Je wajua?

Je wajua?

chambimagaka

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2017
Posts
288
Reaction score
338
*Uchawii sio kushika Tunguli tu na kwenda kuwanga..........[emoji250]*

*Kukaa online bila hata salam nayo ni UCHAWII[emoji35]*

*Kusoma msg za watu wanavyochat na Profile nao ni UCHAWII[emoji51]*

*Kukenua mpka jino la mwsho kwa msg za kuchekesh na uc comment nao ni UCHAWII[emoji57][emoji57]*

*Kujaza wingi kwa Group kila link unayoona wakat hijawah kupost hata hewa uo nao ni UCHAWII[emoji274]*

*Kukaa kimya mda wote wakat upo online ukafikiri una mkomoa Admn wakat bando ni lako uo nao ni UCHAWII[emoji38][emoji38]*

*Ongezaa uchawii mwingine unaoujua...........*

.
.
.
.
.
.
 
KUKAAA NAKUANZA KUFUATILIA MAISHA YA WATU WAKATI HUWA SAIDII HATA KUNUNUA BUNDLE HUO NAO NI UCHAWI....

hahaaaa
 
*Uchawii sio kushika Tunguli tu na kwenda kuwanga..........[emoji250]*

*Kukaa online bila hata salam nayo ni UCHAWII[emoji35]*

*Kusoma msg za watu wanavyochat na Profile nao ni UCHAWII[emoji51]*

*Kukenua mpka jino la mwsho kwa msg za kuchekesh na uc comment nao ni UCHAWII[emoji57][emoji57]*

*Kujaza wingi kwa Group kila link unayoona wakat hijawah kupost hata hewa uo nao ni UCHAWII[emoji274]*

*Kukaa kimya mda wote wakat upo online ukafikiri una mkomoa Admn wakat bando ni lako uo nao ni UCHAWII[emoji38][emoji38]*

*Ongezaa uchawii mwingine unaoujua...........*

.
.
.
.
.
.
Hatutaki definitions za kuokoteza hapa! Lete vitu Realistic ulivyofanyia utafiti
 
Back
Top Bottom