Je, wakulima wamejipanga vipi kunufaika na kilimo cha umwagiliaji baada ya bwawa la Nyerere kukamilika?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Katika siku za usoni, chakula kitakuja kuwa ndio nyenzo muhimu ya nguvu la taifa husika, taifa lenye chakula cha kutosha na cha uhakika ndilo litakuwa na sauti nguvu ya maamuzi. Kwamba atakaeleta ubishi basi ananyimwa chakula, na hapo hapo anarudi kwenye mstari.

Sasa basi, kwakuwa changamoto kubwa ya uzalishaji wa chakula imekuwa ni mvua zisizo za uhakika na kupelekea mazao kukauka, wakulima wamejipangaje sasa kuweza kutumia fursa ya kilimo cha umwagiliaji itakayoletwa na kukamilika kwa bwala la Nyerere huko mto Rufiji?

 
Mngewasaidia kizuia kuletwa chini viuatilifu feki na kusaidia kitafuta masoko tungejua mko serious na kilimo! Mtu analima zao linamdodea hakuna soko! Konyo kweli ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…