Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msosi hauna dini? Vipi nguruwe
Kabla hujafika mbali, kwenye usilam hakuna 40, ni waja tu wamezusha, marehemu akishazikwa msiba umeisha full stopWadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia
Usiku mwema
Ni kweli. Ni wa kufaUfalme wa Mungu si kula wala kunywa
Kwenye dharula muislam karuhusiwa kula nguruweMsosi hauna dini? Vipi nguruwe
Hamna mkristo anayejali mambo ya misosi ndo maana nyama karibia zote buchani wanachinja waislam lakini hakuna anayeuliza imechinjwa na nani
Yani hapa wazee hizi imani za kumezeshwa mzee ni zinaleta mpasuko sanaHayo ndiyo maadhara na maangamizi ya upumbavu tuliojazwa na dini. Mbona wanaponunua nyanya hawaulizi kama zililimwa na mwenzao? Upumbavu mtupu.
Si vema kushiki ibada za maagano kwa mkristu. Ni bora ushinde na njaa utabarikiwa.Wadau hamjamboni nyote?
Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia
Usiku mwema
Nashukuru, kwanza kabisa utaratibu wa 40 haupo katika Quran, wala Sunna ni Watu kwa mapenzi yao wameanzisha haki za maiti ni 3 tu kama sijakosea Kumuosha,kumswalia,kumlipia madeni na kumuhifadhi kisheria kaburini. Lakini kula kunywa kukaa msibani hizo sasa ni mbwembwe zetu lakini hazina ulazima wowote. Na ndio zinasababisha Watu wabaya kufanya yao hivyo kijamii sio lazima kwa mkristo au msilam kuhudhuria sherehe hizo lakini hakatazwi kushiriki kutokana na kijamii kushirikiana ndugu na jamaa Allah AalamNjoga waje tupate elimu
Lakin mimi nakumbuka nilienda kwenye hiyo hatma siku moja niliona hicho chakula hasa nyama ikichanganywa na vitu na wazee watukufu wa kiislamu ambavyo mimi sikuvielewa hivyo vitu ni nini
Hivyo sikula kabisa hiyo nyama siku hiyo
Mda wa msosi nilikula Kona
Lakin ngoja wajuvi waje tupate elimu gTurn DR Mambo Jambo
Ubalikiwe sana Asante sana kwa elimuNashukuru, kwanza kabisa utaratibu wa 40 haupo katika Quran, wala Sunna ni Watu kwa mapenzi yao wameanzisha haki za maiti ni 3 tu kama sijakosea Kumuosha,kumswalia,kumlipia madeni na kumuhifadhi kisheria kaburini. Lakini kula kunywa kukaa msibani hizo sasa ni mbwembwe zetu lakini hazina ulazima wowote. Na ndio zinasababisha Watu wabaya kufanya yao hivyo kijamii sio lazima kwa mkristo au msilam kuhudhuria sherehe hizo lakini hakatazwi kushiriki kutokana na kijamii kushirikiana ndugu na jamaa Allah Aalam
Asante je na wewe ni mfuasi wa YESU?Ubalikiwe sana Asante sana kwa elimu
Hakika MWENYEZI MUNGU amekujalia kauli thabete kama alivyowajalia wafuasi wa YESU KRISTO
Ndio mtumish karbu nyumban kwa BWANAAsante je na wewe ni mfuasi wa YESU?
Safi sana mtumishi YESU tunaye..Ndio mtumish karbu nyumban kwa BWANA
Acha ushirikina wewe, njaa zako zisikae makalioni, kuwa na fikra pevu.Njoga waje tupate elimu
Lakin mimi nakumbuka nilienda kwenye hiyo hatma siku moja niliona hicho chakula hasa nyama ikichanganywa na vitu na wazee watukufu wa kiislamu ambavyo mimi sikuvielewa hivyo vitu ni nini
Hivyo sikula kabisa hiyo nyama siku hiyo
Mda wa msosi nilikula Kona
Lakin ngoja wajuvi waje tupate elimu gTurn DR Mambo Jambo