uo nao ni UCHAWII[emoji274]*
*Kukaa kimya mda wote wakat upo online ukafikiri una mkomoa Admn wakat bando ni lako uo nao ni UCHAWII[emoji38][emoji38]*
*Ongezaa uchawii mwingine unaoujua...........*
.
.
.
.
.
.
*Kukaa online bila hata salam nayo ni UCHAWII[emoji35]*
*Kusoma msg za watu wanavyochat na Profile nao ni UCHAWII[emoji51]*
*Kukenua mpka jino la mwsho kwa msg za kuchekesh na uc comment nao ni UCHAWII[emoji57][emoji57]*
*Kujaza wingi kwa Group kila link unayoona wakat hijawah kupost hata hewa uo nao ni UCHAWII[emoji274]*
*Kukaa kimya mda wote wakat upo online ukafikiri una mkomoa Admn wakat bando ni lako uo nao ni UCHAWII[emoji38][emoji38]*
*Ongezaa uchawii mwingine unaoujua...........*
.
.
.
.
.
.